kitu kinacho fanya polisi wa tanzania hakuna kitengo kinacho fatilia polisi,kitengo kinacho dili na upelelezi tu,kitengo kinacho dili ujambazi labda kidogo kipo kipo,kitengo cha cyber,kitengo cha usalama kikopolisi tu,polisi wa porini kwa ajili usalama ,hivi wenzetu wameviweza hata ukitokea kitengo fulani kuharibu basi ni rahisi kuelewa upende fulani,ndio maana unakuta vitengo hivi haviingiliani majukumu kwenye kazi ikitokea itajumuishwa kazi moja watashirikiana