Rais Magufuli: TLS ni mali ya umma, isigeuzwe mali binafsi

Magufuli anachanganya mambo ni mali ya umma toka lini? Kuna fungu wanapewa na serikali? Aache wanasheria wafanye yao mbona kuingilia kila jambo?
Uongozi si talanta uliyopewa na Bwana labda Ubwana na Utanwa ndio unakufaa maana kha hizi amri kila kukicha Tuonee huruma na wenzio mbona tumekuchoka mapema hivi kila siku wewe tu kila siku wewe tu WHY? WHYYYYYYYY?
TULIKUKOSEA WAPI MBONA KUTUTESA HIVI KILA SIKU. Unataka tuhame ubakie mwenyewe au ni aje maana hueleweki ujue!!!!
 
Magufuli anachanganya mambo ni mali ya umma toka lini? Kuna fungu wanapewa na serikali? Aache wanasheria wafanye yao mbona kuingilia kila jambo?
Uongozi si talanta uliyopewa na Bwana labda Ubwana na Utanwa ndio unakufaa maana kha hizi amri kila kukicha Tuonee huruma na wenzio mbona tumekuchoka mapema hivi kila siku wewe tu kila siku wewe tu WHY? WHYYYYYYYY?
TULIKUKOSEA WAPI MBONA KUTUTESA HIVI KILA SIKU. Unataka tuhame ubakie mwenyewe au ni aje maana hueleweki ujue!!!!
Yajayo kama hayafurahishi basi yanatia hofu
IMG_20180331_092005_353.jpg
 
Mkulu kila hoja anataka kujibu kweli kazi ya Urais ni nyepesi. Rais anatakiwa kuwa na kifua, subra, unyenyekevu na busara ya hali ya juu. Siyo kila kitu kinachosemwa na wanasiasa na wananchi anataka kujibu atajikuta anakuwa msemaji wa serikali kuliko Rais.

Namshauri asiwe mwepesi wa kujibu kila hoja watu watamchoka haraka na tayari wameshamchoka!
 
siasa zinatupotezea muda kweli. Tungewekeza nguvu tunazotumia kwenye mitandao na siasa zisizo na tija kuboresha maisha yetu, naamini kabisa watanzania tungeongoza Afrika kwa kuwa mabilionea.
Tumelala na siasa wenzetu wanachukua vyetu kama sisi hatupo.
Siasando maisha ya kilansiku we nenda kafanye kz tuachie mitandao
 
siasa zinatupotezea muda kweli. Tungewekeza nguvu tunazotumia kwenye mitandao na siasa zisizo na tija kuboresha maisha yetu, naamini kabisa watanzania tungeongoza Afrika kwa kuwa mabilionea.
Tumelala na siasa wenzetu wanachukua vyetu kama sisi hatupo.
Kuna mtu humu kakushika usifanye kazi?
 
TLS sio mali ya umma na wala haiwajibiki kwa serikali.TLS imeundwa kwa mujibu wa sheria na kwamba wajibu wake kisheria ni kusimamia taaluma ya sheria hapa nchini pamoja na masuala yahusuyo sheria.Ni aibu,kosa na ushamba kwa mkuu wa nchi kufikiri kuwa TLS inapaswa kuwa controlled na serikali.TLS is a proffessional body
 
HIVI KOSA LA TLS KWA JPM NI LIPI?

Kumkosoa? Au kuna jingine sisi raia wa kawaida hatulijui.
Mbona ana hasira nao kiasi hiki?
Nchi hii tunataka nidhamu!!!! Hii “NIDHAMU” ni ipi mkuu?
WATU WOTE KUKAA KIMYA, KUKUSIFIA NA KUKUUNGA MKONO KWA KILA JAMBO UNALOLIFANYA NDIO NIDHAMU? My God!!!
TLS kuchagua kiongozi wanayemtaka ni kukosa nidhamu? Mhhhhhh

KWELI NCHI YETU TANZANIA IKO NJIA PANDA.
 
Wabongo ujuaji kupita uwezo unawaponza! Unajua hata membership qualifications za TLS kweli wewe!
Wewe Sio Mbongo?
Huwezi Kuwa TLS Member Bila Kuwa Wakili. Tuna Wanasheria Lukuki Lakini Sio Mawakili Hivyo Kisheria Hawakidhi Vigezo Kuwa TLS Member. Kadhalika Kwa Mahakimu. Sijui Wewe Unajua Qualifications Ghani Za TLS.
Njoo Unijuze Hapa.
 
Back
Top Bottom