Kunapokuwa na mabaya tukosoe. Palipo mazuri tuunge mkono. SSH ktk hili amefanya jambo jema. Alirithi nchi ikiwa imegawanyika. Hata nawe na uzi wako huu pia furahi palipo na mazuri. Na kosoa palipo na kasoro. Na hiyo ndo Demokrasia.Kwa kukubali viongozi wa dini kumvaa na kwa uhakika ni kwa ushawishi wa askofu shoo rais samia ameonyesha udhaifu mkubwa.
Gharama kiasi gani zimepotea kuendesha kesi dhidi ya Mbowe? Kwanini asisubiri ahukumiwe.
Magufulists hakika tumeudhika sana kuona huyo gaidi aliyekua ameanza kampeni mbaya kumdemonise Magufuli serikali ya Samia imemuachia.
Na ngoja samia ndio atawajua Chadema. Watasema wameshinda kesi ya uonezi na huyohuyo Mbowe ndio ataanza mashambulizi dhidi ya serikali ya CCM akikejeli na kutukana.
Uhakika Mbowe angekutwa na makosa na kuhukumiwa aende jela lakini askofu wa Chadema shoo bila shaka ameweza kuwashawi viongozi wa dini kumuomba rais kesi ifutwe kwenye hatua ya kujitetea mtuhumiwa.
Ili kuleta furaha kwa wote basi Mama Samia atoe msamaha na kufuta kesi zinazomkabili Sabaya. Tunajua Chadema kwa akili yao wanafikiri Mbowe hawezi kua gaidi na kwamba sabaya ni jambazi.
Sisi Magufulists tunaamini Mbowe angekutwa na hatia ya ugaidi na Sabaya amekua framed na wafuasi wa Mbowe. Kwahivyo Sabaya naye aachiwe vinginevyo hakuna kuelewana.
Kwa kukubali viongozi wa dini kumvaa na kwa uhakika ni kwa ushawishi wa askofu shoo rais samia ameonyesha udhaifu mkubwa.
Gharama kiasi gani zimepotea kuendesha kesi dhidi ya Mbowe? Kwanini asisubiri ahukumiwe.
Magufulists hakika tumeudhika sana kuona huyo gaidi aliyekua ameanza kampeni mbaya kumdemonise Magufuli serikali ya Samia imemuachia.
Na ngoja samia ndio atawajua Chadema. Watasema wameshinda kesi ya uonezi na huyohuyo Mbowe ndio ataanza mashambulizi dhidi ya serikali ya CCM akikejeli na kutukana.
Uhakika Mbowe angekutwa na makosa na kuhukumiwa aende jela lakini askofu wa Chadema shoo bila shaka ameweza kuwashawi viongozi wa dini kumuomba rais kesi ifutwe kwenye hatua ya kujitetea mtuhumiwa.
Ili kuleta furaha kwa wote basi Mama Samia atoe msamaha na kufuta kesi zinazomkabili Sabaya. Tunajua Chadema kwa akili yao wanafikiri Mbowe hawezi kua gaidi na kwamba sabaya ni jambazi.
Sisi Magufulists tunaamini Mbowe angekutwa na hatia ya ugaidi na Sabaya amekua framed na wafuasi wa Mbowe. Kwahivyo Sabaya naye aachiwe vinginevyo hakuna kuelewana.
hili ni pigo kubwa sana kwa mama
usi panic mkuu, haya maisha tunapita. hakikisha watoto wanakula na kusazaPigo kubwa sana kwa mama, au ni pigo kubwa sana kwenu nyinyi wapotoshaji na wachonganishi? Ilibakia kidogo tu mumharibu kabisa mama wa watu kwa kumlisha matango pori! Watu wabaya sana nyinyi.
Halafu eti bila hata ya chembe ya aibu, unasema "hili ni pigo kubwa sana kwa mama" Hakuna pigo lolote. Na binafsi natamani kumuona huyu mama akiwapuuza watu wabaya kama nyinyi.
