Kanali_
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 7,504
- 11,737
Kashukuru kama mtu binafsi na wala haizuii club kuja na tamko la shukrani. Kitengo cha habari na mawasiliano ndo kazi yake hiyo.Pamoja na ushabiki wangu kwa Simba sisapoti huu ujinga.
Mo alipaswa kujibu Kama mwenyekiti wa bodi ya Simba kwa kutuma barua yenye nembo ya Simba na sio kujibu Kama yeye personal.
Yote kwa yote huu ni ujinga, club zina bajeti zao, hakuna sababu ya msingi kutapanya kodi za walala hoi. Tuna mahitaji mengi ya msingi ambayo serikali haijayashughulikia so hizo pesa zingeweza kuelekezwa huko. Goli la mama na hizi gharama za safari na malazi zimekaa kisiasa zaidi.