Nasikia Ruge aligoma kutoa mpunga siku nyingi angeshatoka.sidhani,kina Ruge na huyo mhindi watakuwa wameamua kufia mahabusu
Nasikia Ruge aligoma kutoa mpunga siku nyingi angeshatoka.sidhani,kina Ruge na huyo mhindi watakuwa wameamua kufia mahabusu
Wewe unaijua dhambi yake? Nani anayestahili kuhukumu kati yetu?Mambo yako mengi ila muda hautoshi,ngoja tukatuhu kwanza
Nadhani hizi ni kauli za mpito tu! ukimalizikia uchaguzi zitabadilika tu.Wanabodi, Tangu aingie madarakani hii ni moja ya hotuba zuri na za kupendeza sana sana
Leo Rais amegusa kauli ya tuishi kwa msamaha, Kwa wanaoamini Katika ukatoliki kuishi kwa msamaha ndio mafundisho makuu
Neno msamaha kwa Wakatoliki linabeba Maana kubwa na hutamkwa kwenye sala ya Baba yetu kila jumapili
Katika sherehe ya kuwaapisha makatibu tawala, makatibu wakuu na manaibu wao. Rais Magufuli amemshauri mwendesha mashtaka wa serikali kuwafikiria wale wote ambao wapo tayari kutubu na kukubali kulipa pesa zote walizokwapua serikalini yaani mafisadi
Hii ni dalili mpya kuelekea uchaguzi wa mwaka 2025,
Uamuzi wa Rais Magufuli Leo naunga mkono asilimia Mia moja, Kwa watu waliopo mahabusu kwa wizi au dhuluma kwa zaidi ya miaka kadhaa ni muda wa kutubu na kusamehewa
Lakini kwa jicho la tatu namuangalia mkwe wa lowasa kwa mbali akitoka mahabusu
Naunga mkono hoja kauli ya Rais asilimia Mia moja
Wanaoamini kwenye Imani ya kikatoliki msamaha ndio msingi wa kukiri kuwa kila mtu ni dhaifu na anahitaji toba
Hongera Rais Magufuli
👏Mhe. Rais anasema hajamwagiza DPP wala hataki kuingilia Uhuru wa mahakama ila kwa ukweli kabisa na kwa kuzingatia taratibu za kimahakama mtu akikiri kosa kesi inakwisha na wala haiitaji Rais aseme, Wale wanaoamini walitenda wapo uraia tayari au wanatumikia vifungo na wale wanaoamini hawakutenda wanataka kesi zao zisikilizwe mapatikane na hatia au watoke bila hatia.
Kesi za uhujumu uchumi zinatumika kisiasa kukandamiza watu, hakuna dhamana lakini maelekezo yakitoka ikulu tayari watu wanatolewa. Hizi kesi miaka yote zinaelezwa ushahidi ujakamilika Leo wanakiri vipi kwamba wametenda kosa? Walifanya huu mchezo wale jamaa wa madini Mwanza na pia mdogo wake Rostam, wakafanyiwa hivi Vodacom baada ya wakurugenzi wake kukamatwa na Sasa mchezo umenoga imekuwa uhujumu uchumi ni kesi za majadiliano ukiri ununue Uhuru wako...hii si sawa kabisa.
Nataman Mhe. Rais angesimamia kuviagiza vyombo vya dola kukamata watu baada ya uchunguzi kukamilika na kesi zikifika mahakaman ndani ya muda mfupi zisikilizwe hapa tungetenda haki. Tukiendelea kuwaweka na kuwatoa watu ndani kwa sbabu za kisiasa hatutendi vyema.
Lowasa kasifia juzi si kwamba anapenda ila anatamani mkwe wake apate Uhuru baada ya kuona ndani ya miaka mitatu hakuna uhakika wa mkwewe kusikilizwa. Kila kukicha uhujumu uchumi ukiangalia Nani kahujumu uchumi na hasara gani kasababisha upati majibu.
Serikali inatumia muhimili wa mahakama vibaya na kuufanya ushuke thamani, 4 yrs uchunguzi haujakamilika na mahakimu wanahairisha kesi uchunguzi gani huo au unafanyika mwezini? DPP anatakiwa kuwajibishwa siyo kubembelezwa au kushauriwa kuziondoa kesi mahakamani.
