Rais Samia amefanya ziara ya kikazi ya siku moja Nchini Msumbiji

Nyendo

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
1,194
4,112
Salaam Wakuu,

Leo tarehe 28/01/2022 Rais Samia amefanya ziara ya kikazi ya siku moja Nchini Msumbiji. Katika ziara hiyo Rais Samia amepokelewa na mwenyeji wake Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi. Lengo la Ziara hiyo ni kujitambulisha kwa viongozi wenzake wa Nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini SADC.

Zaidi ya hayo, Rais Samia ameshukuru kwa mapokezi mazuri pia amesisitiza kuwa Tanzania itaendelea kudumisha uhusiano mzuri kati yake na Msumbiji.

Baada ya Ziara hiyo ya siku moja Rais Samia amerejea nchini


IMG_20220128_201745_236.jpg
IMG_20220128_201748_450.jpg
 

Mozambique in insurgency talks with Tanzania​

Pemba, Moçambique

28 January 2022 | 1:05 pm




Source : TV Miramar

The leaders of Mozambique and Tanzania met Friday to discuss the Islamist insurgency that Maputo has called in regional forces to help suppress.

The fighting in northern Mozambique has occasionally spilled across the border with Tanzania, which has deployed troops in the country under the umbrella of the Southern African Development Community (SADC).

“Tanzania has always been on our side, has always offered to help Mozambique within the scope of SAMIM,” Mozambican President Filipe Nyusi said, referring to the SADC mission.

“In our talks, we looked at how our cooperating is evolving, because we are two countries and we have a common problem,” he said in remarks broadcast on national radio.

Nyusi met with Tanzanian President Samia Suluhu Hassan in the northern town of Pemba, the provincial capital of Cabo Delgado, which SADC and Rwandan forces helped Mozambique reclaim from the insurgents in August.

Neither leader revealed much of the substance of their talks, but Nyusi signalled that he wanted continued support from the region.
“The terrorists cross the common border between Mozambique and Tanzania,” he said.

“We are interested in a more dedicated approach to the problem.” “We have seen that the enemy is improving its techniques. We want to study how our forces can deal with the enemy, with terrorism. We will soon improve our combat forces,” he added.
Hassan said that she came “to reaffirm our commitment to Mozambique.”

“Tanzania is here to work together with Mozambique in our developmental and our peace and security affairs.” The unrest erupted in 2017, leaving at least 3,500 dead and around 820,000 homeless. The insurgents’ brutal tactics — including beheadings, mass abductions, and the torching of homes — rattled the region.

International energy companies stopped their multi-billion-dollar natural gas projects in Cabo Delgado and evacuated their staff.
Cabo Delgado is home to the largest-ever foreign investment in Africa: a $20-billion development by France’s Total.

But residents in the mostly Muslim province have yet to see many tangible benefits from the investments, which they feel flow to the government of the largely Christian country.

Hassan is trying to jump-start Tanzania’s own natural gas project, estimated at $30 billion. As in Mozambique, the scheme would involve building a liquefied natural gas (LNG) terminal near vast offshore gas deposits
 
28 janeiro 2022

Pemba, Cabo Delgado
Moçambique

Moçambique e Tanzânia unidos contra o terrorismo



Presidentes de Moçambique e da Tanzânia dizem que estão unidos na luta contra o terrorismo na província de Cabo Delgado. Os chefes de Estado encontram-se hoje na província assolada pelo terrorismo.

Source : VOAPortugues
 
Aliyeandika taarifa hii anatakiwa kwenda likizo. Hesabu neno "ushirikiano" ...huu ni ufyatu..taarifa ya Kireno imesema mengine mbona?
 
Aliyeandika taarifa hii anatakiwa kwenda likizo. Hesabu neno "ushirikiano" ...huu ni ufyatu..taarifa ya Kireno imesema mengine mbona?
Presidents of Mozambique and Tanzania say they are united in the fight against terrorism in Cabo Delgado province. The heads of state meet today in the province assolated by terror.

Google translate
 
Salaam Wakuu,

Leo tarehe 28/01/2022 Rais Samia amefanya ziara ya kikazi ya siku moja Nchini Msumbiji. Katika ziara hiyo Rais Samia amepokelewa na mwenyeji wake Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi. Lengo la Ziara hiyo ni kujitambulisha kwa viongozi wenzake wa Nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini SADC.

Zaidi ya hayo, Rais Samia ameshukuru kwa mapokezi mazuri pia amesisitiza kuwa Tanzania itaendelea kudumisha uhusiano mzuri kati yake na Msumbiji.

Baada ya Ziara hiyo ya siku moja Rais Samia amerejea nchini


Ni jambo jema kudumisha uhusiano mzuri na nchi jirani, LAKINI uhusiano mzuri wa ndani ni muhimu zaidi.

Aibu kubwa dhidi ya Samia ni kesi ya kubumba anayoipigia chapuo na kushabikia dhidi ya Mbowe.

