Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,030
- 59,683
- Thread starter
- #21
Acha ujinga mkuu kwani hifadhi zimefutwa kuanzia lini.
Ujinga uko wapi hapo?
Acha ujinga mkuu kwani hifadhi zimefutwa kuanzia lini.
yUPO dAR SEHEM GAN
yUPO dAR SEHEM GAN
Hzo western media zinawadaganya,demokrasia ipi ndugu,burudi will never be at peace again mayb,ni bora wangeacha jamaa,agombee wamnyime,kura,ama akiiba ndo wapigane lakini huu ujinga walioufanya wa kupindua nchi.?trust me,mzigo ni wetu,niko ngara hapa jana tumetoka kusafisha sehemu watakayo fikia uko lukole,na tumekata miti kadhaa watengeneze mbao zitakazo saidia kujengea makazi yao.the burden is ours,hapo bado akina hussain rajab awajaamsha maskio.kwa haya mapinduzi kwa wanao ijua burudi tht country will never be at piece,hyo nkuruzinz ni mzaliwa wa hapa mpakani na tanzania yan mkoa wa kwanza ukiingia burudi ndo kwao panaitwa ngozi ,magari yake,masemi kibao alishavushia tz mda mrefu ana nyumba zaidi ya kumi hapa ngara ata wale majudge waliompitisha,walivyompitisha tu wakaamia ngozi,wakisubilia mda wowote kuvuka,maana walijua lazima kitanuka tu.
Ikumbukwe kwamba nkurunziza alitokea polin so sio hatari saana kwake kurudi polini,hata kma hatakuwa raisi yeye ila mtu anae mtaka yeye.
Tatizo Burundi hawatoi taarifa hivyo hatujui nini chaendelea
Burundi iko salama kabisa hao wanaoandamana na hao wakimbizi wanaokimbia burundi ni vichaa?
Kwani we unajua kipikibaya alicho kifanya? wacha kurahisisha vitu jamaa hakuwa mbaya kwa wanaojua historia ya Burundi
tuna maslahi naye...ulitaka nai akingiwe kifua sasa?Chanzo ni DW:
Sijajua mantiki ya sisi watz kumkingia kifua huyu mbweha
Burundi iko salama kabisa hao wanaoandamana na hao wakimbizi wanaokimbia burundi ni vichaa?
acheni kupotosha hao wakimbizi karibu 40000 wamepokelewa huko kigoma ni watanzania?je hao waliobaki wanaandamana huko burundi ni watanzania?Sehemu kubwa ya wale wakimbizi ni wale waliowahi kuishi TZ,enzi zile za ukimbizi,sasa hivi wanatumia hayo machafuko km loop hole ya kurudi tena Tanzania.
Duh huyu wa kwetu hawezi kuthubutu kujiongea muda kwani alishakiri ameshachoka kuongoza anatamani kupumzika .
Bora umeongelea...
Hivi wanakimbia nini huko?
Chanzo ni DW:
Sijajua mantiki ya sisi watz kumkingia kifua huyu mbweha
kweli kabisa tena hawa kuna walio anza kurudi mapemaa hata kelele hazijawa kubwaSehemu kubwa ya wale wakimbizi ni wale waliowahi kuishi TZ,enzi zile za ukimbizi,sasa hivi wanatumia hayo machafuko km loop hole ya kurudi tena Tanzania.
kwa hiyo ulitaka aseme atajioungezea mapema hivyo?