Rais Samia jenga barabara ya njia nane Dar to Mwanza, Morogoro to Mbeya, Dar to Arusha

Darwin 9

Member
Sep 3, 2023
9
18
Mheshimiwa Rais samahani sana, na pole na majukumu yako mama.

Sisi WaTanzania ambao kwa bahati mbaya tumewai kufanikiwa kutoka nje ya nchi hii kiukweli roho imekua ikituuma kuona vi nchi vidogo ambavyo vingine havitufikii kwa rasilimali na utajiri tulio nao, et navyo vina barabara bora na kubwa kutushinda, na tumekua mashuuda namna ambavyo barabara kubwa zilivyo salama kutumika.

Tuko wengi sana hapa nchini, na nna uhakika baada ya miaka 15 ijayo, tutakua mara mbili ya tulivyo leo. Ni bora barabara zetu ambazo ndio chanzo kikubwa cha maendeleo kwa sasa tukazitanua kwa ukubwa huo, walau tukishindwa kabisa basi tuweke ata 2 kwenda na 2 kurudi, kuliko hizi tulizo nazo sasa ambazo ni mbaya na mbovu ajabu.

Kujenga barabara zenye ukubwa wa njia 4 kwenda na njia 4 kurudi toka mikoa tajwa inawezekana Mweshimiwa Rais, tafadhali sana mama, ikikupendeza sana Mweshimiwa Rais tunaomba ujenzi huu uanze mara moja.

Tena ikiwezekana mama, barabara hizi zianze kujengwa na wafungwa wetu ambao kwa asilimia 95 hua wamekaa tu ndani bila kufanya shughuli yoyote kwa siku 365.

Tuwatumie JKT wawasimamie hawa wafungwa, watengeneze barabara, na wafungwa walio na vifungo chini ya miaka 10 baada ya ujenzi huo waachiwe huru itakua kama zawadi yao. Mama tuifanye nchi yetu kua bora zaidi.

Mama Samahani sana kwa kutokufuata utaratibu.
 
waache wajilie wao awana shida wakitaka kupita watawasimisha muwapishe wapite... wakiona mnawazonga watapanda ndege...

sisi Watanganyika tupo jehanmu...yani hapa ni motoni...wakutengenezee baarabara nne ili kusiwe na foleni mpate raha...? alie kwambie jehanamu kuna raha ni nani...? wacha watu wenye akili wazidi kugawana keki ya urithi wa Taifa sisi wengine tuzidi kuisoma namba😭😭😭


tokea tunapata uhuru wimbo ni ule ule BARABARA, UMEME, MAJI, ELIMU & AFYA....

Watanganyika kuna sehemu tulimkosea Mungu akaamua kututupa Motoni...ebu oneni wameona kula haitoshi wamevimbiwa awatosheki ubinafsi unawafanya wanamalizana wenyewe kwa wenyewe.


ndugu yangu hiyo ndoto unayoota kwa nchi yetu haiwezekani...😭😭😭​
 
Mheshimiwa Rais samahani sana, na pole na majukumu yako mama.

Sisi WaTanzania ambao kwa bahati mbaya tumewai kufanikiwa kutoka nje ya nchi hii kiukweli roho imekua ikituuma kuona vi nchi vidogo ambavyo vingine havitufikii kwa rasilimali na utajiri tulio nao, et navyo vina barabara bora na kubwa kutushinda, na tumekua mashuuda namna ambavyo barabara kubwa zilivyo salama kutumika.

Tuko wengi sana hapa nchini, na nna uhakika baada ya miaka 15 ijayo, tutakua mara mbili ya tulivyo leo. Ni bora barabara zetu ambazo ndio chanzo kikubwa cha maendeleo kwa sasa tukazitanua kwa ukubwa huo, walau tukishindwa kabisa basi tuweke ata 2 kwenda na 2 kurudi, kuliko hizi tulizo nazo sasa ambazo ni mbaya na mbovu ajabu.

Kujenga barabara zenye ukubwa wa njia 4 kwenda na njia 4 kurudi toka mikoa tajwa inawezekana Mweshimiwa Rais, tafadhali sana mama, ikikupendeza sana Mweshimiwa Rais tunaomba ujenzi huu uanze mara moja.

