mzushi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 3,094
- 4,251
Nawahurumia sana wazazi wako walipoteza nguvu bure matokeo yake umezaliwa wewe nusu Mbwa nusu Mtu 😪Huyo ramaphosa sikujua ni mjinga vile
Nawahurumia sana wazazi wako walipoteza nguvu bure matokeo yake umezaliwa wewe nusu Mbwa nusu Mtu 😪Huyo ramaphosa sikujua ni mjinga vile
Kamzidi yule wa Chato?Huyo ramaphosa sikujua ni mjinga vile
Hata mimi sikujua kama jiwe anaweza kuwa mpuuzi kiasi hiki kisa tu anaogopa English!Huyo ramaphosa sikujua ni mjinga vile
Duhh . Hii kauli yako ikiwa kinyume chake si utaandanana ?!Huyo ramaphosa sikujua ni mjinga vile
Ben sananeMwenyekiti hana uwezo wa kuongoza vikao, maana amezoea kwenye vikao na mawaziri wake kufoka na kulaumu, hawezi kusikiliza.. anaayo taka yeye ndio anataka yafanyike.
Africa mashariki ndio Rais dhaifu zaidi.
Unakumbuka ziara ya zimbabwe hadi Rais wa zimbabwe ikabidi amsaidie maana alikua very local ..
Kina press interview moja walifanya uganda wakiwa na mseven , ikabidi mseven awe anajitahidi kujibia maadhi ya mambo.
Tatizo anataka kuonekana amesoma lakini elimu yake haionekani
Huwezi soma hadi phd kwa kingereza lakiji bado huwezi kuongea kwa ufasaha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama tumekosa mshiriki, nani atakuja kutuambia kilicho ongelewa huko?Mbona hamsemi la maana waliloongea kama kungekuwa na tija?
Ni vigumu sana kumtafuta mtu alie amua kujificha.Je, hiki kitendo hakifanani na mapinduzi ya kuondoa uongozi makini wa Mwenyekiti wa SADC kutoka Tanzania?
Na wale maraisi wengine wa SADC wakahudhuria mkutano huo wakijua mwenyekiti wao halali hayupo ili kuongoza kikao
Hawana imani na Tanzania na uongozi wake katika SADC?
Pia tulikubaliana kuwa lugha ya SADC ingekuwa inajumuisha Kiswahili, kuna kiongozi aliyesisistiza lugha nyingine?
Pia soma > Janga la COVID-19: Rais Cyrill Ramaphosa aitisha mkutano wa nchi jirani na SA
Hi taarifa ni ya kweli au uongoNyie jamaa huwa ni mataahira, mmeleta hii ishu jana mkadhani itasimamisha Tanzania, Africa na Dunia. Mmeona uzi umepotela page za mbali mkaona muanzishe mwingine. Mods unganisha huu uchafu uliokosa mashabiki.
Acha uongo wala hujui structure ya SADC!! You are ass of the year!
Uongo tena wa ass!
Uongo wa hali ya juu unauaminj basi na wewe utakuwa hamnazo!Udhaifu wa Rais wa Tanzania UNAENDELEA kudhihirika!
Huko uliko hakuna 'Logistic Problems'.Nyie jamaa huwa ni mataahira, mmeleta hii ishu jana mkadhani itasimamisha Tanzania, Africa na Dunia. Mmeona uzi umepotela page za mbali mkaona muanzishe mwingine. Mods unganisha huu uchafu uliokosa mashabiki.
Kiuongozi hii issue tafasiri yake si nzuri..ingekuwa nzuri kama washiriki (wajumbe) wangemgomea.
JIWE alifikiri SADC ni NDUGU-AI