Ngungenge
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,863
- 3,193
Watanzania ni watu wenye hofu na mabadiliko
Ilipokuja mwendokasi walipinga
Tukaja na bwana la Nyerere walipinga
Tukaja na SGR walipinga
Sasa ni zamu ya bandari nayo wanapinga
Rais Samia kanyaga twende tumechelewa sana nchi hii inahitaji kupata maendeleo
Prof Mbarawa na Feleshi mkubali mmekosea suala la ukomo mlitakiwa muweke kwenye mkataba kwa kipengele cha ..to be renewed baada ya miaka kadhaa pia swala la specification nini hasa kinaenda kufanyika mlitakiwa mseme
Najua Rais Samia amerekebisha na sasa ni kazi juu ya kazi
Rais Samia Kanyaga twende
Ilipokuja mwendokasi walipinga
Tukaja na bwana la Nyerere walipinga
Tukaja na SGR walipinga
Sasa ni zamu ya bandari nayo wanapinga
Rais Samia kanyaga twende tumechelewa sana nchi hii inahitaji kupata maendeleo
Prof Mbarawa na Feleshi mkubali mmekosea suala la ukomo mlitakiwa muweke kwenye mkataba kwa kipengele cha ..to be renewed baada ya miaka kadhaa pia swala la specification nini hasa kinaenda kufanyika mlitakiwa mseme
Najua Rais Samia amerekebisha na sasa ni kazi juu ya kazi
Rais Samia Kanyaga twende