Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete alikuwa Nabii aliyeona leo

TumainiEl

JF-Expert Member
Jan 13, 2010
6,188
11,219
Mh Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete aliwahi kutabiri na kiukweli leo nina diriki kusema huyu alikuwa nabii.

Alipo fika pale ikulu aliona jambo moja la hatari sana ndani ya chama na ndani ya kiti cha Rais. Kwa Upendo mkubwa sana na busara zake aliwaita wataalamu wa sheria na wakachambuwa madaraka ya Rais. Kazi ngumu ilifanyika na mwisho waziri wa wakati ule Hawa Ghasia if not Sophia Simba akapewa muswaada kupeleka bungeni.

Kiukweli watu walipinga nakumuona Mh Kikwete hakuwa na nia njema kwa mamlaka ya Rais. Lakini akielezea dhima ya kupeleka ule mswaada bungeni haya ndio yalikuwa maneno yake, "Madara ya Rais nimakubwa mno kiasi naona kama atatokea kiongozi akayatumia vibaya itakuwa ni shida kubwa" at that time hatukumuelewa na wazo lake lilipigwa chini bungeni.

Miaka imepita sasa leo tunamkubuka huyu nabii ambaye sasa ni mstaafu.

Huyu Nabii aliposhindwa kwenye hili akahangaika kufanya reforming ndani ya chama nakushusha madaraka kwa wanachama alifanikiwa kwa kiasi kikubwa il alipofika kutenganisha kofia ya Mwenyekiti wa chama na Kofia ya Rais watu waliinuka nakumuona kama pia ana agenda binafsi leo watu wanaona wakati huwo Mzee yupo msoga anafuga Ng'ombe nakula miogo.

Kiufupi tumekwama na kwakuwa yeye anakula pensheni yake kama mshauri ktk chama. Basi watu wanaisoma Namba kama hivi nakumkumbuka.

Kumbe JK pamoja na mapungufu yake alikuwa Rais Nabii aliyeona leo.
 
Kwa hiyo JK ni Nabii!!🤔 Ilikuwaje aliamua kuwajaza wanasiasa kwenye lile Bunge la Katiba kiasi cha kusababisha mtafuruku kati Ukawa na Ccm? Maana ile Rasimu ilipendekeza kabisa upunguzwaji wa madaraka ya Rais, nk!

Na ilikuwaje Nabii JK kwa makusudi kabisa mwaka 2015, akaamua kwa makusudi kabisa kuuvuruga mchakato wa kumpata mgombea wa Urais kupitia Ccm? na mwisho wa siku kufanya ule uamuzi wa hovyo wa "Bora tukose wote" na hivyo kutuletea mtu ambaye kimsingi aliingia kwenye kile kinyang'anyiro kwa majaribio!
 
Kwa hiyo JK ni Nabii!! Ilikuwaje aliamua kuwajaza wanasiasa kwenye lile Bunge la Katiba kiasi cha kusababisha mtafuruku kati Ukawa na Ccm? Maana ile Rasimu ilipendekeza kabisa upunguzwaji wa madaraka ya Rais, nk!

Na ilikuwaje Nabii JK kwa makusudi kabisa mwaka 2015, akaamua kwa makusudi kabisa kuuvuruga mchakato wa kumpata mgombea wa Urais kupitia Ccm? na mwisho wa siku kufanya ule uamuzi wa hovyo wa "Bora tukose wote" na hivyo kutuletea mtu ambaye kimsingi aliingia kwenye kile kinyang'anyiro kwa majaribio!

Paragraph ya chini Ulichokiandika sio kitu cha kua nach uhakika Sana
Wapo wanaosema Mwl wa chemistry hakua chaguo la JK bali Lilikua chaguo la Mtu Mfupi JK chaguo lake Lilikua ni BM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo JK ni Nabii!! Ilikuwaje aliamua kuwajaza wanasiasa kwenye lile Bunge la Katiba kiasi cha kusababisha mtafuruku kati Ukawa na Ccm? Maana ile Rasimu ilipendekeza kabisa upunguzwaji wa madaraka ya Rais, nk!

Na ilikuwaje Nabii JK kwa makusudi kabisa mwaka 2015, akaamua kwa makusudi kabisa kuuvuruga mchakato wa kumpata mgombea wa Urais kupitia Ccm? na mwisho wa siku kufanya ule uamuzi wa hovyo wa "Bora tukose wote" na hivyo kutuletea mtu ambaye kimsingi aliingia kwenye kile kinyang'anyiro kwa majaribio!
Alisikiliza matakwa yenu si mlisema yeye ni legelege mnataka raisi asie cheka na mtu raisi mkali akawaletea Sasa mmemiss mapocho pocho ya ikulu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo letu Tz tunachagua marais wetu kwa kuangalia makabila yaliyonyuma zaidi kimaendeleo haya....
Leadership skills siyo suala la ukabila, ni suala la uwezo binafsi na ustaarabu wa mtu husika.
Viongozi huandaliwa, kuzaliwa familia flani, au koo flani au kabila flani hakuwezi kuwa sifa ya kuwa kiongozi bora.
Wala kipaji pekee kisicho boreshwa hakiwezi kutosha kumfanya mtu awe kiongozi bora.

Kila familia, koo, na kabila kuna watu wenye sifa za kiungozi bora na wanaokosa sifa za uongozi.
Hata ndani ya makundi hayo juu watu hutofautiana maendeleo.
Mtu ambae uwezo wake mdogo kumbanua na kuchanganua mambo ndiyo akili yake hufunikwa na giza la mawazo ya kikabila na ubinafsi.
 
Mi hata buku nafanya, kwa njaa ilivyo Kali mshihara haipandi, mwaka wa tano sasa hata increment hakuna, akikuunganisha usinisahau, nitakuwa na kupa post zangu, ili unipe na mimi kidogo nakufa njaa huku mtaani jua kali,
Mkuu naomba connection na Mimi Niwe napiga hii kazi yako, Eneo la kazi popote pale nip tayari Twitter, facebook, instagram Au popote pale
Ntakupoza ila tuu unahakikishie Buku 7 iliyo simama daily

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom