Rais Samia akosa imani na Waziri Mashimba Ndaki

saidoo25

JF-Expert Member
Jul 4, 2022
602
1,407
Rais Samia Suluhu Hassan amenukuliwa na magazeti mengi ya leo akitoa onyo la mwisho kwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki kutokana na usimamizi mbovu wa Wizara yake na kudaiwa huku fedha nyingi zikidaiwa kupotelea kwenye mifuko ya watu.

Naungana na Rais Samia, Mashimba ameonyesha kushindwa kwa kiwango kikubwa kutekeleza majukumu yake hasa katika maeneo kadhaa ikiwemo kusababisha kushamiri kwa migogoro ya wakulima na wafugaji kurudi upya na watu kuuana mfano Kilindi, Rufiji, Kilimanjaro, Mbeya na maeneo mengine ya nchi mambo ambayo hapo nyuma yalitulia.

Mashimba ameshindwa kusimamia Rachi za Taifa na kusababisha Serikali kupoteza mapato mengi kutokana na usimamizi mbovu wa sekta hiyo.

Pia kulikuwa na utaratibu wa kuogesha mifugo kwa dawa za ruzuku jambo hilo Waziri Mashimba ameua utaratibu huo na kusasabisha wafugaji wengi kushindwa kuongesha mifugo yao na mingi kufa kwa magonjwa.

Mashimba pia ameshindwa kusimamia sekta ya uvuvi na kusababisha samaki kupungua sana Ziwa Victoria na maeneo mengine kutokana na kushamiri kwa uvuvi haramu na kusababisha uhaba wa samaki na dagaa na kwamba anadaiwa kuwa hafanyi juhudi zozote za kudhibiti uvuvi haramu kwa kisingizio kuwa Rais amesema watu wasionewe.

Mashimba amekuwa akitumia vibaya jina la Rais kwamba ndiye ameruhusu uvuvi haramu na mifugo iendelee kutoroshwa nje ya nchi jambo ambalo sio la kweli kwani hakuna kiongozi wa Serikali aliyeapishwa kulinda rasilimali za nchi akaruhusu ziharibiwe eti kwa kisingizio cha hataki watu kuonewa wakati Sheria za nchi zinataka mali hizo zilindwe.
 
Rais Samia Suluhu Hassan amekunuliwa na magazeti mengi ya leo akitoa onyo la mwisho kwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki kutokana na usimamizi mbovu wa Wizara yake na kudaiwa huku fedha nyingi zikidaiwa kupotelea kwenye mifuko ya watu.

Naungana na Rais Samia, Mashimba ameonyesha kushindwa kwa kiwango kikubwa kutekeleza majukumu yake hasa katika maeneo kadhaa ikiwemo kusababisha kushamiri kwa migogoro ya wakulima na wafugaji kurudi upya na watu kuuana mfano Kilindi, Rufiji, Kilimanjaro, Mbeya na maeneo mengine ya nchi mambo ambayo hapo nyuma yalitulia.

Mashimba ameshindwa kusimamia Rachi za Taifa na kusababisha Serikali kupoteza mapato mengi kutokana na usimamizi mbovu wa sekta hiyo.

Pia kulikuwa na utaratibu wa kuogesha mifugo kwa dawa za ruzuku jambo hilo Waziri Mashimba ameua utaratibu huo na kusasabisha wafugaji wengi kushindwa kuongesha mifugo yao na mingi kufa kwa magonjwa.

Mashimba pia ameshindwa kusimamia sekta ya uvuvi na kusababisha samaki kupungua sana Ziwa Victoria na maeneo mengine kutokana na kushamiri kwa uvuvi haramu na kusababisha uhaba wa samaki na dagaa na kwamba anadaiwa kuwa hafanyi juhudi zozote za kudhibiti uvuvi haramu kwa kisingizio kuwa Rais amesema watu wasionewe.

