Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) Camillus Wambura leo Jumanne, Julai 1, 2025, amewavisha vyeo vya Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) Camillus Wambura leo Jumanne, Julai 1, 2025, amewavisha vyeo vya Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) maofisa watatu waliopandishwa na Rais Samia Suluhu Hassan kutoka cheo cha Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP).
Maofisa waliopandishwa hao ni pamoja na Mkuu wa Kikosi cha Polisi Wanamaji, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Moshi Sokoro, Mkuu wa Kikosi cha Matengenezo ya Magari ya Polisi, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Tuntufye Absalome na Mkuu wa Kikosi cha Bendi, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Msolo Msolo
IGP Wambura amewavisha vyeo hivyo baada ya Rais Samia ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu, kuwapandisha maofisa hao leo
Polisi (ACP)
Maofisa waliopandishwa hao ni pamoja na Mkuu wa Kikosi cha Polisi Wanamaji, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Moshi Sokoro, Mkuu wa Kikosi cha Matengenezo ya Magari ya Polisi, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Tuntufye Absalome na Mkuu wa Kikosi cha Bendi, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Msolo Msolo
IGP Wambura amewavisha vyeo hivyo baada ya Rais Samia ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu, kuwapandisha maofisa hao leo
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) Camillus Wambura leo Jumanne, Julai 1, 2025, amewavisha vyeo vya Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) maofisa watatu waliopandishwa na Rais Samia Suluhu Hassan kutoka cheo cha Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP).
Maofisa waliopandishwa hao ni pamoja na Mkuu wa Kikosi cha Polisi Wanamaji, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Moshi Sokoro, Mkuu wa Kikosi cha Matengenezo ya Magari ya Polisi, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Tuntufye Absalome na Mkuu wa Kikosi cha Bendi, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Msolo Msolo
IGP Wambura amewavisha vyeo hivyo baada ya Rais Samia ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu, kuwapandisha maofisa hao leo
Polisi (ACP)
Maofisa waliopandishwa hao ni pamoja na Mkuu wa Kikosi cha Polisi Wanamaji, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Moshi Sokoro, Mkuu wa Kikosi cha Matengenezo ya Magari ya Polisi, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Tuntufye Absalome na Mkuu wa Kikosi cha Bendi, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Msolo Msolo
IGP Wambura amewavisha vyeo hivyo baada ya Rais Samia ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu, kuwapandisha maofisa hao leo