secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,609
Maza hana option zaidi ya kuwa mkali aka diktetaWatu kama hawa ambao wanautumia vibaya uhuru wao wa habari ndiyo maana jiwe alikuwa anawapoteza.
Maza hana option zaidi ya kuwa mkali aka diktetaWatu kama hawa ambao wanautumia vibaya uhuru wao wa habari ndiyo maana jiwe alikuwa anawapoteza.
Hatuna raisi mkuu, ni swala la muda tu.Wewe na uwajuwao ndiwo muna Rais dhaifu.. bora hawasikilizi nyie wapiga kelele..
Kazi iendeleeee
Wengi wao hao ni wale MATAGA FC!!yaani siku 50, tu ndio ushushe lawama zote hizo?, si bora hata huyu anakubali madhaifu, na kuwa tayari kuyarekebisha??yule aliyekuwa kila kitu anajua yeye miaka 5 amefanya nini?kubwa?hata leo hajaongeza mishahara lakini watu amewapa matumaini, sasa meko, unaulizia haki yako, UNATISHIWA??Watanzania vigeugeu sana, mara hii mama kashakuwa dhaifu
Aisee kweli ikulu kuna wakazi wapyaKwa mara ya kwanza tokea Mzee Kikwete Vitumbua vya nazi vinaliwa Ikulu bado Mziki wa Mwambao uungurume Stress ya nini maisha yenyewe mafupi haya.
Tunahitaji katiba mpya kama nchi kwa sasa, Nchi ngumu sana hii kuongoza kwa sasa, Mtupoli kavunja vunja kila kitu, kwa kifupi kaivuruga. Mama salama yake ni katiba mpya tu.Watanzania vigeugeu sana, mara hii mama kashakuwa dhaifu
Bila kusahau Tende na vileja....stress for what?Kwa mara ya kwanza tokea Mzee Kikwete Vitumbua vya nazi vinaliwa Ikulu bado Mziki wa Mwambao uungurume Stress ya nini maisha yenyewe mafupi haya.
Tunawachora tu! Nadhani baadhi yetu hapa hatujuhi nini kinatakiwa kifanyika ili Tanzania iwe imara katika nyanja zote huku watanzania wakistawi kimaendeleo halisi ya kiuchumi.Watanzania vigeugeu sana, mara hii mama kashakuwa dhaifu
Ni bavicha hao,, hawajawahi kuwa serious.Watanzania vigeugeu sana, mara hii mama kashakuwa dhaifu
Technically ni mataga?Wengi wao hao ni wale MATAGA FC!!yaani siku 50, tu ndio ushushe lawama zote hizo?, si bora hata huyu anakubali madhaifu, na kuwa tayari kuyarekebisha??yule aliyekuwa kila kitu anajua yeye miaka 5 amefanya nini?kubwa?hata leo hajaongeza mishahara lakini watu amewapa matumaini, sasa meko, unaulizia haki yako, UNATISHIWA??
Maovu kama yapi?Mimi naamini katika swala la muda. Ndio kwanza ana mwezi mmoja tu. Najua watanzania tuliumizwa sana kwa kipindi cha miaka mitano. Lakini je huyu rais ana nguvu kiasi gani kubadilisha maovu ya mtangulizi wake ya miaka mitano ndani ya mwezi mmoja? Tuwe wakweli.
naishia kucheka sana. Ngoja ninyamaze. Una wazo jema la katiba ila unambebesha lawama asiyehusikaTunahitaji katiba mpya kama nchi kwa sasa, Nchi ngumu sana hii kuongoza kwa sasa, Mtupoli kavunja vunja kila kitu, kwa kifupi kaivuruga. Mama salama yake ni katiba mpya tu.
Vijana wengi wameshapoteza uwezo kuchanganua kwa akili yao bali wanachanganua kwa mlengo wanaoegemea.......mtu yoyote atakayetoa maoni yanayotofautiana na utashi wake ni adui yake......alafu wakati huo huo ndio wanaopigania demokrasia na uhuru wa kutoa maoni...Technically ni mataga?
Utakuwa umeanza kufuatilia siasa kupitia twitter account ya kigogo
Kuna mtu kamzuia kufanya kazi! Ashindwe mwenyewe.MATAGA wanapata shida sana. Mlishazoea udictator uchwara. Mwacheni Rais afanye kazi yake.