Mashimba amekuwa akitumia vibaya jina la Rais kwamba ndiye ameruhusu uvuvi haramu na mifugo iendelee kutoroshwa nje ya nchi jambo ambalo sio la kweli kwani hakuna kiongozi wa Serikali aliyeapishwa kulinda rasilimali za nchi akaruhusu ziharibiwe eti kwa kisingizio cha hataki watu kuonewa wakati Sheria za nchi zinataka mali hizo zilindwe.
Binafsi sijawahi kujua kwanini kuna hii wizara. Na siamini na sitaamini kama kuna waziri ataiweza hii wizara kwasababu ni 'white elephant" tangu enzi za Mwl.
 
Huo uvuvi haramu si samaki tunakula sie binadamu au hao samaki wana matumizi mengine kwa watanzania?
 
Rais Samia Suluhu Hassan amekunuliwa na magazeti mengi ya leo akitoa onyo la mwisho kwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki kutokana na usimamizi mbovu wa Wizara yake na kudaiwa huku fedha nyingi zikidaiwa kupotelea kwenye mifuko ya watu.

Naungana na Rais Samia, Mashimba ameonyesha kushindwa kwa kiwango kikubwa kutekeleza majukumu yake hasa katika maeneo kadhaa ikiwemo kusababisha kushamiri kwa migogoro ya wakulima na wafugaji kurudi upya na watu kuuana mfano Kilindi, Rufiji, Kilimanjaro, Mbeya na maeneo mengine ya nchi mambo ambayo hapo nyuma yalitulia.

Mashimba ameshindwa kusimamia Rachi za Taifa na kusababisha Serikali kupoteza mapato mengi kutokana na usimamizi mbovu wa sekta hiyo.

Pia kulikuwa na utaratibu wa kuogesha mifugo kwa dawa za ruzuku jambo hilo Waziri Mashimba ameua utaratibu huo na kusasabisha wafugaji wengi kushindwa kuongesha mifugo yao na mingi kufa kwa magonjwa.

Mashimba pia ameshindwa kusimamia sekta ya uvuvi na kusababisha samaki kupungua sana Ziwa Victoria na maeneo mengine kutokana na kushamiri kwa uvuvi haramu na kusababisha uhaba wa samaki na dagaa na kwamba anadaiwa kuwa hafanyi juhudi zozote za kudhibiti uvuvi haramu kwa kisingizio kuwa Rais amesema watu wasionewe.

Mashimba amekuwa akitumia vibaya jina la Rais kwamba ndiye ameruhusu uvuvi haramu na mifugo iendelee kutoroshwa nje ya nchi jambo ambalo sio la kweli kwani hakuna kiongozi wa Serikali aliyeapishwa kulinda rasilimali za nchi akaruhusu ziharibiwe eti kwa kisingizio cha hataki watu kuonewa wakati Sheria za nchi zinataka mali hizo zilindwe.
Wewe jamaa tunakuona unavohangaika huu ni uzi wa tatu umeuandika leo tu,kuhusu waziri mashimba.
Tunakuuliza una nini naye?

Au kuna mtu amekutuma umchafue?
Au ww unataka ndio upewe hio nafasi?
Au wewe ni muathirika wa utendaji wake? Au kuna mahali umenyimwa fursa huko kwenye uvuvi?

Acheni chuki binafsi nyie? mashimba ni waziri makini sana,mchapa kazi ndio maana Magufuli alimuona akampa wizara na mama akamuamini

Acheni majungu,acha mtu afanye kazi yake.
 
Rais Samia Suluhu Hassan amekunuliwa na magazeti mengi ya leo akitoa onyo la mwisho kwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki kutokana na usimamizi mbovu wa Wizara yake na kudaiwa huku fedha nyingi zikidaiwa kupotelea kwenye mifuko ya watu.

Naungana na Rais Samia, Mashimba ameonyesha kushindwa kwa kiwango kikubwa kutekeleza majukumu yake hasa katika maeneo kadhaa ikiwemo kusababisha kushamiri kwa migogoro ya wakulima na wafugaji kurudi upya na watu kuuana mfano Kilindi, Rufiji, Kilimanjaro, Mbeya na maeneo mengine ya nchi mambo ambayo hapo nyuma yalitulia.