Tena ikiwezekana mama, barabara hizi zianze kujengwa na wafungwa wetu ambao kwa asilimia 95 hua wamekaa tu ndani bila kufanya shughuli yoyote kwa siku 365.

Tuwatumie JKT wawasimamie hawa wafungwa, watengeneze barabara, na wafungwa walio na vifungo chini ya miaka 10 baada ya ujenzi huo waachiwe huru itakua kama zawadi yao. Mama tuifanye nchi yetu kua bora zaidi.

Mama Samahani sana kwa kutokufuata utaratibu.
Tanzania hii hii tuliomo ndio ifanye yote haya???
 
Mheshimiwa Rais samahani sana, na pole na majukumu yako mama.

Sisi WaTanzania ambao kwa bahati mbaya tumewai kufanikiwa kutoka nje ya nchi hii kiukweli roho imekua ikituuma kuona vi nchi vidogo ambavyo vingine havitufikii kwa rasilimali na utajiri tulio nao, et navyo vina barabara bora na kubwa kutushinda, na tumekua mashuuda namna ambavyo barabara kubwa zilivyo salama kutumika.

Tuko wengi sana hapa nchini, na nna uhakika baada ya miaka 15 ijayo, tutakua mara mbili ya tulivyo leo. Ni bora barabara zetu ambazo ndio chanzo kikubwa cha maendeleo kwa sasa tukazitanua kwa ukubwa huo, walau tukishindwa kabisa basi tuweke ata 2 kwenda na 2 kurudi, kuliko hizi tulizo nazo sasa ambazo ni mbaya na mbovu ajabu.

Kujenga barabara zenye ukubwa wa njia 4 kwenda na njia 4 kurudi toka mikoa tajwa inawezekana Mweshimiwa Rais, tafadhali sana mama, ikikupendeza sana Mweshimiwa Rais tunaomba ujenzi huu uanze mara moja.

Tena ikiwezekana mama, barabara hizi zianze kujengwa na wafungwa wetu ambao kwa asilimia 95 hua wamekaa tu ndani bila kufanya shughuli yoyote kwa siku 365.

Tuwatumie JKT wawasimamie hawa wafungwa, watengeneze barabara, na wafungwa walio na vifungo chini ya miaka 10 baada ya ujenzi huo waachiwe huru itakua kama zawadi yao. Mama tuifanye nchi yetu kua bora zaidi.

Mama Samahani sana kwa kutokufuata utaratibu.
Kumekucha Amka!
 
Mheshimiwa Rais samahani sana, na pole na majukumu yako mama.

Sisi WaTanzania ambao kwa bahati mbaya tumewai kufanikiwa kutoka nje ya nchi hii kiukweli roho imekua ikituuma kuona vi nchi vidogo ambavyo vingine havitufikii kwa rasilimali na utajiri tulio nao, et navyo vina barabara bora na kubwa kutushinda, na tumekua mashuuda namna ambavyo barabara kubwa zilivyo salama kutumika.

Tuko wengi sana hapa nchini, na nna uhakika baada ya miaka 15 ijayo, tutakua mara mbili ya tulivyo leo. Ni bora barabara zetu ambazo ndio chanzo kikubwa cha maendeleo kwa sasa tukazitanua kwa ukubwa huo, walau tukishindwa kabisa basi tuweke ata 2 kwenda na 2 kurudi, kuliko hizi tulizo nazo sasa ambazo ni mbaya na mbovu ajabu.

Kujenga barabara zenye ukubwa wa njia 4 kwenda na njia 4 kurudi toka mikoa tajwa inawezekana Mweshimiwa Rais, tafadhali sana mama, ikikupendeza sana Mweshimiwa Rais tunaomba ujenzi huu uanze mara moja.

Tena ikiwezekana mama, barabara hizi zianze kujengwa na wafungwa wetu ambao kwa asilimia 95 hua wamekaa tu ndani bila kufanya shughuli yoyote kwa siku 365.

Tuwatumie JKT wawasimamie hawa wafungwa, watengeneze barabara, na wafungwa walio na vifungo chini ya miaka 10 baada ya ujenzi huo waachiwe huru itakua kama zawadi yao. Mama tuifanye nchi yetu kua bora zaidi.

