BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,120
Vyombo vya Habari vya #AfrikaKusini, vimeripoti kuwa Gavana wa Serikali ya #Gauteng, Panyaza Lesufi, alimwandikia Rais #Ramaphosa ombi la Msanii huyo kuzikwa kama Mtu mwenye mchango mkubwa kwa jamii na hivyo apewe heshima ya Kitaifa.
Gavana Panyaza hakuomba fedha za Serikali zitumike kwa ajili ya mazishi, bali Jeneza tu la Rapa huyo lifunikwe kwa Bendera ya Taifa pamoja na muda mchache wa Bendera kupepea nusu mlingoti kwa heshima ya rapa huyo.
Rapa #KiernanForbes 'AKA' aliuawa kwa kupigwa Risasi nje ya Mgahawa Februari 10, ikiwa ni muda mchache akijiandaa kusherehekea Siku yake ya Kuzaliwa pamoja na rafiki zake. #AKA atazikiwa Jumamosi Februari 17, 2023.
============
A request by a provincial government for state funeral to be given to a popular South African rapper murdered last week has been denied by the president, local media report.
Gauteng’s premier Panyaza Lesufi had written to President Cyril Ramaphosa requesting permission to give slain rapper Kiernan Forbes, popularly known as AKA, a state funeral.
On Thursday, Mr Lesufi said his request had been denied.
He said he had not requested for state funds for the funeral, but for the coffin to be draped with the national flag and flags to be flown at half-mast in honour of the rapper.
“We felt that the person of his international stature, person of his national stature, there must be some form of honour, and we want to clarify it is not a financial contribution,” he is quoted as saying.
The rapper will be buried on Saturday.
BBC