Rais Magufuli, unateua kwa lengo la kupambana na wapinzani au kuleta maendeleo?

anataka kuwasuta kupitia hivyo vijamaa, wale wanaomuita uchwara uchwara..
 
Jamani tusipoondoa CCM madarakani hii nchi itakuwa vitani soon soon. Rais hayuko mtu wa maendeleo ni mwonevu wa haki za binadamu. Kwa nini anadhani kuwa uonevu unaleta maendeleo? Kwani anaposema kuwa yeye ni Rais anahaki ya kuzunguka nchi yote. Ni sheria ipi inayomnyima mtanzania mwingine kuzunguka nchi. Je Mbowe siyo rais kivuli kama kiongozi wa upinzani?
 
Ninaomba sana wazee kama Pius Msekwa ambaye anaelewa maana ya upinzani, Mzee wetu Warioba na Butiku jaribuni kumsihi aketi na wapinzani. Msekwa naye anakosea. Kwa nini anadhani kuwa Tulia ana haki ya kuwafukuza tu wabunge wapinzani na siyo wa upande mwingine. Kama Askofu Jacob alivyosema kuna ubaguzikubwa unaoanza kwa Mkuu. Aache tabia hiyo wapinzani wako zaidi ya 6m
 
Sera ya awamu hii chama mbele, kupambana na upinzani, maendeleo hayana umuhimu wowote ule, plus kumkamua ng'ombe aliyrkonda hadi damu. Had miaka mitano iishe, uchumi utakuwa ka wa Zimbabwe.
Umepotea, labda tafuta mfano mwingine. Huo, hapana. Tenga muda, tafari na utagundua Tanzania ni nchi inayokua kwa kasi ikiongozwa na dhamira na dhamiri za maendeleo. Kama umekalia majungu! Ndg yatakushinda utabaki unalialia tu bila sababu, maana hujitambui.
 
Namkubali mleta mada. Rais wetu ni sadist yaani ni mtu anayefurahia mwingine akiumia. Haunganishi taifa ni aibu kubwa analeta ukanda na ukabila kwa kuongea kilugha na kudharau Chadema hadharani yeye akiwa Rais wa wote. Shame on him! Anapenda kuleta vurugu mwenyewe
 
utawala huu una mambo mengi sana ya kushughulikia, hawataweza kuleta maendelea ila, watafanikiwa sana kuwatisha na kuwajeruhi wananchi wa upinzani,
 
Nchi hii isingekuwa na upinzani ingekuwa imeshauzwa. Leo tunajigamba kwa maendeleo haya madogo kwa sababu ya upinzani kupigia kelele.
 
Exchange rate USD/TZS:
Jan.2015 ilikuwa 1700,
July,2015 ilikuwa 1900,
Oct.2015 ilikuwa 2000,
Current rate ni 2300.

Ni kweli shilingi imekuwa stable tangu Feb mwaka huu lakini kwa nchi zetu zenye uchumi wa kuning'inia ukiyumba kidogo tu itaporomoka ajabu.
Current exchange rate ni $1 = Tsh. 2300??? Phew...!!!
Ndugu yangu, andika bila kukuza mambo. Angalia tena exchange rate, lakini pia nikuambie tu kuwa imekuwa stable kwa muda mrefu sasa.
 
Current exchange rate ni $1 = Tsh. 2300??? Phew...!!!
Ndugu yangu, andika bila kukuza mambo. Angalia tena exchange rate, lakini pia nikuambie tu kuwa imekuwa stable kwa muda mrefu sasa.
To cut the long story short tuambie wewe rate ya leo ni ngapi, halafu huo muda mrefu hauna kipimo,

Usikatae kitu bila kuonyesha alternative huku ukitegemea tuendelee kujadili.
 
Back
Top Bottom