Rais Museveni kufanya ziara ya kikazi Tanzania. Atakabidhi Shule iliyojengwa kwa ufadhili wake Wilayani Chato

Sgr inamuhusu nini?
Itarahisisha sana mizigo ya uganda ikifika mwanza na kuvuka kwa Meli hadi Kampala! Ndo maana inamhusu sana! Na kuna baadhi ya watu kama akina Zitto walilazimisha SGR iende kigoma huko porini then ije mwanza! That will never happen!
 
Itarahisisha sana mizigo ya uganda ikifika mwanza na kuvuka kwa Meli hadi Kampala! Ndo maana inamhusu sana! Na kuna baadhi ya watu kama akina Zitto walilazimisha SGR iende kigoma huko porini then ije mwanza! That will never happen!
Umenena vyema mkuu
 
Mtoa taarifa ungeweka angalau mpangilio day to day.sasa umejumlisha siku 3 bila kueleweka matukio kila tarehe.
 
Itarahisisha sana mizigo ya uganda ikifika mwanza na kuvuka kwa Meli hadi Kampala! Ndo maana inamhusu sana! Na kuna baadhi ya watu kama akina Zitto walilazimisha SGR iende kigoma huko porini then ije mwanza! That will never happen!
Si walisema mizigo ya uganda itashukia tanga?
Sasa tanga kuna sgr
 
Back
Top Bottom