Rais Samia abariki ATCL kuwapelea Mahujaji Makka

Rais Samia abariki ATCL kuwapelea Mahujaji Makka

Hahahah!! Haya ndio anayo weza.lazi jw linazalilika uko Kongo yy anaponda Raha mujini.
KAZI ni kipimo cha utu
 
  • Thanks
Reactions: vnn
Kwamba mali ya UMMA inaendeshwa kwa maamuzi ya mtu na sio kwa kuangalia athari au faida inayoweza kupatikana ?

Sijasema kinachofanyika ni kibaya au kizuri (sina data) ila huu mtindo wa mtu kujiamulia tu kwamba anatoa kibali cha kufanya hiki au kile kitaendelea kutufikisha pabaya zaidi... Hii mali sio ya kwetu pekee bali urithi wa vizazi vijavyo, na tunachofanya sasa ni heri kina Mangungo aw Msovero (Kumbuka hapa sio ndege kama ndege pekee bali ni kodi zetu) Kwahio unless kama hili jambo lina tija economically basi wala hawahitaji kibali chochote they should do it sababu ndio kazi tuliyowapatia ili kulinda mali zetu
 
Allah ni pesa na wanasiasa wenye madaraka

Nyingine mbwembwe tu
 
Moja ya maamuzi ya hovyo ya watawala wetu wa Burundi ni haya ya kupoteza mamilioni ya pesa za walipa kodi kununulia ndege ambazo kila mwaka zinatuletea tu hasara, badala ya faida.
 
Hahahah!! Haya ndio anayo weza.lazi jw linazalilika uko Kongo yy anaponda Raha mujini.
KAZI ni kipimo cha utu
Umenikumbusha Yale mabomu ya mbagala yaliyoexpire na kuripuka yenyewe,

Yaani sumu iexpire Kisha iue mtu!

Tusubiri
 
Halafu bado tunajiuliza kila mwaka kwa nini mashirika ya umma yanapata hasara!
 
Yule bibi amesomea wapi hesabu?
Wakipelekwa wanarudi kesho yake au ndege itawasubiri au ndege itarudi tupu ,irudi Tena wakimaliza hija?
 
Kama wanalipia gharama ya kwenda na kurudi kuna ubaya gani. Wote tunabariki safari yao mradi walipie hiyo safari.
 
Kama wanalipia gharama ya kwenda na kurudi kuna ubaya gani. Wote tunabariki safari yao mradi walipie hiyo safari.
Ndege inatakiwa ikiondoka nao Leo irudi na abiria wengine kesho yake.
Wako tayari kurudi kesho yake au ndege itawasubiri au ndege itarudi tupu kesho yake
 
Back
Top Bottom