Bora EPA walisamehewa bila kukaa ndani. Hawa wengine ni kama vile wametumikia vifungo vyao na kutoa pesa bila hukumu ya mahakama.Mimi siwezi kuunga mkono maana Kikwete aliwasamehe wale wa EPA baada ya kulipa ila nikaongoza mashambulizi kumlipua. Shida yangu kwa Magufuli ni kuwa anawasotesha huko mahabusu huku kukiwa hakuna nyuma wala mbele. Any way wiki hii majabali yote yanarudi uraiani.
Kwanza thibitisha mimi dogo, halafu thibitisha nina akili ndogo.Una akili ndogo sana dogo
Ruge lodnKama mchungaji atoavyo na kuongoza sala ya Toba mzee baba jmp amewaomba wezi watubu ndani ya siku 7 na kurudisha walichoiba.
Akisisitiza kuwa hapendi kuingilia mahakama ameomba ikiwezekana ushauri wake upokelewe kwa mtu kurudisha na kujiapiza hatarudia.
Jamani tubuni mrejee Mungu anashauri pia watu watubu wakamrudie Mungu wao
=====
UPDATES:
“viongozi mlioapishwa hapa fuateni sheria katika utendaji wenu wa kazi, tumieni vyombo vyetu vya kisheria, nawatakieni kazi njema”- Prof. Ibrahim Juma- Jaji Mkuu
“Mabadiliko ni sehemu ya kazi, tunawaomba mkafanye kazi za watu, mkawasikilize, tumieni uzoefu mliopata maeneo mliyokuwa awali kutekeleza majukumu yenu-Makamu wa Rais Samia
“Nawapongeza sana mlioteuliwa na kuapishwa leo”-Rais Magufuli
“Tupo hapa kufanya kazi za watu, sisi ni watumishi wa watu”-Rais Magufuli
“Unapopewa madaraka lazima uyabebe na uwajibike kwa kila litakalotokea, nchi hii tumekabidhiwa wote kwa ajili ya kuwatumikia watanzania”-Rais Magufuli
“Wapo watu wamekaa mahabusu kwa kesi za uhujumu uchumi,inawezekana wapo tayari kuomba msamaha,nakurejesha pesa, DPP katika kipindi cha siku 7 ningeshauri kama sheria inaruhusu wakatoke humo ndani,haya nimapendekezo sijaingilia mahakama” rais Magufuli
“Viongozi wa dini endeleeni kutuombea, msichoke, nchi hii inakwenda mbele, changamoto lazima ziwepo”-Rais Magufuli
“Nawapongeza sana watanzania kwa kulipa kodi, ndio mnasababisha tunatekeleza miradi mikubwa ya kimaendeleo”-Rais Magufuli
Kisheria haipo hii..maana ukishakiri kosa kinachofuatia ni hukumu yako na kifungo etc..mmh, hapo kisheria ipoje?
Kwanza kabisa thibitisha mimi mzee.Kivipi anaingilia weye mzee
Washatoka wengine makundi ya vijana wakabaji yameanza kushika hatamu.Sharia imepitishwa juzi bungeni inaitwa plea........nenda website bunge angalia miswada iliyopitishwa kesho ana sign watu wanatoka jela
Je wataruhusiwaWanabodi, Tangu aingie madarakani hii ni moja ya hotuba zuri na za kupendeza sana sana
Leo Rais amegusa kauli ya tuishi kwa msamaha, Kwa wanaoamini Katika ukatoliki kuishi kwa msamaha ndio mafundisho makuu
Neno msamaha kwa Wakatoliki linabeba Maana kubwa na hutamkwa kwenye sala ya Baba yetu kila jumapili
Katika sherehe ya kuwaapisha makatibu tawala, makatibu wakuu na manaibu wao. Rais Magufuli amemshauri mwendesha mashtaka wa serikali kuwafikiria wale wote ambao wapo tayari kutubu na kukubali kulipa pesa zote walizokwapua serikalini yaani mafisadi
Hii ni dalili mpya kuelekea uchaguzi wa mwaka 2025,
Uamuzi wa Rais Magufuli Leo naunga mkono asilimia Mia moja, Kwa watu waliopo mahabusu kwa wizi au dhuluma kwa zaidi ya miaka kadhaa ni muda wa kutubu na kusamehewa
Lakini kwa jicho la tatu namuangalia mkwe wa lowasa kwa mbali akitoka mahabusu
Naunga mkono hoja kauli ya Rais asilimia Mia moja
Wanaoamini kwenye Imani ya kikatoliki msamaha ndio msingi wa kukiri kuwa kila mtu ni dhaifu na anahitaji toba
Hongera Rais Magufuli