Nakuunga mkono ila unaposema mama kaamua kupiga goti na kulamba miguu ya Mbowe hilo ni tusi. Kumbuka rais yupo bado madarakani na Mbowe ni binadamu hivyo kutenda kosa baadae ni jambo linalowezekana.Kwa mashahidi wale wa mchongo ulitegemea serikali ingeshinda ile kesi, embu shirikisha ubongo wako mkuu, Mama Samia aliona kabisa kwa kesi hii mambo yatamuwia vigumu 2025 hivyo kaamua kupiga goti na kulamba miguu ya Mh. Mbowe 😀
Nendeni mkatambike kwenye kaburi la DIKTEKA UCHWARA.Kwa kukubali viongozi wa dini kumvaa na kwa uhakika ni kwa ushawishi wa askofu shoo rais samia ameonyesha udhaifu mkubwa.
Gharama kiasi gani zimepotea kuendesha kesi dhidi ya Mbowe? Kwanini asisubiri ahukumiwe.
Magufulists hakika tumeudhika sana kuona huyo gaidi aliyekua ameanza kampeni mbaya kumdemonise Magufuli serikali ya Samia imemuachia.
Na ngoja samia ndio atawajua Chadema. Watasema wameshinda kesi ya uonezi na huyohuyo Mbowe ndio ataanza mashambulizi dhidi ya serikali ya CCM akikejeli na kutukana.
Uhakika Mbowe angekutwa na makosa na kuhukumiwa aende jela lakini askofu wa Chadema shoo bila shaka ameweza kuwashawi viongozi wa dini kumuomba rais kesi ifutwe kwenye hatua ya kujitetea mtuhumiwa.
Ili kuleta furaha kwa wote basi Mama Samia atoe msamaha na kufuta kesi zinazomkabili Sabaya. Tunajua Chadema kwa akili yao wanafikiri Mbowe hawezi kua gaidi na kwamba sabaya ni jambazi.
Sisi Magufulists tunaamini Mbowe angekutwa na hatia ya ugaidi na Sabaya amekua framed na wafuasi wa Mbowe. Kwahivyo Sabaya naye aachiwe vinginevyo hakuna kuelewana.
Hapo kaandika na kupost mara tu alipotoka kufanyiwa tendo la ndoa na msela mmoja hivi kashupaa kama anakula cement!Unaandika huu upupu ukiwa wapi?
Naunga mkono hojaKwa kukubali viongozi wa dini kumvaa na kwa uhakika ni kwa ushawishi wa askofu shoo rais samia ameonyesha udhaifu mkubwa.
Gharama kiasi gani zimepotea kuendesha kesi dhidi ya Mbowe? Kwanini asisubiri ahukumiwe.
Magufulists hakika tumeudhika sana kuona huyo gaidi aliyekua ameanza kampeni mbaya kumdemonise Magufuli serikali ya Samia imemuachia.
Na ngoja samia ndio atawajua Chadema. Watasema wameshinda kesi ya uonezi na huyohuyo Mbowe ndio ataanza mashambulizi dhidi ya serikali ya CCM akikejeli na kutukana.
Uhakika Mbowe angekutwa na makosa na kuhukumiwa aende jela lakini askofu wa Chadema shoo bila shaka ameweza kuwashawi viongozi wa dini kumuomba rais kesi ifutwe kwenye hatua ya kujitetea mtuhumiwa.
Ili kuleta furaha kwa wote basi Mama Samia atoe msamaha na kufuta kesi zinazomkabili Sabaya. Tunajua Chadema kwa akili yao wanafikiri Mbowe hawezi kua gaidi na kwamba sabaya ni jambazi.
Sisi Magufulists tunaamini Mbowe angekutwa na hatia ya ugaidi na Sabaya amekua framed na wafuasi wa Mbowe. Kwahivyo Sabaya naye aachiwe vinginevyo hakuna kuelewana.
Hii kesi ya mchongo tulishawaambia hapa tangu mwanzo mkashupaza viuno vikavu kama mfalme zumeradi.
