Lengo la kumkamata Lissu ni kupoza upinzani haswa kasi ya Lissu maana watu walishaichoka CCM na wenyewe wanajuwa hayo. Huko Zanzibar watu wanaandamana kutaka Muungano uvunjike maana hawaoni umuhimu wake na raia wanalaumu viongozi wa CCM, in short, hata huko pia, CCM HAITAKIWI. Kila zama zina mwisho wake, CCM imefikia taamati, wananchi hatuitaki.
Mama Abdul (Samia) akitaka watu wamchukulie serious, aachane na kuwaweka kina kajamba nani (Steve Nyerere, Dotto Magari, Mwijaku) karibu naye, wale hawana akili za kushauri hata wake zao sembuse kuliongoza taifa. Unawapa vyeo vya usemaji mkuu wa serikali ili iweje?