Anonymous Caller
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 1,189
- 1,587
Gharama ya uwanja mara nyingi huwa ni 15% ya Viingilio..
ZRA, ZFA na VAT ni palepale...
Kuhusu interest ya kisiasa nyuma ya support hii sidhani...
Mwinyi Jr ni muungwana sana.
Halafu isitoshe Wabara hawana haki ya kumpigia kura mgombea katika nafasi yeyote Zanzibar...
Badala yake wao, Wana haki ya kutuchagulia sisi...
Obviously watampigia Samia.
ZRA, ZFA na VAT ni palepale...
Kuhusu interest ya kisiasa nyuma ya support hii sidhani...
Mwinyi Jr ni muungwana sana.
Halafu isitoshe Wabara hawana haki ya kumpigia kura mgombea katika nafasi yeyote Zanzibar...
Badala yake wao, Wana haki ya kutuchagulia sisi...
Obviously watampigia Samia.