PreGE2025 Rais Samia abeba gharama za Simba Afrika Kusini

PreGE2025 Rais Samia abeba gharama za Simba Afrika Kusini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Apewe kazi ya Udhamini wa Simba na Yanga..

Kama kweli kukuza michezo sio kwa publicity ya kutoa kwenye timu usafiri na magoli bali Kwenye Taasisi husika ili wafanye investment ya pesa hizo kuanzia grassroots..

Ila kama ni pesa yake binafsi Hongera kwake siwezi kumpangia matumizi. (Ingawa kama hana biashara / personal income tofauti na Kodi zetu naweza kusema maybe tunamlipa nyingi)
 
Pamoja na ushabiki wangu kwa Simba sisapoti huu ujinga.
Mo alipaswa kujibu Kama mwenyekiti wa bodi ya Simba kwa kutuma barua yenye nembo ya Simba na sio kujibu Kama yeye personal.

Kampeni za kitoto kabisa hizi. Serikali ina mahitaji chungu mzima, wakandarasi wana madeni hawalipwi. Kwani hizo bilioni za Simba toka CAF si ndio kazi yake hiyo

KWa huu upande naona ndio kabobea

Hizii siasa kwenye mpira ndo zinatuharibia mpira wetuu.
Viongozi wa Simba wanapata wakati mgumu sana kuchomeka siasa na uchawa katika mafanikio ya Simba maana wanajua mashabiki wengi wa Simba hawafagilii hizi pigo.

Wawe makini saaana na haya mambo, yanaweza kuleta madhara kuliko faida.
 
Hivi kwanini huyu mama anajali vitu pety pety ? Hapo kuna mtanzania yupo mateka Sudan kwa 36M hapo serikali haipo! Dah
Kwa sababu mlishasomeka hivo na nyie.
Watu elderly by age number and body, mentally filled with foolishness.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameipa Simba sapoti ya usafiri wa kwenda Afrika Kusini na kugharamia malazi kwa timu hiyo katika kipindi chote itakapokuwa huko kwa ajili ya mechi ya marudiano ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch, Aprili 27, 2025.

Mechi hiyo ni ya marudiano ya hatua ya nusu fainali baada ya kwanza iliyofanyika kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar kumalizika kwa ushindi wa Simba wa bao 1-0.

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Mohammed Dewji amethibitisha Rais Samia kutoa sapoti hiyo huku akitoa shukrani za klabu hiyo.

“Kwa niaba ya Klabu ya Simba Sports Club, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kwa kuiwezesha klabu yetu kushiriki mashindano ya kimataifa.

“Tumepokea kwa moyo wa shukrani mchango wa malazi na usafiri kwa ajili ya mchezo wetu wa marudiano wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch.

“Klabu ya Simba inatambua na kuthamini kwa dhati juhudi za Rais Samia katika kumarisha sekta ya michezo hapa nchini, hususan mpira wa miguu,” amesema Dewji.View attachment 3312938
Naona Utopolo wana'dislike'.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameipa Simba sapoti ya usafiri wa kwenda Afrika Kusini na kugharamia malazi kwa timu hiyo katika kipindi chote itakapokuwa huko kwa ajili ya mechi ya marudiano ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch, Aprili 27, 2025.

Mechi hiyo ni ya marudiano ya hatua ya nusu fainali baada ya kwanza iliyofanyika kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar kumalizika kwa ushindi wa Simba wa bao 1-0.

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Mohammed Dewji amethibitisha Rais Samia kutoa sapoti hiyo huku akitoa shukrani za klabu hiyo.

“Kwa niaba ya Klabu ya Simba Sports Club, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kwa kuiwezesha klabu yetu kushiriki mashindano ya kimataifa.

“Tumepokea kwa moyo wa shukrani mchango wa malazi na usafiri kwa ajili ya mchezo wetu wa marudiano wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch.

