Rais Nkurunzinza yupo Dar es salaam

Rais Nkurunzinza yupo Dar es salaam

Mmmh!!!!!! hapo ndio ninapoendelea kipenda nchi yangu Tanzania, wanasiasa wanabwabwaja sanaaaaa ila kila mmoja anaogopa kuvuruga amani, hii nchi ukimwacha mtu mmoja anayetamani uraisi kama ufalme wa mbingu ambaye ndio pekee anaweza kuharibu amani ya nchi hii kama mwanasiasa aliyefilisika, basi ni imani za dini ndio zitatupeleka kubaya,

Vurugu zinaumiza wamama na watoto jamani, hivi kwanini ninyi wababa hamfanyi maamuzi ya busara hata kama kuna tatizo, tamaa za madaraka za nini??????? hutakiwi pisha njiaa, nawaonea huruma wanawake watoto tu mimi jamani, waponee wapi hawa watu jamani loh!!
 
Burundi iko salama kabisa hao wanaoandamana na hao wakimbizi wanaokimbia burundi ni vichaa?

wanaoandamana ndio hawamtaki Nkurunzinza hesabu wako wangapi halafu linganisha na wanaokimbia Burundi kuja TZ. Halafu soma historia ya Burundi ya vita kati ya CNDD ya Nkurunzinza vs jeshi la burundi ili uone wanamkimbia nani exactly.
 
Mmmh!!!!!! hapo ndio ninapoendelea kipenda nchi yangu Tanzania, wanasiasa wanabwabwaja sanaaaaa ila kila mmoja anaogopa kuvuruga amani, hii nchi ukimwacha mtu mmoja anayetamani uraisi kama ufalme wa mbingu ambaye ndio pekee anaweza kuharibu amani ya nchi hii kama mwanasiasa aliyefilisika, basi ni imani za dini ndio zitatupeleka kubaya,

Vurugu zinaumiza wamama na watoto jamani, hivi kwanini ninyi wababa hamfanyi maamuzi ya busara hata kama kuna tatizo, tamaa za madaraka za nini??????? hutakiwi pisha njiaa, nawaonea huruma wanawake watoto tu mimi jamani, waponee wapi hawa watu jamani loh!!

Ili tuwe na amani tuwapinge wanasiasa wote waliochakachua katiba za vyama vyao na kuondoa ukomo wa kugombea uenyekiti, halafu tupige chini wanasiasa wote waliogombea urais zaidi ya mara mbili....:becky:
 
Kwani we unajua kipikibaya alicho kifanya? wacha kurahisisha vitu jamaa hakuwa mbaya kwa wanaojua historia ya Burundi
Ukitanguliza mahaba hauwezi kuona ubaya hata siku moja

Kwahiyo historia ya Burudi ina mruhusu Rais kung'ang'ania madaraka hata kama muda wake umekwisha kikatiba?,Usitumie historia kutaka kufunika ubaya wa Nkurunziza. Licha ya kutofata katiba lakini pia amekiuka makubaliano ya Arusha na kuirudisha leo hii Burudi kwenye machafuko.Ameitumia nafasi yake ya Urais kufanya mahakama itafsiri sheria kutokana na matakwa yake huu wote ni ulevi wa madaraka.

Weka mahaba kado ruhusu akili ya kina kufanya uchambuzi yakinifu utabaini ubaya wa Pierre Nkurunziza.
 
Yaani huyu MUNGU huyu, Juzi tu au jana asubuhi Nkurumbiza alikua anapigiwa saluti na 21 gun salute pale airport ya Dar, leo hii a matter of hours anajificha kama panya kwenye mahandaki. yaani hata wahudumu wa hoteli alikojificha anawapa shikamoo
 
Ili tuwe na amani tuwapinge wanasiasa wote waliochakachua katiba za vyama vyao na kuondoa ukomo wa kugombea uenyekiti, halafu tupige chini wanasiasa wote waliogombea urais zaidi ya mara mbili....:becky:

Nakubaliana na wewe ila kupinga kuwe kwa busara sio kwa vurugu.
 
