Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,095
- 4,059
Naendelea kuwasalimia kwa jina la Muungano wa Tanzania.
Hapo awali nilikuwa nikijua Watanzania pekee ndio tunaoona juhudi hizi za makusudi za mama yetu Samia Saluhu Hasani za kuleta maendeleo kwa njia mbalimbali katika nchi yetu.
Jitihada za mama sio tu zinakoshwa na upinzani bali hadi watu wa games, IT na TEHAMA duniani kote.
Kwa sasa kupitia Royal Tour Tanzania imekuwa newly exposed. Kuna game ya safari inatengenezwa kwa kuchukua location za mbuga za wanyama Tanzania na huko Kenya wanatuonea wivu na wanatetemeka.
Kupitia Samia, yeye mwenyewe ametuumbua sana sisi Waafrika hasa tunaoamini mwanamke hawezi chochote, mwanamke hadi awezeshwe, mwanamke ni dhaifu, mwanamke ni wakupangiwa, mwanamke ni wakupika tu nyumbani.
Samia ni mfano usioelezeka kwa namna yoyote ile zaidi tu ya kusema.
A N A U P I G A MWINGI SANA
hivyo basi
2025 ⌚M!5 TENA
MAJIBU YA WAULIZAO GAME LILIKUWEPO KABLA YA ROYAL TOUR.
Kwanza nasikitishwa sana na watu wanaodandia gari kwa mbele kwa sababu wanaamua kupumbaza wengine kwa kukusudia au kwa kutojua.
Developer wa Game hili wamependezwa na utalii nchini Tanzania na ndio maana wakaamua kuingiza event pekee ya Tanzania siku nne zilizopita.
Naomba kwanza waangalie hiyo update ya event ni ya lini kwenye hiyo picha ndipo mje mseme game lilikuwepo hata kabla ya Royal Tour.
Swali langu kwenu je kabla ya royal Tour event ya Tanzania ilikuwepo?
Karibuni tena kwa ufafanuzi
Hapo awali nilikuwa nikijua Watanzania pekee ndio tunaoona juhudi hizi za makusudi za mama yetu Samia Saluhu Hasani za kuleta maendeleo kwa njia mbalimbali katika nchi yetu.
Jitihada za mama sio tu zinakoshwa na upinzani bali hadi watu wa games, IT na TEHAMA duniani kote.
Kwa sasa kupitia Royal Tour Tanzania imekuwa newly exposed. Kuna game ya safari inatengenezwa kwa kuchukua location za mbuga za wanyama Tanzania na huko Kenya wanatuonea wivu na wanatetemeka.
Kupitia Samia, yeye mwenyewe ametuumbua sana sisi Waafrika hasa tunaoamini mwanamke hawezi chochote, mwanamke hadi awezeshwe, mwanamke ni dhaifu, mwanamke ni wakupangiwa, mwanamke ni wakupika tu nyumbani.
Samia ni mfano usioelezeka kwa namna yoyote ile zaidi tu ya kusema.
A N A U P I G A MWINGI SANA
hivyo basi
2025 ⌚M!5 TENA
MAJIBU YA WAULIZAO GAME LILIKUWEPO KABLA YA ROYAL TOUR.
Kwanza nasikitishwa sana na watu wanaodandia gari kwa mbele kwa sababu wanaamua kupumbaza wengine kwa kukusudia au kwa kutojua.
Developer wa Game hili wamependezwa na utalii nchini Tanzania na ndio maana wakaamua kuingiza event pekee ya Tanzania siku nne zilizopita.
Naomba kwanza waangalie hiyo update ya event ni ya lini kwenye hiyo picha ndipo mje mseme game lilikuwepo hata kabla ya Royal Tour.
Swali langu kwenu je kabla ya royal Tour event ya Tanzania ilikuwepo?
Karibuni tena kwa ufafanuzi