babu bulicheka
JF-Expert Member
- Mar 26, 2021
- 822
- 1,048
Nimeamini wewe ni zero brainSasa mr belgiji alikuwa anafanya nini pale bungeni?
Kazi kudandia mada
Nimeamini wewe ni zero brainSasa mr belgiji alikuwa anafanya nini pale bungeni?
Kaziiendelee TanzaniaNimeamini wewe ni zero brain
Kazi kudandia mada
Nimeamini wewe ni zero brain
Kazi kudandia mada
Hivi Magufuli huwezi kuinuka hata kidogo uwasikie Wanafiki hawa waliokipamba Kwa Kila neno la sifa Leo wanasema hajawahi kutokea Kama Samia?Hajawahi kutokea kama Rais Samia
Kwani wanasema uongo?Hivi Magufuli huwezi kuinuka hata kidogo uwasikie Wanafiki hawa waliokipamba Kwa Kila neno la sifa Leo wanasema hajawahi kutokea Kama Samia?
Acha ufundishwe. Umekosea vitu vingi sio kweli wilaya ya Iramba ina majimbo mawili. Ni Jimbo moja tu na mbunge moja Mwigulu. Eti unasema Mwigulu anaongoza majimbo mawili? Jimbo la Iramba magharibi ni sehemu yote ya wilaya ya Iramba. Jimbo la Iramba mashariki ipo wilaya ya Mkalama. Acha uongo. Edit habari yako.Hahaha,
Sasa maswala ya jina langu unataka unifundishe tena namna ya kuliandika?
Wewe hujui ata nini maana ya "State "
Elewa Rais ni taasisi mjomba
Usijifanye unajua kuliko watu woteHii sio miradi ya samia, ni miradi ya serikali, serikali ndio inatoa hela kupitia kodi yako pamoja na misaada na mikopo kutoka ndani/nje. samia hatoi chochote na hata kodi halipi.
Acha ufundishwe. Umekosea vitu vingi sio kweli wilaya ya Iramba ina majimbo mawili. Ni Jimbo moja tu na mbunge moja Mwigulu. Eti unasema Mwigulu anaongoza majimbo mawili? Jimbo la Iramba magharibi ni sehemu yote ya wilaya ya Iramba. Jimbo la Iramba mashariki ipo wilaya ya Mkalama. Acha uongo. Edit habari yako.
Hizi ni chuki tumwigulu fisadi sana hizo milioni 500 kila Jimbo za Tozo yeye jimbo lake na la bibi yake wanaye share na boss wake kapeleka Bilioni 7 tena mgawo wa kwanza… hakuna accountability …
Naungana na wewe 100%Khaaaa, Kwakweli huyu Mama anajitahidi sana, Iramba haikuwa na Barabara kabisa, Kazi nzuri sana Rais wetu
Lete evidencemwigulu fisadi sana hizo milioni 500 kila Jimbo za Tozo yeye jimbo lake na la bibi yake wanaye share na boss wake kapeleka Bilioni 7 tena mgawo wa kwanza… hakuna accountability …
Samia jembe sio jembeAise kila kona ya nchi kuna mradi mpya wa Rais Samia unaendelea,
Huyu mama atawala mpaka achoke aise
Samia anatoaje hela? Yeye Samia ana hela gani za kutoa kwa ajili ya miradi ya maendeleo? Ama kweli kupenda sifa kwa ibilisi ameacha ametuharibia taifa.View attachment 2052042
SERIKALI ya Rais Samia Suluhu Hassan kupitia Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imetenga TZS 7.3BL kwa ajili ya kufungua barabara za Halmashauri ya Wilaya ya Iramba mkoani Singida ikiwa ni utekelezaji wa kauli mbiu yake ijulikanayo kama ‘Tunakufungulia barabara kufika kusikofikika’.
Aidha kwa niaba ya Rais Samia akiwa katika ziara ya kikazi wilayani humo,Waziri wa Nchi Ofisi ya Raia Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Mheshimiwa Ummy Mwalimu amesema azma ya Serikali ni kufungua barabara za vijijini ili wananchi waweza kufanya kazi zao bila kikwazo cha usafiri.