ITV wanasema yupo kwenye hotel moja kubwa ya kitalii ktk ya jiji la dar (wanasema hayo saa 9 jion hii kwny habar za saa)

Mh...kama hajamwita dem wa bongo movie huko sijui...si ndo huyu alimwitaga ikulu dem gan sijui...wolper au sepetu?
 
Acha avune alichopanda wangempeleka kigoma akaungane na wenzake aone mateso wanayopata warundi...
 
Hzo western media zinawadaganya,demokrasia ipi ndugu,burudi will never be at peace again mayb,ni bora wangeacha jamaa,agombee wamnyime,kura,ama akiiba ndo wapigane lakini huu ujinga walioufanya wa kupindua nchi.?trust me,mzigo ni wetu,niko ngara hapa jana tumetoka kusafisha sehemu watakayo fikia uko lukole,na tumekata miti kadhaa watengeneze mbao zitakazo saidia kujengea makazi yao.the burden is ours,hapo bado akina hussain rajab awajaamsha maskio.kwa haya mapinduzi kwa wanao ijua burudi tht country will never be at piece,hyo nkuruzinz ni mzaliwa wa hapa mpakani na tanzania yan mkoa wa kwanza ukiingia burudi ndo kwao panaitwa ngozi ,magari yake,masemi kibao alishavushia tz mda mrefu ana nyumba zaidi ya kumi hapa ngara ata wale majudge waliompitisha,walivyompitisha tu wakaamia ngozi,wakisubilia mda wowote kuvuka,maana walijua lazima kitanuka tu.
Ikumbukwe kwamba nkurunziza alitokea polin so sio hatari saana kwake kurudi polini,hata kma hatakuwa raisi yeye ila mtu anae mtaka yeye.

duh,ile miti wameikata mkuu,palisharecover kutokana na ile influx ya kwanza
 
dahh siasa za africa ni shiiidaa wanao gan'gania madaraka dawa yao ndo hiyo
 
Kwani we unajua kipikibaya alicho kifanya? wacha kurahisisha vitu jamaa hakuwa mbaya kwa wanaojua historia ya Burundi

Kwani mke wako akikusaliti na ukagundua kuna haja ya kuanza kufollow historia yake kwamba before alikuaje? Hata mbuyu ulianza kama mchicha, Historia yako inaweza sahaulika ndani ya dk moja kama ukiteleza.

Kama majority wameshasema hawakutaki huoni kama kuna tatizo?
 
Chanzo redio ya kiswahili ya ujerumani kinasema kuwa rais wa Buryndi yupo dar. Membe kahojiwa amethibitisha ila hajasema kuwa yupo hoteli gani. Nini hatima yake? Na msimamo wa Tanzania JK alishauonyesha jana.

Je Tanzania namaanisha JK atatuma majeshi kumsaidia huyu swahiba wake ? AU wamelala bado.

Chanzo ni Deutsche Welle

Kwa nini hutaki kudhani kuwa JK na wenzie walijua yatakayotokea na wakaandaa mkutano ambao alijikuta kahudhuria yeye bila kujua kuwa anaingia choo cha kike?
 
PLAYLIST YA NKURUNZINZA TANGU ASUBUHI YA LEO;
#1 . Kwanini umeruhusu - Ambassadors of Christ
#2 . Only God Can Judge Me - 2PAC Shakour
#3 . In Christ Alone - Travis Cottrel
#4 . If I Could Turn Back The Hands Of Time - R.
Kelly
#5 . I wish to be a Dream - Disney's Tangled
#6 . Me Against The World - 2PAC Shakor
#7 . Shida - Mbaraka Mwishehe
#8 . This world is not my home - Jim Rives
#9 . Unikumbuke - Christina Shusho
#1 0. Tenda Muujiza - Abiudi Misholi

&#1 28512;&#1 28512;&#1 28512;&#1 28512;&#1 28070;&#1 28070;&#1 28070;
 
Back
Top Bottom