Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,193
- 10,919
Ni muongeaji, tena muongea hovyo. Sijui Ana mtazamo gani kwa wanawake, nilisoma alipomtimua jamaa Wilaya ya Ndugu Mwegelo kwa kutembea na wake za watu, kampachika mwanamke kwenye hicho cheo, anamwambia pamoja na mkuu wa Wilaya 'haya mkapiaganie (mkagombee) wanaume sasa'. Yaani kauli iliniacha hoi, haoni kwamba anadhalilisha watu.Rais wetu ni mtendaji na si muongeaji sana