Rais Samia katuthibitishia matumizi ya Kiswahili hayakuwa kukikuza bali kuna mtu lugha ya Kimataifa hakuiweza

Kumkosoa mtu kuwa hafahamu kiingereza hata wazungu wenyewe watakuona una upumbavu au kichwani haupo vizuri. Kiingereza si lugha ya mtu husika akijua au asipojua siyo issue. Kikwete hakuwa akifahamu kiingereza vizuri. Mwinyi hakuwa akifahamu kiingereza vizuri ila alizunguza kiswahili kizuri cha kuvutia.

Marais waliokuwa wakifahamu kiingereza vizuri ni Nyerere na Mkapa. Kiingereza cha Mama Samia cha kawaida. But pia sawa. Anafahamu kiingereza. So what? Mumlaumu mtu ambaye hafahamu kiswahili na ni mtanzania. Mengine ni kuendeleza utumwa karne ya 21.
Mtoe Kikweke hapo. Kikwete alikuwa vzr sana kwenye Lugha (Kiingereza)
 
Simu unayotumia apa imetengenezwa kwa lugha ya kitumwa pia na watoto wako uko shuleni wanafundishwa lugha ya kitumwa pia. Anzisha maandamano sasa
Wewe unajua mimi nipo wapi? Halafu jikite kwenye mada,jadili mada,hasira za njaa zako usiniletee mimi pambana nazo tu.
 
Simu unayotumia apa imetengenezwa kwa lugha ya kitumwa pia na watoto wako uko shuleni wanafundishwa lugha ya kitumwa pia. Anzisha maandamano sasa
Sio "apa" ni "hapa"

Sio "Uko" ni "huko"

Lugha yako huijui vizuri halafu unajilazimisha kusujudia lugha za watu!
 
Sio "apa" ni "hapa"

Sio "Uko" ni "huko"

Lugha yako huijui vizuri halafu unajilazimisha kusujudia lugha za watu!
Kwani tunavyoshabikia mpira wa miguu na hatujui kuucheza shida iko wapi? Mbona tunashabikia mziki au siasa na sisi sio wana muziki wala wanasiasa. We ni kilaza kweli. Kwaiyo unadhani uko uingezera wanaongea kingereza perfect asilimia 100
 
Kwani tunavyoshabikia mpira wa miguu na hatujui kuucheza shida iko wapi? Mbona tunashabikia mziki au siasa na sisi sio wana muziki wala wanasiasa. We ni kilaza kweli. Kwaiyo unadhani uko uingezera wanaongea kingereza perfect asilimia 100
Mbona una akili fupi kama Mkia wa Mbuzi? Kumbe umekurupuka tu wala hujui kinachojadiliwa? Hebu anza kusoma toka mwanzo ujue kinacho jadiliwa hapa ni kipi,
Sawa Binti?
 
Mbona una akili fupi kama Mkia wa Mbuzi? Kumbe umekurupuka tu wala hujui kinachojadiliwa? Hebu anza kusoma toka mwanzo ujue kinacho jadiliwa hapa ni kipi,
Sawa Binti?
Kuna watu sijui mnajikutaga kina nani yaani .Vinenga kama wewe uku kitaa tunawachapaga tu dudulayuyu ili muwe na akili
 
Kuna watu sijui mnajikutaga kina nani yaani .Vinenga kama wewe uku kitaa tunawachapaga tu dudulayuyu ili muwe na akili
Sio "uku" ni "huku"

"Tunawachapaga " ndio lugha gani? Unashabikia kimalkia kumbe hata lugha yako tu inakupiga chenga?

Pole sana binti.
 
Hebu kamfanyie Mumeo chai usije ukaachika,jf hapakufai,nenda fesibuku uka like mitindo ya nywele na madela ndio uwezo wako huko.
We jamii forum umeingia 2018 baada ya kuhongwa simu na basha wako mi niko toka 2012 we kipindi icho unanyonya .
 
Hadi leo kuna wajinga wanajua kuongea kiingereza kizuri ndio usomi!Ni ujuha. Kiingereza ni lugha kama kiswahili tu.acha ujuha na mawazo mgando.

English ni lingua franca in many countries, International business community sees English as lingua franca kwahiyo English inatumika as medium of communication by people whose native language are different hivo English sio kama kiswahili ingawa kujua English nzur sio usomi wapo wanojua English vzur tu wala hawajasoma lakini sio lugha tu kama kiswahili English ni International language
 
We jamii forum umeingia 2018 baada ya kuhongwa simu na basha wako mi niko toka 2012 we kipindi icho unanyonya .
Endelea kujifariji,nipo jf kitambo sana,usihadaike na ID,

Upo jf kitambo na umeshindwa japo kujifundisha kuandika lugha yako kwa ufasaha?! Ndio miaka yote hiyo umekua humu ukitema pumba tu kama Bata?
 
Ukweli utabaki pale pale...kama upo kwenye nafasi ya kujifunza Lugha hizi za kimataifa ikiongozwa na Lugha ya Malkia fanya hivyo.

Utakuja kutana na kisanga ujadiliwe mwaka mzima hapa jamvini.
 
Endelea kujifariji,nipo jf kitambo sana,usihadaike na ID,

Upo jf kitambo na umeshindwa japo kujifundisha kuandika lugha yako kwa ufasaha?! Ndio miaka yote hiyo umekua humu ukitema pumba tu kama Bata?
Sawa ndugu muhariri. We kenge kweli endelea kutetea kiswahili kutumika katika Muktadha ambao sio. Mnataka kufanya kiswahili kuwa international language? Kwa uchumi gani na influence gani mlonayo?
 
Sasa wewe Tz na njaa zako unajifananisha na hayo mataifa? Ni Sawa na jirani maskini kumuiga jirani tajiri kutokuhudhuria misiba na shughuli zingine za kijamii mtaani, subiri mfiwe kwa pamoja then utajua kwa nini yule tajiri alikuwa hahudhurii
Sasa wewe utakuwa kama hayo mataifa makubwa lini na utakuwa na shibe lini kama unajidharau namna hii?
 
Back
Top Bottom