Rais Nkurunzinza yupo Dar es salaam

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
54,363
58,386
Chanzo redio ya kiswahili ya ujerumani kinasema kuwa rais wa Burundi yupo dar. Membe kahojiwa amethibitisha ila hajasema kuwa yupo hoteli gani. Nini hatima yake? Na msimamo wa Tanzania JK alishauonyesha jana.

Je Tanzania namaanisha Kikwete atatuma majeshi kumsaidia huyu swahiba wake ?

AU wamelala bado.

Chanzo ni Deutsche Welle
 
Burundi iko salama kabisa hao wanaoandamana na hao wakimbizi wanaokimbia burundi ni vichaa?
Ndugu Emma lazima utambue kama umewai shuhudia mamako,babako na nduguzako wakiuliwa vibaya sidhani inaweza kuwa rahisi kusahau, na dalili kama hizo zikianza kujileta kamwe huwezi endelea kuwapo hapo
 
Last edited by a moderator:
Ndugu Emma lazima utambue kama umewai shuhudia mamako,babako na nduguzako wakiuliwa vibaya sidhani inaweza kuwa rahisi kusahau, na dalili kama hizo zikianza kujileta kamwe huwezi endelea kuwapo hapo
Labda hujanielewa swali langu nimekuuliza burundi kuna amani
 
Last edited by a moderator:
Ukimuua haitakuwa powa kamanda, anatakiwa abaki aone wenzake watakavyotawala kidemocrasia nafsi imsute......wakati huo akiwa kwenye ile mahakama yetu
Hzo western media zinawadaganya,demokrasia ipi ndugu,burudi will never be at peace again mayb,ni bora wangeacha jamaa,agombee wamnyime,kura,ama akiiba ndo wapigane lakini huu ujinga walioufanya wa kupindua nchi.?trust me,mzigo ni wetu,niko ngara hapa jana tumetoka kusafisha sehemu watakayo fikia uko lukole,na tumekata miti kadhaa watengeneze mbao zitakazo saidia kujengea makazi yao.the burden is ours,hapo bado akina hussain rajab awajaamsha maskio.kwa haya mapinduzi kwa wanao ijua burudi tht country will never be at piece,hyo nkuruzinz ni mzaliwa wa hapa mpakani na tanzania yan mkoa wa kwanza ukiingia burudi ndo kwao panaitwa ngozi ,magari yake,masemi kibao alishavushia tz mda mrefu ana nyumba zaidi ya kumi hapa ngara ata wale majudge waliompitisha,walivyompitisha tu wakaamia ngozi,wakisubilia mda wowote kuvuka,maana walijua lazima kitanuka tu.
Ikumbukwe kwamba nkurunziza alitokea polin so sio hatari saana kwake kurudi polini,hata kma hatakuwa raisi yeye ila mtu anae mtaka yeye.
 
Back
Top Bottom