Mama Samahani sana kwa kutokufuata utaratibu.
Hizo barabara zina lami tayari bado ziongezwe tena lami wakati hata wilaya hazijaunganishwa kwa lami barabara nyingi tuu
 
Mheshimiwa Rais samahani sana, na pole na majukumu yako mama.

Sisi WaTanzania ambao kwa bahati mbaya tumewai kufanikiwa kutoka nje ya nchi hii kiukweli roho imekua ikituuma kuona vi nchi vidogo ambavyo vingine havitufikii kwa rasilimali na utajiri tulio nao, et navyo vina barabara bora na kubwa kutushinda, na tumekua mashuuda namna ambavyo barabara kubwa zilivyo salama kutumika.

Tuko wengi sana hapa nchini, na nna uhakika baada ya miaka 15 ijayo, tutakua mara mbili ya tulivyo leo. Ni bora barabara zetu ambazo ndio chanzo kikubwa cha maendeleo kwa sasa tukazitanua kwa ukubwa huo, walau tukishindwa kabisa basi tuweke ata 2 kwenda na 2 kurudi, kuliko hizi tulizo nazo sasa ambazo ni mbaya na mbovu ajabu.

Kujenga barabara zenye ukubwa wa njia 4 kwenda na njia 4 kurudi toka mikoa tajwa inawezekana Mweshimiwa Rais, tafadhali sana mama, ikikupendeza sana Mweshimiwa Rais tunaomba ujenzi huu uanze mara moja.

Tena ikiwezekana mama, barabara hizi zianze kujengwa na wafungwa wetu ambao kwa asilimia 95 hua wamekaa tu ndani bila kufanya shughuli yoyote kwa siku 365.

Tuwatumie JKT wawasimamie hawa wafungwa, watengeneze barabara, na wafungwa walio na vifungo chini ya miaka 10 baada ya ujenzi huo waachiwe huru itakua kama zawadi yao. Mama tuifanye nchi yetu kua bora zaidi.

Mama Samahani sana kwa kutokufuata utaratibu.
Mpe na hela kabisa
 
Heshima kwako Mkuu Darwin 9 ushauri wako ni mzuri na sahihi kabisa lakini;
-Serikali hii sio sikivu na haishauriki kamwe, ni sawa na sikio la kufa.
-Wanachojua soon wanapoingia madarakani ni kujipanga kwa uchaguzi ujao tu, Hata huyu ni walewale.
-Umeme, Maji, Madarasa, Madawati, walimu, Madawa, Ongezeko la bei haya ni mambo ambayo hawataweza kuyama maliza kamwe.
-Mkuu ushauri ulotolewa namba 1-9 unaonesha ni jinsi gani jamaa hawashauriki.
-Mfano mdogo tu ni kuwa Watawala wako radhi raia magari yao yasimamishwe barabarani kwa zaidi ya masaa 2 kusubiria msafara ambao mtawala angeweza kutumia Chopa bila kutesa raia.
 
Hii inawezekana tu kama midset ya viongozi itabadilika. kwa hali hii ya kuwarudisha wakina Makonda kwenye uongozi dhubutu kuona maendeleo nchi hii. Viongozi wengi wa Afrika hawapo kuleta maendeleo bali kubakia madarakani kwa njia yoyote ile.
 
waache wajilie wao awana shida wakitaka kupita watawasimisha muwapishe wapite... wakiona mnawazonga watapanda ndege...

sisi Watanganyika tupo jehanmu...yani hapa ni motoni...wakutengenezee baarabara nne ili kusiwe na foleni mpate raha...? alie kwambie jehanamu kuna raha ni nani...? wacha watu wenye akili wazidi kugawana keki ya urithi wa Taifa sisi wengine tuzidi kuisoma namba😭😭😭


tokea tunapata uhuru wimbo ni ule ule BARABARA, UMEME, MAJI, ELIMU & AFYA....

Watanganyika kuna sehemu tulimkosea Mungu akaamua kututupa Motoni...ebu oneni wameona kula haitoshi wamevimbiwa awatosheki ubinafsi unawafanya wanamalizana wenyewe kwa wenyewe.


ndugu yangu hiyo ndoto unayoota kwa nchi yetu haiwezekani...😭😭😭​
😂😂😂😂😂😂 daaah we jamaa🙌🏾
 
Kila Rais ana kipaumbele chake, sidhani kama Rais samia anakipaumbele cha Ujenzi wa miundombinu km JPM.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Mheshimiwa Rais samahani sana, na pole na majukumu yako mama.

