Mwendazake alikuwa mshamba, haambiliki na hajali protocol wala katiba. Ndiyo maana hatunaye tena. Tanzania haikustahili kutawaliwa na mtu wa calibre ile. Ni ajali tu ya kisiasa ya mwaka 2015 ndiyo iliyomleta madarakani. ila Tumejifunza, viongozi lazima waandaliweTumemwona Rais Samia akiteuwa watendaji na kuwaapisha ikulu, Hayati Magufuli aliwezaje kuapisshaa watendaji Chato?
Weka ushahidi wa unachokisemaTumemwona Rais Samia akiteuwa watendaji na kuwaapisha ikulu, Hayati Magufuli aliwezaje kuapisshaa watendaji Chato?
Mwigulu Nchemba aliporudishwa kwenye baraza la mawaziri na kupewa uwaziri wa sheria na katiba aliapishiwa chatoWeka ushahidi wa unachokisema