Rais Magufuli yashamshinda?

Rais Magufuli yashamshinda?

Nyani Ngabu urais ni taasisi ukimuona rais anatoa maamuzi ujue information zote anazo

Sio kweli Rich, juzi Rais Mkapa alikiri kuwa katika kipindi chake alikosea sana ubinafsishaji wa mashirika ya umma. Miaka kumi baadae. Nakumbuka katika kipindi chake aliwaona watu wajinga na wachochezi sana waliolipinga zoezi hili. Kama sio akina Jenerali Ulimwengu, Mzee Kaduma na baadhi ya watu wengine hata NMB isingekuwepo alitaka kuiuza bank yote ya NBC kwa bei ya pipi. Leo hii anajuta, anajilaumu, lakini hana atakachosaidia; viwanda vyetu viliuzwa na sasa hivi havifanyi kazi; afadhali kabla ya zoezi.

Makosa anayoyafanya Rais wetu siyo ya taasisi ni ya binafsi na ndio maana hatambui hata baadhi ya mambo yaliyokubaliwa na mtangulizi wake. Hukumbuki kahama alisema nini kwa wananchi walioahiwa kujegewa nyumba na Mhesh. Kikwete? Amekataa na amesema aliyewahaidi ameisha ondoka! Kama rais ni taasisi kwa nini asitekeleze ahadi za rais aliyemtangulia?
Urais ni taasisi kwa nchi nyingine sio Tanzania na watawala wetu.
 
Busara, hana. Hekima, sifuri. Kuongea, pumba. Dira, haijulikani. Mwelekeo, giza.

Kwa mwendokasi aliouonyesha mpaka hivi sasa, huyu MTUKUFU rais Magufuli yuko mbioni kuwa ndo rais bomu kabisa kupita wote katika historia ya Tanzania.

Naamini hata CCM wenzake wapo wanaojuta sasa hivi maana kageuka kuwa kituko.
 
A
Busara, hana. Hekima, sifuri. Kuongea, pumba. Dira, haijulikani. Mwelekeo, giza.

Kwa mwendokasi aliouonyesha mpaka hivi sasa, huyu rasi Magufuli yuko mbioni kuwa ndo rais bomu kabisa kupita wote katika historia ya Tanzania.

Naamini hata CCM wenzake wapo wanaojuta sasa hivi maana kageuka kuwa kituko.

Nyie vijana wa UKUTA mna kejeli sana,

Unafikia kumkrjeli muadhama,

Mwenye kuamuru polisi wenye dhana,

Mkuu hebu washushie mvua ya lawama
 
A


Nyie vijana wa UKUTA mna kejeli sana,

Unafikia kumkrjeli muadhama,

Mwenye kuamuru polisi wenye dhana,

Mkuu hebu washushie mvua ya lawama

Ah nilisahau bana...kumbe jamaa ni mtukufu!
 
Busara, hana. Hekima, sifuri. Kuongea, pumba. Dira, haijulikani. Mwelekeo, giza.

Kwa mwendokasi aliouonyesha mpaka hivi sasa, huyu rasi Magufuli yuko mbioni kuwa ndo rais bomu kabisa kupita wote katika historia ya Tanzania.

Naamini hata CCM wenzake wapo wanaojuta sasa hivi maana kageuka kuwa kituko.

Subiri spin doctors kutoka mtaa wa lumumba waonyeshe mafanikio makubwa kabisa ya kihistoria ya raisi huyu ambaye taifa hili lilimhitaji kwa miaka mingi 😀😀😀
 
Back
Top Bottom