Rais Samia aongeza viwanda vipya 30,000

Rais Samia aongeza viwanda vipya 30,000

Jabali la Siasa

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2020
Posts
3,579
Reaction score
2,906

==​

Wakati Rais Samia anaingia madarakani Tanzania ilikuwa na jumla ya Viwanda 50,000.

Miaka minne ya Rais Samia Tanzania imefikia jumla ya Viwanda 80,128 sawa na viwanda vipya 30,128 ambavo ni sawa na ongezeko la 60.3% ndani ya miaka minne(4) .

Tanzania kwa sasa inaziada ya tani 3m za sementi ambapo tumefikia tani 10milioni juu ya lengo la tani 7milioni, Pia kwa sasa Tanzania inaziada ya Bati(Msauzi) tani 130milioni kwa kuwa na akiba ya tani 260milioni kutoka hitaji la tani 130milioni.

IMG-20250710-WA0063.jpg
 

==​

Wakati Rais Samia anaingia madarakani Tanzania ilikuwa na jumla ya Viwanda 50,000.

Miaka minne ya Rais Samia Tanzania imefikia jumla ya Viwanda 80,128 sawa na viwanda vipya 30,128 ambavo ni sawa na ongezeko la 60.3% ndani ya miaka minne(4) .

Tanzania kwa sasa inaziada ya tani 3m za sementi ambapo tumefikia tani 10milioni juu ya lengo la tani 7milioni, Pia kwa sasa Tanzania inaziada ya Bati(Msauzi) tani 130milioni kwa kuwa na akiba ya tani 260milioni kutoka hitaji la tani 130milioni.


View: https://www.youtube.com/live/sXTjrzsHUwU?si=kSsjr54A8rPZcZkE

Lakini
vijana wanamaliza vyuo hawapati ajira
 

==​

Wakati Rais Samia anaingia madarakani Tanzania ilikuwa na jumla ya Viwanda 50,000.

Miaka minne ya Rais Samia Tanzania imefikia jumla ya Viwanda 80,128 sawa na viwanda vipya 30,128 ambavo ni sawa na ongezeko la 60.3% ndani ya miaka minne(4) .

Tanzania kwa sasa inaziada ya tani 3m za sementi ambapo tumefikia tani 10milioni juu ya lengo la tani 7milioni, Pia kwa sasa Tanzania inaziada ya Bati(Msauzi) tani 130milioni kwa kuwa na akiba ya tani 260milioni kutoka hitaji la tani 130milioni.


View: https://www.youtube.com/live/sXTjrzsHUwU?si=kSsjr54A8rPZcZkE

Hivyo viwonda si wangevitaja hata buku tu!.
 
Hivyo viwanda viko wapi jamani,hv unaijua idadi ya 80,000
Tupe list na location vinginevyo uzi huu ni batili
 
Huyu mama ni zawadi ya upendeleo kwa watz ni Mungu tu katupendelea imagine tuna viwanda vingi kuliko Japan, America na Germany.Tunaongoza kwa mauzo ya nje yaan exports kwa Africa nzima. Pia tuna unemployment rate ndogo kuliko nchi zote Africa na Asia at 12%. Pia tunaimport kwa kias kidogo kuliko nchi zote Africa. Tuna stable source of energy yaan umeme haukatiki kwa juhudi za mama za kumalizia bwawa la Nyerere
 
Back
Top Bottom