Usichanganye na MK254I'm very much pleased seeing Kenyans are keen following strong nations' affairs, Keep it up.
Usichanganye na MK254I'm very much pleased seeing Kenyans are keen following strong nations' affairs, Keep it up.
Unamsifia mkeo kwa ajili ya nani?
Unapomsifia mke wa mtu kwenye public ni kwa ajili ya Nani?Unamsifia mkeo kwa ajili ya nani?
You just can't do that in front of someone you love. Ni sawasawa na kukata shingo mbele ya mkeo ukiona mwanamke mzuri akipita.; psychologically that is what it says, thought we have not proven this. As for me, if you really love your woman, man dunia itaona for sure
Acha ujinga mkuu..Kuwa na Akil Mzee Baba. Yule aliyemchoma moto mke wake walikuwa Kwenye ndoa miaka mingapi?
Kanuni ni kuwa romantic kitokana na mleta uziHawezi kusema kitu kisicho ndani yake, atakuwa mnafiki. By the way kila mtu ana utaratibu wake wa kuhandle relationship issues, hakuna kanuni maalum.
Umeelewa Mada ?
Labda hajui kuna maisha mazuri zaidi ya hayo mahali pengine, Ukiwa kwenye mahusiano cha muhimu ni amani, Kama hana amani anavumilia ujingaYule Mama Janeth Magufuli inaonekana anavumilia mengi kwa Mh. Rais sura yake inaongea kila kitu.
Yule Mama Janeth Magufuli inaonekana anavumilia mengi kwa Mh. Rais sura yake inaongea kila kitu.
It is no secret JIWE is very crude!!!
Acha ujinga mkuu..
una uhakika huyo aliyemchoma moto mke wake hakuwa ROMANTIC kama mleta uzi anavyotaka?
Mwanamke ukimbeleleza sana shidaWako pamoja zaidi ya miaka 25 alafu anatokeza mtu kama wewe anasema awe romantic kwa mke wake, hivi huoni aibu?