Mashimba ameshindwa kusimamia Rachi za Taifa na kusababisha Serikali kupoteza mapato mengi kutokana na usimamizi mbovu wa sekta hiyo.

Pia kulikuwa na utaratibu wa kuogesha mifugo kwa dawa za ruzuku jambo hilo Waziri Mashimba ameua utaratibu huo na kusasabisha wafugaji wengi kushindwa kuongesha mifugo yao na mingi kufa kwa magonjwa.

Mashimba pia ameshindwa kusimamia sekta ya uvuvi na kusababisha samaki kupungua sana Ziwa Victoria na maeneo mengine kutokana na kushamiri kwa uvuvi haramu na kusababisha uhaba wa samaki na dagaa na kwamba anadaiwa kuwa hafanyi juhudi zozote za kudhibiti uvuvi haramu kwa kisingizio kuwa Rais amesema watu wasionewe.

Mashimba amekuwa akitumia vibaya jina la Rais kwamba ndiye ameruhusu uvuvi haramu na mifugo iendelee kutoroshwa nje ya nchi jambo ambalo sio la kweli kwani hakuna kiongozi wa Serikali aliyeapishwa kulinda rasilimali za nchi akaruhusu ziharibiwe eti kwa kisingizio cha hataki watu kuonewa wakati Sheria za nchi zinataka mali hizo zilindwe.
Na ule mradi wao mpya wa kuvisha heleni mifugo ni sehemu ya kutaka kuibia wafugaji tu.

Sasa heleni inaongeza nini kwa wafugaji na mifugo yao ?

Lile zoezi lao la chapa limeishia wapi ?

Hii wizara ifutwe tu.
 
Rais Samia Suluhu Hassan amekunuliwa na magazeti mengi ya leo akitoa onyo la mwisho kwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki kutokana na usimamizi mbovu wa Wizara yake na kudaiwa huku fedha nyingi zikidaiwa kupotelea kwenye mifuko ya watu.

Naungana na Rais Samia, Mashimba ameonyesha kushindwa kwa kiwango kikubwa kutekeleza majukumu yake hasa katika maeneo kadhaa ikiwemo kusababisha kushamiri kwa migogoro ya wakulima na wafugaji kurudi upya na watu kuuana mfano Kilindi, Rufiji, Kilimanjaro, Mbeya na maeneo mengine ya nchi mambo ambayo hapo nyuma yalitulia.

Mashimba ameshindwa kusimamia Rachi za Taifa na kusababisha Serikali kupoteza mapato mengi kutokana na usimamizi mbovu wa sekta hiyo.

Pia kulikuwa na utaratibu wa kuogesha mifugo kwa dawa za ruzuku jambo hilo Waziri Mashimba ameua utaratibu huo na kusasabisha wafugaji wengi kushindwa kuongesha mifugo yao na mingi kufa kwa magonjwa.

Mashimba pia ameshindwa kusimamia sekta ya uvuvi na kusababisha samaki kupungua sana Ziwa Victoria na maeneo mengine kutokana na kushamiri kwa uvuvi haramu na kusababisha uhaba wa samaki na dagaa na kwamba anadaiwa kuwa hafanyi juhudi zozote za kudhibiti uvuvi haramu kwa kisingizio kuwa Rais amesema watu wasionewe.

Mashimba amekuwa akitumia vibaya jina la Rais kwamba ndiye ameruhusu uvuvi haramu na mifugo iendelee kutoroshwa nje ya nchi jambo ambalo sio la kweli kwani hakuna kiongozi wa Serikali aliyeapishwa kulinda rasilimali za nchi akaruhusu ziharibiwe eti kwa kisingizio cha hataki watu kuonewa wakati Sheria za nchi zinataka mali hizo zilindwe.
Ila Mashimba na corrupt jamani, heee! Ngoja nikae kimya.
 
Rais Samia Suluhu Hassan amekunuliwa na magazeti mengi ya leo akitoa onyo la mwisho kwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki kutokana na usimamizi mbovu wa Wizara yake na kudaiwa huku fedha nyingi zikidaiwa kupotelea kwenye mifuko ya watu.

