Rais Nkurunzinza yupo Dar es salaam

Rais Nkurunzinza yupo Dar es salaam

Ninawasiwasi kuna upotoshaji unaofanywa kitaalamu na kuratibiwa na watu maalumu katika system ili kulinda usalama wa muhusika.

Nimeangali ITV na BBC swahili naona taarifa zinakinzani(conflicting reports) ingawa chanzo cha habari ni kile kile.

Tuwe makini na taarifa zinazosambaa na wahusika huenda ni watu maalumu kwa kazi maalamu.

Ninawasiwasi kama kweli Nkurunzinza alithubutu kupanda ndege.
 
Huyu kashapigwa chini kinachoendelea ni propaganda tu.
Kina JK wanamuhifadhi tu kumsitiri kiafrica
 
Hatumtaki Tanzania hiyo tabia ya UROHO WA MADARAKA ataiambukiza kwa viongozi wetu😛lane:😛lane:
 
Futa huu uchafu wako uku, kenge mumaji

Pamoja na matusi yako,Kwa mujibu wa ITV,Nkurunzinza ametoa taarifa kupitia mtandao wa tweeter akiwataka wananchi wake wawe watulivu na taarifa hiyo ameitoa akiwa Tanzania isipokuwa mahali alipo ndio inakuwa siri.

Wakati huo huo, BBC Swahili kupitia star tv wanasema serikali imekanusha kuhusu kujua alipo Nkurunzinza na hata wao(BBC) wanashangaa mkanganyiko unaojitokeza.

Tafakari hapo na si kutoa matusi tu.
 
Yes ana haki sawa, kwanini asiende ngara kuwahi hema lake nayeye?

Sio kila mkimbizi anakaa Ngara au Nyarugusu...kuna wakimbizi wengi tu wa kiCongo, Burundi, Rwanda wako Dar na wana vibali vinavyowawezesha kufanya kazi na biashara!
 
Arudi tu kwake, sasa kukaa hapa Dar es salaam wakati anataka kuendelea kuongoza Burudi wapi na wapi? hivi anataka kuiongoza Burudi kwa remote from Dar?

Woga wa nini bro, nenda kapambane na wenzio!!
 
Arudi tu kwake, sasa kukaa hapa Dar es salaam wakati anataka kuendelea kuongoza Burudi wapi na wapi? hivi anataka kuiongoza Burudi kwa remote from Dar?

Woga wa nini bro, nenda kapambane na wenzio!!
Kuna msafara nmeuona mda s mrefu kuelekea usawa was Airport sasa sjui in yeye ndo anageuka?
 
Hapo ndipo watz tunapojitengenezea maadui,mpuuzi kama huyu ambaye ni mkiukaji mkubwa wa demokrasia tunamficha wa nini? Aende akafia huko kwake! Tumechoshwa na kupokea wakimbizi!
 
Back
Top Bottom