Rais Mwinyi anavunja katiba ya Tanzania?

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Jan 26, 2013
18,587
22,186
Kwa muda mrefu huyu rais anajitambulisha kuwa yupo kwa ajili ya kuukuza uisilamu, rais Mwinyi huko nyuma aliwahi kusema ataongea na rais wa Tanzania kuona jinsi serikali ya Zanzibar inavyoweza kuanzisha mfuko wa Hija kwa waisilamu!

Huenda ulianzishwa au la, hata hivyo hilo si jambo analotakiwa kulifanya rais wa nchi.

Rais Mwinyi anatumia muda mwingi wa serikali kufanya shughuri za dini ya kiisilamu jambo ambalo si sahihi kwenye nchi ambayo serikali haina dini, anawanyima haki ya kuwahudumia wasio waisilamu na bahati mbaya hata siku ya Jumapili inapoteza heshima yake kwa kupanga shughuli za kiisilamu zifanywe siku hiyo.
 
Wenye nchi Yao wamempa a.k.a Kwakuwa anafanya Sana hayo mambo unakuta Kila ijumaa Unguja yupo msikitini bwana anazunguka misikitini tuu.
 
Ni ujinga kuitenganisha Zanzibar na uislamu, Mwinyi Ni mwanasiasa, anacheza nabkarata zake vizuri tu ili akubaliwe.

Na kingine punguza chuki za udini, hazina umuhimu kwako hasa kwa afya ya akili na moyo wako.

Ndio Zanzibar Ni nchi ya kiislamu kiuhalisia Ila kisiasa haina dini, unasemaje hapo? Unaumia Nini?
Weka hapa hiyo chuki iliyomo kwenye uzi.
 
Kwa muda mrefu huyu rais anajitambulisha kuwa yupo kwa ajili ya kuukuza uisilamu, rais Mwinyi huko nyuma aliwahi kusema ataongea na rais wa Tanzania kuona jinsi serikali ya Zanzibar inavyoweza kuanzisha mfuko wa Hija kwa waisilamu!

Huenda ulianzishwa au la, hata hivyo hilo si jambo analotakiwa kulifanya rais wa nchi.

Rais Mwinyi anatumia muda mwingi wa serikali kufanya shughuri za dini ya kiisilamu jambo ambalo si sahihi kwenye nchi ambayo serikali haina dini, anawanyima haki ya kuwahudumia wasio waisilamu na bahati mbaya hata siku ya Jumapili inapoteza heshima yake kwa kupanga shughuli za kiisilamu zifanywe siku hiyo.
angepatikana kweli raisi anayejali uislamu wala tusingekuwa na mabalaa tunayoyaona.. Kwa vile nchi anayoongoza ni ya waislamu ndio tunamuona ratiba zinamuingiza kwenye mambo ya kiislamu lakini kwa kweli ninavyomuona hana mapenzi na hiyo dini na anajali zaidi hayo mambo ya katikba.
 
Bila muungano Zanzibar ingekuwa nchi ya kiislamu.
Karibia asilimia 99 ya wakazi wa znz ni waislamu sasa kuna ubaya gani?!!

Tuache chokochoko za kijinga.

Kama kiongozi anahamasisha kumcha Mungu hakuna ubaya wowote, Lau kama angekuwa anahamasisha ushoga hapo tusingemuelewa kabisaa!!!!

Taifa likekosa maadili kwasababu watu hawana hofu ya Mungu, watu hawataki kwenda makanisani Wala misikitini, ni vyema viongozi wakahimizi wananchi jambo Hilo.
 
Kwa muda mrefu huyu rais anajitambulisha kuwa yupo kwa ajili ya kuukuza uisilamu, rais Mwinyi huko nyuma aliwahi kusema ataongea na rais wa Tanzania kuona jinsi serikali ya Zanzibar inavyoweza kuanzisha mfuko wa Hija kwa waisilamu!

Huenda ulianzishwa au la, hata hivyo hilo si jambo analotakiwa kulifanya rais wa nchi.

Rais Mwinyi anatumia muda mwingi wa serikali kufanya shughuri za dini ya kiisilamu jambo ambalo si sahihi kwenye nchi ambayo serikali haina dini, anawanyima haki ya kuwahudumia wasio waisilamu na bahati mbaya hata siku ya Jumapili inapoteza heshima yake kwa kupanga shughuli za kiisilamu zifanywe siku hiyo.
Zanzibar 98% ni Waislamu, hivyo he has every right to do the needful kwa hao 98% ya Waislamu!. Sisi Wakristu baada ya kupewa Jumamosi na Jumapili kama siku za mapumziko, tutosheke!.
Tena kuna akina sisi tunaunga mkono hadi Mahakama ya Kadhi Mwarobaini wa Kweli wa Mahakama ya Kadhi ni Huu, Wakristo, Waislamu, Kuukubali Bila Matatizo!.
Go Mwinyi go!.
Go Samia go!.
Mungu ibariki Tanzania

P
 
Kwa muda mrefu huyu rais anajitambulisha kuwa yupo kwa ajili ya kuukuza uisilamu, rais Mwinyi huko nyuma aliwahi kusema ataongea na rais wa Tanzania kuona jinsi serikali ya Zanzibar inavyoweza kuanzisha mfuko wa Hija kwa waisilamu!

Huenda ulianzishwa au la, hata hivyo hilo si jambo analotakiwa kulifanya rais wa nchi.

Rais Mwinyi anatumia muda mwingi wa serikali kufanya shughuri za dini ya kiisilamu jambo ambalo si sahihi kwenye nchi ambayo serikali haina dini, anawanyima haki ya kuwahudumia wasio waisilamu na bahati mbaya hata siku ya Jumapili inapoteza heshima yake kwa kupanga shughuli za kiisilamu zifanywe siku hiyo.
Siafiki hayo mashambulio dhidi ya hussein mwinyi. Ujue zanzibar karibu asilimia 100 ni waislaam. Japo katiba ya zanzibar serikali haina dini ni desturi serikali kujihusisha kwa kiasi fulani na mambo ya uislam.
 
Wanasiasa bwana unakuta mkono huu anafanya hivi ila mkono mwingine Kuna mengine yanaendelea.
 
Hizo ni siasa tu, anawapa wapiga kura kile wanataka.

Mimi kinachonisikitisha ni namna watanzania wanavyodanganyika kirahisi kupitia dini, mabonanza ya michezo, matamasha ya muziki n.k.

Majority ya watu wetu ni mbumbumbu.
 
Mwinyi anafanya siasa...
Waislam wa Zanzibar ambao ni asilimia 99 ya wapiga Kura wake wanam doubt uislam wake..
Anafanya siasa Tu...yeye mwenyewe ni westerner na mkewe mkristo...

Ila Kwa kuwa nyinyi mnapenda kulalamika hata kiongozi akivaa kibarakashia hamuwezi elewa..
Mkewe ni mkiristo!?
 
Zanzibar 98% ni Waislamu, hivyo he has every right to do the needful kwa hao 98% ya Waislamu!. Sisi Wakristu baada ya kupewa Jumamosi na Jumapili kama siku za mapumziko, tutosheke!.
Tena kuna akina sisi tunaunga mkono hadi Mahakama ya Kadhi Mwarobaini wa Kweli wa Mahakama ya Kadhi ni Huu, Wakristo, Waislamu, Kuukubali Bila Matatizo!.
Go Mwinyi go!.
Go Samia go!.
Mungu ibariki Tanzania

P
99.9% Zanzibar ni waislam,hao wakiristo 2% umepata wapi bwana paskali!!?
 
Back
Top Bottom