Sisi WaTanzania ambao kwa bahati mbaya tumewai kufanikiwa kutoka nje ya nchi hii kiukweli roho imekua ikituuma kuona vi nchi vidogo ambavyo vingine havitufikii kwa rasilimali na utajiri tulio nao, et navyo vina barabara bora na kubwa kutushinda, na tumekua mashuuda namna ambavyo barabara kubwa zilivyo salama kutumika.

Tuko wengi sana hapa nchini, na nna uhakika baada ya miaka 15 ijayo, tutakua mara mbili ya tulivyo leo. Ni bora barabara zetu ambazo ndio chanzo kikubwa cha maendeleo kwa sasa tukazitanua kwa ukubwa huo, walau tukishindwa kabisa basi tuweke ata 2 kwenda na 2 kurudi, kuliko hizi tulizo nazo sasa ambazo ni mbaya na mbovu ajabu.

Kujenga barabara zenye ukubwa wa njia 4 kwenda na njia 4 kurudi toka mikoa tajwa inawezekana Mweshimiwa Rais, tafadhali sana mama, ikikupendeza sana Mweshimiwa Rais tunaomba ujenzi huu uanze mara moja.

Tena ikiwezekana mama, barabara hizi zianze kujengwa na wafungwa wetu ambao kwa asilimia 95 hua wamekaa tu ndani bila kufanya shughuli yoyote kwa siku 365.

Tuwatumie JKT wawasimamie hawa wafungwa, watengeneze barabara, na wafungwa walio na vifungo chini ya miaka 10 baada ya ujenzi huo waachiwe huru itakua kama zawadi yao. Mama tuifanye nchi yetu kua bora zaidi.

Mama Samahani sana kwa kutokufuata utaratibu.
Kweri kabisa barabara ni nyembamba sana mkuu kama anapita humu alifanyie kazi hili na ina wezekana kabisa hata ajari zita pungua kama sio kuisha kabisa.
 
Mheshimiwa Rais samahani sana, na pole na majukumu yako mama.

Sisi WaTanzania ambao kwa bahati mbaya tumewai kufanikiwa kutoka nje ya nchi hii kiukweli roho imekua ikituuma kuona vi nchi vidogo ambavyo vingine havitufikii kwa rasilimali na utajiri tulio nao, et navyo vina barabara bora na kubwa kutushinda, na tumekua mashuuda namna ambavyo barabara kubwa zilivyo salama kutumika.

Tuko wengi sana hapa nchini, na nna uhakika baada ya miaka 15 ijayo, tutakua mara mbili ya tulivyo leo. Ni bora barabara zetu ambazo ndio chanzo kikubwa cha maendeleo kwa sasa tukazitanua kwa ukubwa huo, walau tukishindwa kabisa basi tuweke ata 2 kwenda na 2 kurudi, kuliko hizi tulizo nazo sasa ambazo ni mbaya na mbovu ajabu.

Kujenga barabara zenye ukubwa wa njia 4 kwenda na njia 4 kurudi toka mikoa tajwa inawezekana Mweshimiwa Rais, tafadhali sana mama, ikikupendeza sana Mweshimiwa Rais tunaomba ujenzi huu uanze mara moja.

Tena ikiwezekana mama, barabara hizi zianze kujengwa na wafungwa wetu ambao kwa asilimia 95 hua wamekaa tu ndani bila kufanya shughuli yoyote kwa siku 365.

Tuwatumie JKT wawasimamie hawa wafungwa, watengeneze barabara, na wafungwa walio na vifungo chini ya miaka 10 baada ya ujenzi huo waachiwe huru itakua kama zawadi yao. Mama tuifanye nchi yetu kua bora zaidi.

Mama Samahani sana kwa kutokufuata utaratibu.
Niwazo zuri na nimhimu sana lakini kwa hii serikali ya wapigaji haiwezi kutusikiliza, baada ya miaka 5 kutakuwa na foleni toka Moro mpaka dar. Reli yenye hawataki itumike, wanaongeza mabasi na malori, sasa hapo utasema wanaakili hao?
 
Back
Top Bottom