Akikagua barabara ya Shelui - Tintigulu inayojengwa kwa urefu wa kilomita saba, Waziri ameelekeza barabara hiyo ijengwe kwa ubora unaotakiwa ili iweze kudumu na kuwasaidia wananchi wa Shelui katika shughuli zao za kila siku.
"Lengo la Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan ni kuwafungulia wananchi wa vijijini barabara ili isiwe kikwazo tena katika shughuli zao na hapa nimeona baada ya barabara hii kukamilika inakwenda kufungua na kurahisisha mawasiliano ya kata tatu na vijiji sita,"amesema.
Pia Waziri Ummy alimuelekeza Meneja wa TARURA Wilaya ya Shelui, Mhandisi Evance Kibona kuhakikisha kuwa wanafanya usanifu wa Daraja la Nshoka linalounganisha kata za Shelui - Tintigulu ili barabara hiyo inayojengwa iweze kuleta manufaa zaidi kwa wananchi wa maeneo hayo.
"Nimekagua ujenzi wa barabara, umeanza lakini nimeona kuna mto Nshoka ambao unatakiwa kujengewa daraja ili barabara hii inayojengwa iweze kuleta manufaa, vinginevyo bado watakuwa wanapata usumbufu wakati wa mvua nataka tumalize kabisa changamoto hii.
"Mto huu ni mkubwa na hakuna daraja sasa wakati wa mvua wananchi hawawezi kupita hapa hivyo ni vyema hapa pakajengwa daraja ili barabara hii iwe na tija stahiki, hivyo wahandisi anzeni kufanya usanifu na muingize kwenye bajeti ya mwaka wa fedha 2022|23 tuweke ujenzi wa daraja hili kwenye bajeti yetu.
Akizungumza wakati wa ukaguzo wa barabara hiyo ya Shelui-Tintigulu Meneja wa TARURA Wilaya ya Iramba, Mhandisi Evance Kibona amesema, ujenzi wa barabara hiyo umeanza Desemba 11 na utakamilika Juni,2022.
Wilaya ya Iramba ilikuwa na majimbo mawili ya Iramba mashariki|Mkalama na Iramba magharibi kabla ya Mkalama kuwa Wilaya, Jimbo la Iramba Magh linaloongozwa na Waziri wa fedha na Mipango Dkt Mwigulu Nchemba,Iramba Kaziiendelee
Nampenda sana samiaUnachukia vile Rais Samia anapiga kazi?
Awesome H.E SamiaView attachment 2052042
SERIKALI ya Rais Samia Suluhu Hassan kupitia Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imetenga TZS 7.3BL kwa ajili ya kufungua barabara za Halmashauri ya Wilaya ya Iramba mkoani Singida ikiwa ni utekelezaji wa kauli mbiu yake ijulikanayo kama ‘Tunakufungulia barabara kufika kusikofikika’.
Aidha kwa niaba ya Rais Samia akiwa katika ziara ya kikazi wilayani humo,Waziri wa Nchi Ofisi ya Raia Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Mheshimiwa Ummy Mwalimu amesema azma ya Serikali ni kufungua barabara za vijijini ili wananchi waweza kufanya kazi zao bila kikwazo cha usafiri.
Akikagua barabara ya Shelui - Tintigulu inayojengwa kwa urefu wa kilomita saba, Waziri ameelekeza barabara hiyo ijengwe kwa ubora unaotakiwa ili iweze kudumu na kuwasaidia wananchi wa Shelui katika shughuli zao za kila siku.
"Lengo la Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan ni kuwafungulia wananchi wa vijijini barabara ili isiwe kikwazo tena katika shughuli zao na hapa nimeona baada ya barabara hii kukamilika inakwenda kufungua na kurahisisha mawasiliano ya kata tatu na vijiji sita,"amesema.
Pia Waziri Ummy alimuelekeza Meneja wa TARURA Wilaya ya Shelui, Mhandisi Evance Kibona kuhakikisha kuwa wanafanya usanifu wa Daraja la Nshoka linalounganisha kata za Shelui - Tintigulu ili barabara hiyo inayojengwa iweze kuleta manufaa zaidi kwa wananchi wa maeneo hayo.
"Nimekagua ujenzi wa barabara, umeanza lakini nimeona kuna mto Nshoka ambao unatakiwa kujengewa daraja ili barabara hii inayojengwa iweze kuleta manufaa, vinginevyo bado watakuwa wanapata usumbufu wakati wa mvua nataka tumalize kabisa changamoto hii.
