pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,038
- 5,259
Sgr inamuhusu nini?
Itarahisisha sana mizigo ya uganda ikifika mwanza na kuvuka kwa Meli hadi Kampala! Ndo maana inamhusu sana! Na kuna baadhi ya watu kama akina Zitto walilazimisha SGR iende kigoma huko porini then ije mwanza! That will never happen!Sgr inamuhusu nini?
Umenena vyema mkuuItarahisisha sana mizigo ya uganda ikifika mwanza na kuvuka kwa Meli hadi Kampala! Ndo maana inamhusu sana! Na kuna baadhi ya watu kama akina Zitto walilazimisha SGR iende kigoma huko porini then ije mwanza! That will never happen!
Unaweza ukawa na akili timamu ukawaamini Chadema!?Si chadema wanasema Magufuli alifunga nchi na kuharibu mahusiano na majirani?
Kumbe majirani hao hao walitujengea hadi shule!
Akakomboe uwanja kwanza.
Acha kumuota marehemu amka chapa mwendoSi chadema wanasema Magufuli alifunga nchi na kuharibu mahusiano na majirani?
Kumbe majirani hao hao walitujengea hadi shule!
Si walisema mizigo ya uganda itashukia tanga?Itarahisisha sana mizigo ya uganda ikifika mwanza na kuvuka kwa Meli hadi Kampala! Ndo maana inamhusu sana! Na kuna baadhi ya watu kama akina Zitto walilazimisha SGR iende kigoma huko porini then ije mwanza! That will never happen!
na ndio awamu hii inataka tuwape bandari ili sisi na wanetu tuwe watumwa.Wachina siyo watu wa mchezo mchezo
Vumilia mkuu hiyo ndiyo ccm mliyo itaka wenyewena ndio awamu hii inataka tuwape bandari ili sisi na wanetu tuwe watumwa.
Ila wao watawala na vizazi vyao wakibakia kula pacenti.