johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,709
- 143,146
Rais Samia amesema maboresho yanayofanyika kule Bandarini yazingatie kufunga Mitambo ya kuzuia Unga ( Dawa za Kulevya)
Rais Samia amesema hayo katika maadhimisho ya kitaifa ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Duniani, jijini Arusha
Chanzo: Ayo tv
Rais Samia amesema hayo katika maadhimisho ya kitaifa ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Duniani, jijini Arusha
Chanzo: Ayo tv