Rais Samia hapaswi kugombea 2025 akigombea tumkatae

Tangu lini mwanamke akawa na akili ?!
Tangu lin mwanamke akawa na maono ?
Tangu lini mwanamke awe na tafakuri ?! Hata yeye mwenyewe alishasema hawezi kutekeleza ubunifu na ufuatiliaji kama Magu.

Hawa wao ni kutenda mambo kwa hisia tu, hakuna matumizi ya akili na hoja, hakuna maono wala ubunifu nadhani nyie wenyewe mnajionea hali halisi. By the way sukari huku Kibati imefika Tsh. 5,200
Wewe ni mpumhavu kabisa ambaye kwa bahati nzuri ulizaliwa na mwanaume tu.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Binafsi sioni kama huyu Rais wa sasa anafaa kugombea 2025.

Hana sifa.

Hana uwezo.

Ni mbaguzi.

Hatufai.

Akigombea 2025.

Hakuna wa kumkataza 2030.

Tumkatae na mambo yake yote.
Hata weye unaaanza kumkunia kunguni mwenyekiti
 
Anaweza awe na mapungufu yake hasa ya kuwaamini wasaidizi wske ambao mostly wanafeli, lakn ni one of the best president tanzania tulishwahi.kuwa nao. Kama ni ubaguzi kwa jnamna unavyo sema basi hamfikii magu hata tone.

Ila kwa nnavyokujua ww na ulipo, hii ujumbe una nia ya kuwanasa watu ujue fikra zao
Samia is good but not best President. Nafikiri umeandika kwa kumlinganisha na yule mtangulizi wake. Ameshindwa kuonyesha msimamo kwa kile anachokiamini kama Rais, anayumba kwa kufuata sauti za pembeni.

Hii ya kugombea hata kama yeye hana hiyo nia, sauti za pembeni zitambadilishia uelekeo.
 
Wengine hatukuliona hiyo nakala ya gazeti.itapendeza kama ukiipata hiyo nakala ya gazeti tuwe na uhakika kwa kauli yake
 
Msemaji wa CCM kasema mbinguni wamemchukulia fomu ya urais.
Waalimu walishachanga hela za kulipia fomu na kazipokea.
Sasa unafata maneno au matendo?
Mueleze huyo mvimba macho.Na kwanini wana wasiwasi sana kwa President Samia kugombea 2025?Jibu ni kwamba wanajua hawana lao.
 
Mbona yuko vizuri rais.
Kama unaikubali ccm iweje usimkubali mwenyekiti wake.
Si anaongoza Kwa kufata Katiba.
Hayo maneno kayaongelee kwenye vikao vyenu vya ccm huko.
 
Anaweza awe na mapungufu yake hasa ya kuwaamini wasaidizi wske ambao mostly wanafeli, lakn ni one of the best president tanzania tulishwahi.kuwa nao. Kama ni ubaguzi kwa jnamna unavyo sema basi hamfikii magu hata tone.

Ila kwa nnavyokujua ww na ulipo, hii ujumbe una nia ya kuwanasa watu ujue fikra zao
Hata mimi naona shida ni wasaidizi wake,achekeche kidogo...
 
Binafsi sioni kama huyu Rais wa sasa anafaa kugombea 2025.

Hana sifa.

Hana uwezo.

Ni mbaguzi.

Hatufai.

Akigombea 2025.

Hakuna wa kumkataza 2030.

Tumkatae na mambo yake yote.
Nguvu kubwa inatumika kupitia vyombo vya habari na social networks kwa sbb wanajua hakubaliki ,kila kona anasifiwa na machawa ili achaguliwe 2025
 
Back
Top Bottom