“Klabu ya Simba inatambua na kuthamini kwa dhati juhudi za Rais Samia katika kumarisha sekta ya michezo hapa nchini, hususan mpira wa miguu,” amesema Dewji.View attachment 3312938
Kwanini MO anashujuru yeye kwaniaba ya timu?
na sio timu yenyewe kwa maana kwamba hata address hapo tungeziona ni za timu na heading ingekuwa bodi ya wakurugenzi ya simba na sio nembe ya MO.?!
 
Simba na yanga hazina shida na pesa za serikali anazo chezea kama midoli vike alafu wakati huo vitu vya msingi vinakwama
 
Mahela ni ya mama, madeni ni ya serikali.

Vv
Furaha ya ushindi wa Simba ni ya watanzania wote. Licha ya shida zote za maisha, lakini kuna kipindi unatakiwa kuitafuta furaha japo ni nusu furaha. Na kusahau kidogo mambo ya siasa.
 
Ila tukiachana na mpira, tuangalie walau shule zote za Serikali ziezekwe kwa bati na ziwe na madirisha na milango tu.
We unataka shule ziwe bora ili mtoe wananchi bora wanao jielewa waipindue CCM? My friend, elimu ya kuunga unga nchi hii ni mpango madhubuti kabisa wa kuzalisha hopeless generation.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameipa Simba sapoti ya usafiri wa kwenda Afrika Kusini na kugharamia malazi kwa timu hiyo katika kipindi chote itakapokuwa huko kwa ajili ya mechi ya marudiano ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch, Aprili 27, 2025.

Mechi hiyo ni ya marudiano ya hatua ya nusu fainali baada ya kwanza iliyofanyika kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar kumalizika kwa ushindi wa Simba wa bao 1-0.

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Mohammed Dewji amethibitisha Rais Samia kutoa sapoti hiyo huku akitoa shukrani za klabu hiyo.

“Kwa niaba ya Klabu ya Simba Sports Club, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kwa kuiwezesha klabu yetu kushiriki mashindano ya kimataifa.

“Tumepokea kwa moyo wa shukrani mchango wa malazi na usafiri kwa ajili ya mchezo wetu wa marudiano wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch.

“Klabu ya Simba inatambua na kuthamini kwa dhati juhudi za Rais Samia katika kumarisha sekta ya michezo hapa nchini, hususan mpira wa miguu,” amesema Dewji.View attachment 3312938
Izo pesa zinge elekezwa kwenye ku boresha huduma za afya.
 
Plato alisema nchi inatakiwa kuongozwa na PHILOSOPHER na sio TAJIRI au MTU MAARUFU. Cheki sasa Tanzania inavyoongozwa.

Tz inawaya waya
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameipa Simba sapoti ya usafiri wa kwenda Afrika Kusini na kugharamia malazi kwa timu hiyo katika kipindi chote itakapokuwa huko kwa ajili ya mechi ya marudiano ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch, Aprili 27, 2025.

Mechi hiyo ni ya marudiano ya hatua ya nusu fainali baada ya kwanza iliyofanyika kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar kumalizika kwa ushindi wa Simba wa bao 1-0.

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Mohammed Dewji amethibitisha Rais Samia kutoa sapoti hiyo huku akitoa shukrani za klabu hiyo.

“Kwa niaba ya Klabu ya Simba Sports Club, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kwa kuiwezesha klabu yetu kushiriki mashindano ya kimataifa.

“Tumepokea kwa moyo wa shukrani mchango wa malazi na usafiri kwa ajili ya mchezo wetu wa marudiano wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch.

“Klabu ya Simba inatambua na kuthamini kwa dhati juhudi za Rais Samia katika kumarisha sekta ya michezo hapa nchini, hususan mpira wa miguu,” amesema Dewji.View attachment 3312938
Kila laheri Mnyama huko bondeni.
 
Kinachoniuma ni Tanganyika ya watu 60M+ KUKUBALI kutawaliwa na raia wa nchi jirani ambayo idadi ya raia wa nchi hiyo haizidi 2M,huu ni ujinga wa watanganyika
Zanzibar ni sehemu ya Jamhuri ya muungano ya Tanzania.
 
Chura kiziwi acha usenge,watoto wanakaa chini hawana Madawati unapeleka fedha kwenye upuuzi.
 
Back
Top Bottom