Kwani uongo kuwa hana akili? Angekuwa na akili Makonda angemchezea? N’gombe 400 alizochinja hizo hela kazi toa wapi sio kwa huyo bibi!!?Sasa angekuwa hana akili angekuwa rais wako, wewe mwenye akili uko wapi!? Acha kuwadharau wanaadamu wenzako kwamba hawana akili. Stupido!