Uchafu wake huo ndio unaomfanya ashindwe kutembelea mataifa makubwa yenye ustaarabu yanayothamini demokrasia na haki za watu.
 
Salaam Wakuu,

Leo tarehe 28/01/2022 Rais Samia amefanya ziara ya kikazi ya siku moja Nchini Msumbiji. Katika ziara hiyo Rais Samia amepokelewa na mwenyeji wake Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi. Lengo la Ziara hiyo ni kujitambulisha kwa viongozi wenzake wa Nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini SADC.

Zaidi ya hayo, Rais Samia ameshukuru kwa mapokezi mazuri pia amesisitiza kuwa Tanzania itaendelea kudumisha uhusiano mzuri kati yake na Msumbiji.

Baada ya Ziara hiyo ya siku moja Rais Samia amerejea nchini


Hivi kuna usalama wa kutosha huko mnakompeleka Madam President?
 
Its a naked TRUTH ziara hii ni kuhusu vita inayoendelea kusini ya Tanzania (kaskazini ya msumbuji)SADC armies bado vita hii inawasumbua maana umoja miongoni mwao bado ni tatizo na Rwanda Army halikupata baraka zote za SADC countries (only Mozambique)na they are operating nje ya mfumo wa sadc armies,ile vita itakua ni ndefu na ni complicated na imeshasambaa jimbo la NASSA .
 
Ni muhimu kwa mustakabali wa usalama wa mikoa ya kusini.

Hapa nakubali hii safari.
 
Aendelee tu kwenda anajitambulisha angerudia na visiwa vya ngazija na huku mayote.
 
Its a naked TRUTH ziara hii ni kuhusu vita inayoendelea kusini ya Tanzania (kaskazini ya msumbuji)SADC armies bado vita hii inawasumbua maana umoja miongoni mwao bado ni tatizo na Rwanda Army halikupata baraka zote za SADC countries (only Mozambique)na they are operating nje ya mfumo wa sadc armies,ile vita itakua ni ndefu na ni complicated na imeshasambaa jimbo la NASSA .
Sasa Sadc walitaka wabembembelezwe? Tangu 2017 Ni kufanya tu vikao mpk alipoingia Rwanda ndio na wao kwa aibu wakaja mbio mbio.

S/Africa ndio iliumia kishenzi kuona Rwanda ameingia maana yenyewe ndio inajionaga Godfather wa nchi za SADC,ikaona Kama inaanza kuchukuliwa poa na umuhimu wake kuanza kufutwa taratibu.
 
Sasa Sadc walitaka wabembembelezwe? Tangu 2017 Ni kufanya tu vikao mpk alipoingia Rwanda ndio na wao kwa aibu wakaja mbio mbio.

S/Africa ndio iliumia kishenzi kuona Rwanda ameingia maana yenyewe ndio inajionaga Godfather wa nchi za SADC,ikaona Kama inaanza kuchukuliwa poa na umuhimu wake kuanza kufutwa taratibu.
Usijibie kwa jazba hapa,SA wameingia kwenye anga hizi post 1994!Tanzania,Zambia,Malawi etc etc tupo miaka mingi na yenye uzoefu,je tumefanya nini?Rwanda nayo ni ya juzi juzi tu,heshima yetu imekwisha kwenye nyanja hii,miaka ya 70s hadi 80s Africa ilikua inasubiria tamko kutoka Dar es Salaam!!sasa sisi ndio tunasubiria tamko kutoka Pretoria au Abuja au Kigali
 
Usijibie kwa jazba hapa,SA wameingia kwenye anga hizi post 1994!Tanzania,Zambia,Malawi etc etc tupo miaka mingi na yenye uzoefu,je tumefanya nini?Rwanda nayo ni ya juzi juzi tu,heshima yetu imekwisha kwenye nyanja hii,miaka ya 70s hadi 80s Africa ilikua inasubiria tamko kutoka Dar es Salaam!!sasa sisi ndio tunasubiria tamko kutoka Pretoria au Abuja au Kigali
😄😄 Naona unapaniki kiboya.

Hujaona sehemu nimekwambia SADC walikua wanajivuta Vuta tangu 2017 ni vikao tu?Kwa hio SADC Ni S/Africa tu sio?

Financial Muscles za kupigana vita unadhani Ni mchezo sio?

Lesotho yenyewe imeshasema haina uwezo wa kuendelea kugharamia wanajeshi wake walioko kwny hio mission huko Mozambique na wanategemea kujiondoa.

Rwanda wao sababu EU precidency kwa sasa iko chini ya wafaransa then wanategemea kupewa funds za kutosha ili kuendelea kupigana huko,huku wakilinda investment ya gesi ya wafaransa.

Sadc unadhani isipokua funded inaweza kuendelea kupigana kule Mozambique?Hata miaka miwili haiwezi kukaa Kule.

Vita inataka pesa na sio story za sijui Tz tuonekana tunaheshimika na tukitoa tamko linatetemesha Africa.Mawazo ya kizamani Sana hayo Mjomba.
 
Back
Top Bottom