Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,094
- 2,696
Tazama mawingu angani ujue mvua itanyesha. Tazama ishara Kama yanatokea mabadiliko ya sera.
Rais anasema anataka watu wote wafanye. Rais anasema vijana hawana sababu ya kuiba.
Ile hotuba ya Jana,Mimi ningekuwa kijana ningekuwa na wasi wasi.
Bado tu kusema kwamba atawafutia mashamba wakalime.
Watu wanapima kina Cha maji. Sikumuelewa Rais,nikaulizia,"anasema nini?" Nikaambiwa anassema vijana wameanza kuwa wezi.
""Aha. Anasema,vijana wanatingisha kibiriti?"
Nikaambiwa"Ndlyo,ndiyo"
Kwa hiyo elewa hapo mabadiliko ya sera.
Kama alivyosema Lenin,"Kwanza tutajidai tunataka kudumisha nidhamu serikalini, halafu tutawageukia wananchi,tutawaonjesha mateso ya Motoni."
Halafu please note,Rais anaongea maneno ya ukali Ijumaa kabla ya kwenda weekend. Labda tutaona pattern Rais anakuwa mkali kila inapokaribia weekend?
Tatizo ni Udikteta. Paka akiondoka panya wanatawala. Magufuli ameondoka ,tunasikia watu wengi tulikuwa hatuwasikii.
Rais anasema anataka watu wote wafanye. Rais anasema vijana hawana sababu ya kuiba.
Ile hotuba ya Jana,Mimi ningekuwa kijana ningekuwa na wasi wasi.
Bado tu kusema kwamba atawafutia mashamba wakalime.
Watu wanapima kina Cha maji. Sikumuelewa Rais,nikaulizia,"anasema nini?" Nikaambiwa anassema vijana wameanza kuwa wezi.
""Aha. Anasema,vijana wanatingisha kibiriti?"
Nikaambiwa"Ndlyo,ndiyo"
Kwa hiyo elewa hapo mabadiliko ya sera.
Kama alivyosema Lenin,"Kwanza tutajidai tunataka kudumisha nidhamu serikalini, halafu tutawageukia wananchi,tutawaonjesha mateso ya Motoni."
Halafu please note,Rais anaongea maneno ya ukali Ijumaa kabla ya kwenda weekend. Labda tutaona pattern Rais anakuwa mkali kila inapokaribia weekend?
Tatizo ni Udikteta. Paka akiondoka panya wanatawala. Magufuli ameondoka ,tunasikia watu wengi tulikuwa hatuwasikii.