Kwa sensitivity ya kikao nadhani inahitaji zaidi uwepo wake kama rais, kuliko kuwakilishwa. Labda kwa vikao vitakavyofuata.
Kuhusu Waziri mkuu ma waziro wa Ulinzi, hao wanatakiwa wabaki mchini wakiwa standby kujibu maswali ya Makonda watakapohitajika.