johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,943
- 143,555
Kwa mfano Mwenyekiti wa CCM Daktari Samia alishiriki Birthday ya Mbunge Mstaafu wa Chadema Mbeya Mjini Bilionea Sugu kuna ubaya gani Sugu Kuomba hela ya Kampeni kwa mama
Au pale Kanisani Machame KKKT Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe alikabidhi Mchango wa TSH 150 mil za Ujenzi wa Kanisa zilizotolewa na Rais Samia
Au pale Kanisani Rombo KKKT Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe, Halima Mdee,Dr Mwigulu, mbunge Saashisha, mbunge Sanga, mbunge Bulaya kwa Umoja wao walikabidhi Mchango wa Fedha za kumnunulia V 8 Askofu Dr Shoo
Hata pale Kanisani Chamwino Kanisa Moja Takatifu La Mitume Shujaa Magufuli alichangisha Harambee ya Ujenzi wa Msikiti
Mifano ni mingi sana hivyo isiwe Nongwa Leo Wagombea wa Chadema Akina Pambalu kuchangiwa na Marafiki zao wa CCM Akina Jokate
Kifupi Hoja ya Tundu Antipas Lissu haina mashiko kwani hata yeye amewahi kuchangiwa na Marafiki zake kutoka CCM
Jumaa Kareem.
Au pale Kanisani Machame KKKT Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe alikabidhi Mchango wa TSH 150 mil za Ujenzi wa Kanisa zilizotolewa na Rais Samia
Au pale Kanisani Rombo KKKT Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe, Halima Mdee,Dr Mwigulu, mbunge Saashisha, mbunge Sanga, mbunge Bulaya kwa Umoja wao walikabidhi Mchango wa Fedha za kumnunulia V 8 Askofu Dr Shoo
Hata pale Kanisani Chamwino Kanisa Moja Takatifu La Mitume Shujaa Magufuli alichangisha Harambee ya Ujenzi wa Msikiti
Mifano ni mingi sana hivyo isiwe Nongwa Leo Wagombea wa Chadema Akina Pambalu kuchangiwa na Marafiki zao wa CCM Akina Jokate
Kifupi Hoja ya Tundu Antipas Lissu haina mashiko kwani hata yeye amewahi kuchangiwa na Marafiki zake kutoka CCM
Jumaa Kareem.