Lord Denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 23,494
- 57,871
Nani chawa wa Samia?Nyie majamaa mnatumika kuifanya hii nchi iwe maskini.
Kungekuwa na mauaji ya watu wa hovyo hadharani, machawa wa Samia wote mlipaswa kuuawa hadharani.
Katika maadui wakuu wa taifa letu, machawa mpo kwenye orodha.
Tanzania inafanywa kuwa maskini na mawakala wa nchi jirani mnaotumika kui sabotage.
Samia anafanya vizuri sana kuitengeneza Tanzania kuwa the economic powerhouse ya Afrika.


. Tulihisi ametutoa kimasomaso, kadhihirisha tu kuwa sisi kumbe bado hatuna uwezo wa kuongoza taifa.