Tunapaswa kuwafikirisha watoto wetu nje ya AJIRA wakiwa bado wadogo.
Leo Unampangia Miaka 25 ijayo mwanao aje aajiliwe alipwe Laki saba?
Wakati unaweza kumpandia shamba la miti kwa shilingi kama hata millioni tatu miaka 10 sio 25 unayopanga akawa ni Millionea.
Wazazi mtutendee haki acheni siasa.
Hilo ndiyo tatizo letu watanzania.
