Rais Samia angalia mapokezi Aida Khenani huko Kirando Nkasi

Rais Samia angalia mapokezi Aida Khenani huko Kirando Nkasi

Chadema irudishwe tena lupango. Hali inatisha, haiwezekani mweshemewa kajificha nyinyi mnatamba
 

Attachments

  • IMG-20260426-WA0052.jpg
    IMG-20260426-WA0052.jpg
    454.3 KB · Views: 15
kitengo ya skripti za porojo na uzushi nonsense mitandaoni,
bado mpo nairobi au mmesharudishwa mikocheni? :pedroP:


hapo chini ni Boniyai akikiombea chama chake michango ya pesa za kuendeshea chama huko bagamoyo,
mamilioni ya wanachadema walihudhuria lakini hakuambulia hata mia :pedroP:
Chiz karogwa tena
 
Kwa sasa Imani ya wananchi iko kwa chadema. Ukitaka kujua angalia idadi ya watu waliopiga kura ilikua ndogo Sana. Na hata hao wachache walienda kipiga kwa ajili ya watu wao waliokuwa wanagombea ubunge na idiwani.
Kadri chadema watakavofanya mikutano yao ndivo dunia itajionea ukweli halisi kwa sasa watanzania wanapenda chama gani
 
Jambazi lililoiba uchaguzi na kujitangaza kushinda kwa 98% linaogopa hata kutembelea wananchi linatawa tu huko Tunguu.
 
Kuizuia Chadema kufanya siasa ni kuanzisha vurugu nyingine huko mbele ya safari, CCM ikubali tu kuwa sasa hivi Chadema siyo chama cha siasa tu bali ni imani kamili ambayo ina wafuasi mamilioni kwa mamilioni nchi nzima hii hivyo kuifanyia figisu zozote ni sawa na kuunda bomu la nyuklia ambalo likija kulipuka nchi itasambaratika, waache watu waamue wenyewe wanataka kuongozwa namna gani na nani awaongoze. Zama za CCM zimekwisha ndiyo maana inabebwa na mitutu ya bunduki ya majeshi.
 
kitengo ya skripti za porojo na uzushi nonsense mitandaoni,
bado mpo nairobi au mmesharudishwa mikocheni? :pedroP:


hapo chini ni Boniyai akikiombea chama chake michango ya pesa za kuendeshea chama huko bagamoyo,
mamilioni ya wanachadema walihudhuria lakini hakuambulia hata mia :pedroP:
Screenshot_20260427-082911~2.png
 
Back
Top Bottom