Peleka huko porojo zako! Hiki ndicho umeandika:Naongelea GGM elewa ..cna mazungumzo mengi na sitaki bishana maana uwez badili mtazamo wangu
Unataka kuaminisha watu kwamba wakati huo African Barrick ilikuwa haijaanza kazi wakati tayari walikuwa na mgodi wa Bulyanhulu ambao ndio ulianza kuzalisha makinikia!! Sasa how come unasema ilikuwa kabla ya issue ya Acacia?!Huyu mange atawapoteza sana nasema ..hiyo quote ya mkapa ilikuwa b4 ata hii issue ya acacia na alikuwa anafungua mgodi wa GGM ,
Ki lugha gani umeandika? Mkalimani anahusika.Huyu mange atawapoteza sana nasema ..hiyo quote ya mkapa ilikuwa b4 ata hii issue ya acacia na alikuwa anafungua mgodi wa GGM , afu kingine iyo habari from ku google
Awa akasia n mbonga yetu , imewiva vizuri ni sisi na ugali wetu kuila
Ndo ujue alivyotuingiza matatizoni halafu Saa hizi kuna watu wanakazana kusema kuwa Lissu ni dalali huku madalali wenyewe wameachwambona unatuletea tarifa za miaka kibao ya nyuma.
Ndiko tatizo lilianziambona unatuletea tarifa za miaka kibao ya nyuma.
Kwa hyo ilihusiana na tumbakuApo ilikuwa ndio mwekezaji amekuja hatukujua km things will go wrong sababu still tulikuwa tuna own share and percent xo as process goes on ndio mambo yakawa wrong xo usiseme ilihusiana na migodi
Akizungumza miaka kadhaa iliyopita Mkapa ambaye kwa sasa no Rais mstaafu alitoa utetezi wake kwa wawekezaji kuwa siyo wezi kama watu wanavyowafikiria.
Nini maoni yako?
=====
Jun 21, 2005
RAIS Benjamin Mkapa amewataka Watanzania kuondokana na kasumba kuwa wawekezaji katika sekta ya madini ni wezi.
Amekanusha pia madai kuwa wawekezaji wanafilisi mali asili iliyopo na kwamba itawaacha Watanzania katika dimbwi la umasikini.
"Hawa si wezi ni wabia wa maendeleo yetu na uwiano wa maslahi na haki yetu
"Hawa si wezi ni wabia wa maendeleo yetu na uwiano wa maslahi na haki yetu ipo, naondoka madarakani miezi minne ijayo nikaacha Serikali ijayo ambayo naamini itakuwa ya CCM na kwamba uwiano na haki vitaendelea,"
We mikataba imesainiwa mwaka 98, afu we unatuambia '05 ni before?Huyu mange atawapoteza sana nasema ..hiyo quote ya mkapa ilikuwa b4 ata hii issue ya acacia na alikuwa anafungua mgodi wa GGM , afu kingine iyo habari from ku google
Awa akasia n mbonga yetu , imewiva vizuri ni sisi na ugali wetu kuila
Duuuh hili jamaa Lina sura mbaya nadhani hata roho yake iko hivyo
Maana hata mikataba ya madini ilisainiwa miaka kibao ya nyuma na CCM walisema sio wezi, sasa sijui kwanini leo wanawaita wezimbona unatuletea tarifa za miaka kibao ya nyuma.
Kwa kweli, hawana cha kunena wako MUTED FOREVER! Hahahahambona unatuletea tarifa za miaka kibao ya nyuma.
Mkuu, unasoma kidato cha ngapi? Samahani lakini.Kwan issue ya acacia kujulikana wanatuibia imeibuka lini .. afu ni african barrick au acacia walioanza miliki huo mgodi ..msichanganye acacia na barrick