Naungana na Rais Samia, Mashimba ameonyesha kushindwa kwa kiwango kikubwa kutekeleza majukumu yake hasa katika maeneo kadhaa ikiwemo kusababisha kushamiri kwa migogoro ya wakulima na wafugaji kurudi upya na watu kuuana mfano Kilindi, Rufiji, Kilimanjaro, Mbeya na maeneo mengine ya nchi mambo ambayo hapo nyuma yalitulia.

Mashimba ameshindwa kusimamia Rachi za Taifa na kusababisha Serikali kupoteza mapato mengi kutokana na usimamizi mbovu wa sekta hiyo.

Pia kulikuwa na utaratibu wa kuogesha mifugo kwa dawa za ruzuku jambo hilo Waziri Mashimba ameua utaratibu huo na kusasabisha wafugaji wengi kushindwa kuongesha mifugo yao na mingi kufa kwa magonjwa.

Mashimba pia ameshindwa kusimamia sekta ya uvuvi na kusababisha samaki kupungua sana Ziwa Victoria na maeneo mengine kutokana na kushamiri kwa uvuvi haramu na kusababisha uhaba wa samaki na dagaa na kwamba anadaiwa kuwa hafanyi juhudi zozote za kudhibiti uvuvi haramu kwa kisingizio kuwa Rais amesema watu wasionewe.

Mashimba amekuwa akitumia vibaya jina la Rais kwamba ndiye ameruhusu uvuvi haramu na mifugo iendelee kutoroshwa nje ya nchi jambo ambalo sio la kweli kwani hakuna kiongozi wa Serikali aliyeapishwa kulinda rasilimali za nchi akaruhusu ziharibiwe eti kwa kisingizio cha hataki watu kuonewa wakati Sheria za nchi zinataka mali hizo zilindwe.

Nyani haoni kundule! Vinginevyo, yeye mwenyewe alipaswa kuwa ameshavivua hivyo viatu alivyovaa. Vimempwaya sana.
 
Aliyeyatamka hayo, ukweli inapaswa ndiyo yeye inapaswa aambiwe hayo!

Anayepaswa kuachia ngazi kati yake na huyo waziri ni Nani?
 
Rais Samia Suluhu Hassan amekunuliwa na magazeti mengi ya leo akitoa onyo la mwisho kwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki kutokana na usimamizi mbovu wa Wizara yake na kudaiwa huku fedha nyingi zikidaiwa kupotelea kwenye mifuko ya watu.

Naungana na Rais Samia, Mashimba ameonyesha kushindwa kwa kiwango kikubwa kutekeleza majukumu yake hasa katika maeneo kadhaa ikiwemo kusababisha kushamiri kwa migogoro ya wakulima na wafugaji kurudi upya na watu kuuana mfano Kilindi, Rufiji, Kilimanjaro, Mbeya na maeneo mengine ya nchi mambo ambayo hapo nyuma yalitulia.

Mashimba ameshindwa kusimamia Rachi za Taifa na kusababisha Serikali kupoteza mapato mengi kutokana na usimamizi mbovu wa sekta hiyo.

Pia kulikuwa na utaratibu wa kuogesha mifugo kwa dawa za ruzuku jambo hilo Waziri Mashimba ameua utaratibu huo na kusasabisha wafugaji wengi kushindwa kuongesha mifugo yao na mingi kufa kwa magonjwa.

Mashimba pia ameshindwa kusimamia sekta ya uvuvi na kusababisha samaki kupungua sana Ziwa Victoria na maeneo mengine kutokana na kushamiri kwa uvuvi haramu na kusababisha uhaba wa samaki na dagaa na kwamba anadaiwa kuwa hafanyi juhudi zozote za kudhibiti uvuvi haramu kwa kisingizio kuwa Rais amesema watu wasionewe.