Haya sasa mataga pori leo mtajiharishia damu.
Pambafu.
Kwa kukubali viongozi wa dini kumvaa na kwa uhakika ni kwa ushawishi wa askofu shoo rais samia ameonyesha udhaifu mkubwa.
Gharama kiasi gani zimepotea kuendesha kesi dhidi ya Mbowe? Kwanini asisubiri ahukumiwe.
Magufulists hakika tumeudhika sana kuona huyo gaidi aliyekua ameanza kampeni mbaya kumdemonise Magufuli serikali ya Samia imemuachia.
Na ngoja samia ndio atawajua Chadema. Watasema wameshinda kesi ya uonezi na huyohuyo Mbowe ndio ataanza mashambulizi dhidi ya serikali ya CCM akikejeli na kutukana.
Uhakika Mbowe angekutwa na makosa na kuhukumiwa aende jela lakini askofu wa Chadema shoo bila shaka ameweza kuwashawi viongozi wa dini kumuomba rais kesi ifutwe kwenye hatua ya kujitetea mtuhumiwa.
Ili kuleta furaha kwa wote basi Mama Samia atoe msamaha na kufuta kesi zinazomkabili Sabaya. Tunajua Chadema kwa akili yao wanafikiri Mbowe hawezi kua gaidi na kwamba sabaya ni jambazi.
Sisi Magufulists tunaamini Mbowe angekutwa na hatia ya ugaidi na Sabaya amekua framed na wafuasi wa Mbowe. Kwahivyo Sabaya naye aachiwe vinginevyo hakuna kuelewana.
Kesi hiyo mliitengeneza kama mbinu ya kumvuruga mrithi wake, Sasa Naye amewajueni na atawaadabisha vilivyo, mjipange🤪Kwa kukubali viongozi wa dini kumvaa na kwa uhakika ni kwa ushawishi wa askofu shoo rais samia ameonyesha udhaifu mkubwa.
Mama Samia aliona kabisa kwa kesi hii mambo yatamuwia vigumu 2025 hivyo kaamua kupiga goti na kulamba miguu ya Mh. Mbowe 😀
Mmesarenda alafu donge limewakaba kwenye koo halimezeki wala halitemeki😂😂😂Mumshukuru sheikh zuberi.
Ilikuwa bye bye baba jeni.
Umeandika upuuzi.Kwa kukubali viongozi wa dini kumvaa na kwa uhakika ni kwa ushawishi wa askofu shoo rais samia ameonyesha udhaifu mkubwa.
Gharama kiasi gani zimepotea kuendesha kesi dhidi ya Mbowe? Kwanini asisubiri ahukumiwe.
Magufulists hakika tumeudhika sana kuona huyo gaidi aliyekua ameanza kampeni mbaya kumdemonise Magufuli serikali ya Samia imemuachia.
Na ngoja samia ndio atawajua Chadema. Watasema wameshinda kesi ya uonezi na huyohuyo Mbowe ndio ataanza mashambulizi dhidi ya serikali ya CCM akikejeli na kutukana.
Uhakika Mbowe angekutwa na makosa na kuhukumiwa aende jela lakini askofu wa Chadema shoo bila shaka ameweza kuwashawi viongozi wa dini kumuomba rais kesi ifutwe kwenye hatua ya kujitetea mtuhumiwa.
Ili kuleta furaha kwa wote basi Mama Samia atoe msamaha na kufuta kesi zinazomkabili Sabaya. Tunajua Chadema kwa akili yao wanafikiri Mbowe hawezi kua gaidi na kwamba sabaya ni jambazi.
Sisi Magufulists tunaamini Mbowe angekutwa na hatia ya ugaidi na Sabaya amekua framed na wafuasi wa Mbowe. Kwahivyo Sabaya naye aachiwe vinginevyo hakuna kuelewana.
Mmesarenda alafu donge limewakaba kwenye koo halimezeki wala halitemeki