"Mto huu ni mkubwa na hakuna daraja sasa wakati wa mvua wananchi hawawezi kupita hapa hivyo ni vyema hapa pakajengwa daraja ili barabara hii iwe na tija stahiki, hivyo wahandisi anzeni kufanya usanifu na muingize kwenye bajeti ya mwaka wa fedha 2022|23 tuweke ujenzi wa daraja hili kwenye bajeti yetu.
Akizungumza wakati wa ukaguzo wa barabara hiyo ya Shelui-Tintigulu Meneja wa TARURA Wilaya ya Iramba, Mhandisi Evance Kibona amesema, ujenzi wa barabara hiyo umeanza Desemba 11 na utakamilika Juni,2022.
Wilaya ya Iramba ilikuwa na majimbo mawili ya Iramba mashariki|Mkalama na Iramba magharibi kabla ya Mkalama kuwa Wilaya, Jimbo la Iramba Magh linaloongozwa na Waziri wa fedha na Mipango Dkt Mwigulu Nchemba,Iramba Kaziiendelee
Awesome H.E SamiaView attachment 2052042
SERIKALI ya Rais Samia Suluhu Hassan kupitia Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imetenga TZS 7.3BL kwa ajili ya kufungua barabara za Halmashauri ya Wilaya ya Iramba mkoani Singida ikiwa ni utekelezaji wa kauli mbiu yake ijulikanayo kama ‘Tunakufungulia barabara kufika kusikofikika’.
Aidha kwa niaba ya Rais Samia akiwa katika ziara ya kikazi wilayani humo,Waziri wa Nchi Ofisi ya Raia Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Mheshimiwa Ummy Mwalimu amesema azma ya Serikali ni kufungua barabara za vijijini ili wananchi waweza kufanya kazi zao bila kikwazo cha usafiri.
Akikagua barabara ya Shelui - Tintigulu inayojengwa kwa urefu wa kilomita saba, Waziri ameelekeza barabara hiyo ijengwe kwa ubora unaotakiwa ili iweze kudumu na kuwasaidia wananchi wa Shelui katika shughuli zao za kila siku.
"Lengo la Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan ni kuwafungulia wananchi wa vijijini barabara ili isiwe kikwazo tena katika shughuli zao na hapa nimeona baada ya barabara hii kukamilika inakwenda kufungua na kurahisisha mawasiliano ya kata tatu na vijiji sita,"amesema.
Pia Waziri Ummy alimuelekeza Meneja wa TARURA Wilaya ya Shelui, Mhandisi Evance Kibona kuhakikisha kuwa wanafanya usanifu wa Daraja la Nshoka linalounganisha kata za Shelui - Tintigulu ili barabara hiyo inayojengwa iweze kuleta manufaa zaidi kwa wananchi wa maeneo hayo.
"Nimekagua ujenzi wa barabara, umeanza lakini nimeona kuna mto Nshoka ambao unatakiwa kujengewa daraja ili barabara hii inayojengwa iweze kuleta manufaa, vinginevyo bado watakuwa wanapata usumbufu wakati wa mvua nataka tumalize kabisa changamoto hii.
"Mto huu ni mkubwa na hakuna daraja sasa wakati wa mvua wananchi hawawezi kupita hapa hivyo ni vyema hapa pakajengwa daraja ili barabara hii iwe na tija stahiki, hivyo wahandisi anzeni kufanya usanifu na muingize kwenye bajeti ya mwaka wa fedha 2022|23 tuweke ujenzi wa daraja hili kwenye bajeti yetu.
Akizungumza wakati wa ukaguzo wa barabara hiyo ya Shelui-Tintigulu Meneja wa TARURA Wilaya ya Iramba, Mhandisi Evance Kibona amesema, ujenzi wa barabara hiyo umeanza Desemba 11 na utakamilika Juni,2022.
Wilaya ya Iramba ilikuwa na majimbo mawili ya Iramba mashariki|Mkalama na Iramba magharibi kabla ya Mkalama kuwa Wilaya, Jimbo la Iramba Magh linaloongozwa na Waziri wa fedha na Mipango Dkt Mwigulu Nchemba,Iramba Kaziiendelee