Nahisi kwa dunia Tanzania tunaongoza kwa unafikiWatanzania vigeugeu sana, mara hii mama kashakuwa dhaifu
Ni sahihi kuwapoteza wanaotumia huo uhuru vibaya?Watu kama hawa ambao wanautumia vibaya uhuru wao wa habari ndiyo maana jiwe alikuwa anawapoteza.
Nahisi kwa dunia Tanzania tunaongoza kwa unafiki
Jiulize gharama za pesa zilizotumika leo kuwapeleka mwanza Rais, Makamo, waziri mkuu, Mawaziri wote, Wakuu wa mikoa kwenda kupiga polojo halafu kwenda kushusha kodi kutoka 9% kwenda 8%.
Watanzania vigeugeu sana, mara hii mama kashakuwa dhaifu