Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 7,424
- 9,358
Kama mchungaji atoavyo na kuongoza sala ya Toba mzee baba jmp amewaomba wezi watubu ndani ya siku 7 na kurudisha walichoiba.
Akisisitiza kuwa hapendi kuingilia mahakama ameomba ikiwezekana ushauri wake upokelewe kwa mtu kurudisha na kujiapiza hatarudia.
Jamani tubuni mrejee Mungu anashauri pia watu watubu wakamrudie Mungu wao
=====
UPDATES:
“viongozi mlioapishwa hapa fuateni sheria katika utendaji wenu wa kazi, tumieni vyombo vyetu vya kisheria, nawatakieni kazi njema”- Prof. Ibrahim Juma- Jaji Mkuu
“Mabadiliko ni sehemu ya kazi, tunawaomba mkafanye kazi za watu, mkawasikilize, tumieni uzoefu mliopata maeneo mliyokuwa awali kutekeleza majukumu yenu-Makamu wa Rais Samia
“Nawapongeza sana mlioteuliwa na kuapishwa leo”-Rais Magufuli
“Tupo hapa kufanya kazi za watu, sisi ni watumishi wa watu”-Rais Magufuli
“Unapopewa madaraka lazima uyabebe na uwajibike kwa kila litakalotokea, nchi hii tumekabidhiwa wote kwa ajili ya kuwatumikia watanzania”-Rais Magufuli
“Wapo watu wamekaa mahabusu kwa kesi za uhujumu uchumi,inawezekana wapo tayari kuomba msamaha,nakurejesha pesa, DPP katika kipindi cha siku 7 ningeshauri kama sheria inaruhusu wakatoke humo ndani,haya nimapendekezo sijaingilia mahakama” rais Magufuli
“Viongozi wa dini endeleeni kutuombea, msichoke, nchi hii inakwenda mbele, changamoto lazima ziwepo”-Rais Magufuli
“Nawapongeza sana watanzania kwa kulipa kodi, ndio mnasababisha tunatekeleza miradi mikubwa ya kimaendeleo”-Rais Magufuli
Zaidi soma....
RAIS John Magufuli ameshauri wafungwa walioko mahabusu kwa tuhuma za uhujumu uchumi, kama wako tayari kuomba radhi na kuzirudisha fedha walizotafuna, watolewe.
Watuhumiwa hao wanadaiwa kutenda makosa hayo mwaka 2013 ambapo walikamatwa na kupandishwa kizimbani kwa mara ya kwanza mwaka 2017.
Rais Magufuli ameshauri hayo leo tarehe 22 Septemba 2019, wakati anawaapisha viongozi mbalimbali aliowateuwa hivi karibuni, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Akizungumza katika hafla hiyo, Rais Magufuli amemshauri Biswalo Mganga, Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini (DPP) kama sheria inaruhusu, awasikilize watuhumiwa watakaokuwa tayari kuomba msamaha na kuzirejesha fedha hizo.
“Wapo watu wamekaa mahabusu kwa kesi za uhujumu uchumi,inawezekana wapo tayari kuomba msamaha na kurejesha pesa, DPP katika kipindi cha siku saba ningeshauri kama sheria inaruhusu wakatoke humo ndani, haya nimapendekezo sijaingilia mahakama,” amesema Rais Magufuli
Akisisitiza kuwa hapendi kuingilia mahakama ameomba ikiwezekana ushauri wake upokelewe kwa mtu kurudisha na kujiapiza hatarudia.
Jamani tubuni mrejee Mungu anashauri pia watu watubu wakamrudie Mungu wao
=====
UPDATES:
“viongozi mlioapishwa hapa fuateni sheria katika utendaji wenu wa kazi, tumieni vyombo vyetu vya kisheria, nawatakieni kazi njema”- Prof. Ibrahim Juma- Jaji Mkuu
“Mabadiliko ni sehemu ya kazi, tunawaomba mkafanye kazi za watu, mkawasikilize, tumieni uzoefu mliopata maeneo mliyokuwa awali kutekeleza majukumu yenu-Makamu wa Rais Samia
“Nawapongeza sana mlioteuliwa na kuapishwa leo”-Rais Magufuli
“Tupo hapa kufanya kazi za watu, sisi ni watumishi wa watu”-Rais Magufuli
“Unapopewa madaraka lazima uyabebe na uwajibike kwa kila litakalotokea, nchi hii tumekabidhiwa wote kwa ajili ya kuwatumikia watanzania”-Rais Magufuli
“Wapo watu wamekaa mahabusu kwa kesi za uhujumu uchumi,inawezekana wapo tayari kuomba msamaha,nakurejesha pesa, DPP katika kipindi cha siku 7 ningeshauri kama sheria inaruhusu wakatoke humo ndani,haya nimapendekezo sijaingilia mahakama” rais Magufuli
“Viongozi wa dini endeleeni kutuombea, msichoke, nchi hii inakwenda mbele, changamoto lazima ziwepo”-Rais Magufuli
“Nawapongeza sana watanzania kwa kulipa kodi, ndio mnasababisha tunatekeleza miradi mikubwa ya kimaendeleo”-Rais Magufuli
Zaidi soma....
RAIS John Magufuli ameshauri wafungwa walioko mahabusu kwa tuhuma za uhujumu uchumi, kama wako tayari kuomba radhi na kuzirudisha fedha walizotafuna, watolewe.
Sethi na Rugemarila wanakabiliwa na mashtaka 12 ya uhujumu uchumi ikiwemo kula njama, kujihusisha mtandao wa uhalifu, kughushi, kutoa nyaraka za kughushi, kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu, kutakatisha fedha na kusababisha hasara ya Dola za Marekani 22 milioni.Miongoni mwa wafungwa waliopo mahabusu kwa tuhuma hizo ni pamoja na wafanyabiashara wakubwa nchini Harbinder Seth na James Rugemalira.
Watuhumiwa hao wanadaiwa kutenda makosa hayo mwaka 2013 ambapo walikamatwa na kupandishwa kizimbani kwa mara ya kwanza mwaka 2017.
Rais Magufuli ameshauri hayo leo tarehe 22 Septemba 2019, wakati anawaapisha viongozi mbalimbali aliowateuwa hivi karibuni, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Akizungumza katika hafla hiyo, Rais Magufuli amemshauri Biswalo Mganga, Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini (DPP) kama sheria inaruhusu, awasikilize watuhumiwa watakaokuwa tayari kuomba msamaha na kuzirejesha fedha hizo.
“Wapo watu wamekaa mahabusu kwa kesi za uhujumu uchumi,inawezekana wapo tayari kuomba msamaha na kurejesha pesa, DPP katika kipindi cha siku saba ningeshauri kama sheria inaruhusu wakatoke humo ndani, haya nimapendekezo sijaingilia mahakama,” amesema Rais Magufuli