Rais Museveni akamata mashoga 490

Waganda huwa wanajiona ni wa ulayaulaya labda kwa sababu wanaongea lugha ya ulaya. Siku makanisa yao yenye makao makuu ulaya yakianza kufungisha ndoa za jinsia moja, uganda itakuwa ya kwanza afrika kukubali ujinga huo. Swali, ina maana uganda ina mashoga wengi afrika mashariki? Mbona inagonga sana vichwa vya habari? Anyway museveni kama kachoka kutawala aseme tu kuliko kuwasumbuasumbua mashoga, anachokitafuta atakipata, nchi wahisani wake zinazowakubali mashoga hazitamvumilia
 
Weweeee utakua Punga...
Waganda huwa wanajiona ni wa ulayaulaya labda kwa sababu wanaongea lugha ya ulaya. Siku makanisa yao yenye makao makuu ulaya yakianza kufungisha ndoa za jinsia moja, uganda itakuwa ya kwanza afrika kukubali ujinga huo. Swali, ina maana uganda ina mashoga wengi afrika mashariki? Mbona inagonga sana vichwa vya habari? Anyway museveni kama kachoka kutawala aseme tu kuliko kuwasumbuasumbua mashoga, anachokitafuta atakipata, nchi wahisani wake zinazowakubali mashoga hazitamvumilia
Mapunga yanategemea Ulaya, ..Ulaya haiwezi kuiamria Afrika juu ya Values za kiafrika.
Waganda huwa wanajiona ni wa ulayaulaya labda kwa sababu wanaongea lugha ya ulaya. Siku makanisa yao yenye makao makuu ulaya yakianza kufungisha ndoa za jinsia moja, uganda itakuwa ya kwanza afrika kukubali ujinga huo. Swali, ina maana uganda ina mashoga wengi afrika mashariki? Mbona inagonga sana vichwa vya habari? Anyway museveni kama kachoka kutawala aseme tu kuliko kuwasumbuasumbua mashoga, anachokitafuta atakipata, nchi wahisani wake zinazowakubali mashoga hazitamvumilia
Shindwaaa na mabwanako.
 
Waganda huwa wanajiona ni wa ulayaulaya labda kwa sababu wanaongea lugha ya ulaya. Siku makanisa yao yenye makao makuu ulaya yakianza kufungisha ndoa za jinsia moja, uganda itakuwa ya kwanza afrika kukubali ujinga huo. Swali, ina maana uganda ina mashoga wengi afrika mashariki? Mbona inagonga sana vichwa vya habari? Anyway museveni kama kachoka kutawala aseme tu kuliko kuwasumbuasumbua mashoga, anachokitafuta atakipata, nchi wahisani wake zinazowakubali mashoga hazitamvumilia
Mbona umeumia sana?
 
Back
Top Bottom