Mashimba amekuwa akitumia vibaya jina la Rais kwamba ndiye ameruhusu uvuvi haramu na mifugo iendelee kutoroshwa nje ya nchi jambo ambalo sio la kweli kwani hakuna kiongozi wa Serikali aliyeapishwa kulinda rasilimali za nchi akaruhusu ziharibiwe eti kwa kisingizio cha hataki watu kuonewa wakati Sheria za nchi zinataka mali hizo zilindwe.
Hiyo Wizara inatakiwa ichangie pesa kwenye uchumi wa Nchi hivyo inahitaji watu intelligent kama Bashe ,mwenye exposure na mbunifu..

Hadi Rais Samia kasema hadharani ujue yamemfika shingoni.

Rais atafute watu wenye exposure sio tuu Waziri bali uongozi wote wa juu..

Watu Wana Ranch hata kwenda kujifunza Botswana wameshindwa sasa hao wa kazi gani? Tena Rais kawashangaa yaani mashamba binafsi ya wafugali wanazalisha hadi
 
Rais Samia Suluhu Hassan amekunuliwa na magazeti mengi ya leo akitoa onyo la mwisho kwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki kutokana na usimamizi mbovu wa Wizara yake na kudaiwa huku fedha nyingi zikidaiwa kupotelea kwenye mifuko ya watu.

Naungana na Rais Samia, Mashimba ameonyesha kushindwa kwa kiwango kikubwa kutekeleza majukumu yake hasa katika maeneo kadhaa ikiwemo kusababisha kushamiri kwa migogoro ya wakulima na wafugaji kurudi upya na watu kuuana mfano Kilindi, Rufiji, Kilimanjaro, Mbeya na maeneo mengine ya nchi mambo ambayo hapo nyuma yalitulia.

Mashimba ameshindwa kusimamia Rachi za Taifa na kusababisha Serikali kupoteza mapato mengi kutokana na usimamizi mbovu wa sekta hiyo.

Pia kulikuwa na utaratibu wa kuogesha mifugo kwa dawa za ruzuku jambo hilo Waziri Mashimba ameua utaratibu huo na kusasabisha wafugaji wengi kushindwa kuongesha mifugo yao na mingi kufa kwa magonjwa.

Mashimba pia ameshindwa kusimamia sekta ya uvuvi na kusababisha samaki kupungua sana Ziwa Victoria na maeneo mengine kutokana na kushamiri kwa uvuvi haramu na kusababisha uhaba wa samaki na dagaa na kwamba anadaiwa kuwa hafanyi juhudi zozote za kudhibiti uvuvi haramu kwa kisingizio kuwa Rais amesema watu wasionewe.

Mashimba amekuwa akitumia vibaya jina la Rais kwamba ndiye ameruhusu uvuvi haramu na mifugo iendelee kutoroshwa nje ya nchi jambo ambalo sio la kweli kwani hakuna kiongozi wa Serikali aliyeapishwa kulinda rasilimali za nchi akaruhusu ziharibiwe eti kwa kisingizio cha hataki watu kuonewa wakati Sheria za nchi zinataka mali hizo zilindwe.
Mimi nimefanya kazi na Mashimba akiwa kama Manager wangu kwenye shirika kubwa tu na baadae akawa Director, Bampa to Bampa nimekua naye karibu miaka 7 na ninajua uwezo wake wa kwazi ni mkubwa sana, ila kama Kuna fitina za kisiasa basi Kwa sababu aliingia kwenye Siasa hatakosa wanafiki, isitoshe tunajua Kanda ya ziwa inaondolewa kiaina lakini ni watu wenye uwezo mkubwa tu wa kufanya kazi
 
Mimi nimefanya kazi na Mashimba akiwa kama Manager wangu kwenye shirika kubwa tu na baadae akawa Director, Bampa to Bampa nimekua naye karibu miaka 7 na ninajua uwezo wake wa kwazi ni mkubwa sana, ila kama Kuna fitina za kisiasa basi Kwa sababu aliingia kwenye Siasa hatakosa wanafiki, isitoshe tunajua Kanda ya ziwa inaondolewa kiaina lakini ni watu wenye uwezo mkubwa tu wa kufanya kazi
Kipindi kile akiwa Zonal Manager shirikani alikua mtu poa Sana, nimekumbuka devotion. Ila hii wizara ina lawama Sana.
 
Back
Top Bottom