Rais Magufuli, timua huyu mkurugenzi wa TASAF

Hapa tu ndio unajifunza humu JF watu hawaumizi vichwa ni kutia fitna na halafu anaungwa mkono na manyumbu wenzie kibao, inawezekana upo wizi lakini lazima ujenge hoja basi. unaweza google conditional cash transfer s (CCT) ystems ujifunze Zaidi ukweli.
Hapa ndo huwa napata wasiwasi na the so called wasomi was Tanzania
Hivi uki google Tax, si utapata every explanation about tax, je is that a sufficient factor to affirm that Tanzania is the best tax collector??
Swala si maelezo, swala ni namna project inavyotekelezwa, imekuwa ikitumika na watu kupiga pesa, period.
Hamna MTU aliyeomba maelezo ya ziada kuhusu huo mradi hapa
 
Unajua tofauti ya theme na substance , nna wasiwasi na analytical skills yako
Katika hisabati kuna mada moja inaitwa LOGIC, kama ulisoma pure mathemetics katika maisha yako ungeshakiri tu, ila kwakuwa unataka kuonesha ligi ya theme na substance ili kauli yako ya "Dunia nzima huu utaratibu uko Tanzania tu" iwe sahihi logically umeongopa kwa mujibu wa mradi uliouzungumzia na ndio maana nataka ukiri kwa kauli yako hiyo kuwa ulikosea ndio theme, substance, particles, atoms n.k waweza leta.
 
Hapa ndo huwa napata wasiwasi na the so called wasomi was Tanzania
Hivi uki google Tax, si utapata every explanation about tax, je is that a sufficient factor to affirm that Tanzania is the best tax collector??
Swala si maelezo, swala ni namna project inavyotekelezwa, imekuwa ikitumika na watu kupiga pesa, period.
Hamna MTU aliyeomba maelezo ya ziada kuhusu huo mradi hapa

Umesema duniani ni Tanzania pekee, sasa unaelekezwa soma uone wengine unaanza leta ubishi na kurukaruka.
 
Katika hisabati kuna mada moja inaitwa LOGIC, kama ulisoma pure mathemetics katika maisha yako ungeshakiri tu, ila kwakuwa unataka kuonesha ligi ya theme na substance ili kauli yako ya "Dunia nzima huu utaratibu uko Tanzania tu" iwe sahihi logically umeongopa kwa mujibu wa mradi uliouzungumzia na ndio maana nataka ukiri kwa kauli yako hiyo kuwa ulikosea ndio theme, substance, particles, atoms n.k waweza leta.
Nakuhakikishia sijakosea, maybe ukiri hujaelewa mada yangu, au umeamua kuanzisha ligi
 
Huwezi kutetea udhaifu na ufisadi eti kwa kujikita katika comparative factors

Hakuna kutetea wala kuunga mkono, ni comment kutokana na post yako si Zaidi ya hapo. Wapo wengine pia wanatumia mfumo wa CCT duniani.
 
Mtoa mada yuko sahihi wala huhitaji kumtisha wewe jibu hoja zake.

Utaratibu wa kutoa conditional cash transfers ambao unafanywa na TASAF unaendana sambamba na kuwawezesha walengwa ki uchumi (public work programs) ili uende stage ya pili. Hilo ndilo lengo kuu la watoa pesa WB.

Wadau wengi wanataka kujua utendaji kazi na pale wanapoleta maswali wewe ni mtaalamu waeleweshe. Jibu hoja za UFISADI Kama ni kweli upo au la!!!

Mwisho hebu tuambie mpaka sasa TASAF imepunguza umasikini kwa asilimia ngapi tangu tuliposaini MDG's. Je katika wale masikini milioni 15 wamefikiwa wangapi?? Sasa hivi masikini waliobaki ni wangapi?? Je masikini wanaongezeka au wanapungua?? Na level ikoje?? TZ kwa sasa inasumbuliwa na aina ipi ya umasikini zaidi?? Majibu yako yawe na takwimu plz.

Queen Esther

Usilazimishe kufundishwa kitu usichokijua kwa staili ya kitoto kama hiyo, kwanza kiri kwamba huu mradi huujui ili niweze kukuonesha credibility ya huu mradi pamoja na ufanisi wake, kwani nimekushangaa sana ulivyozungumzia kitu ambacho ni tofauti kabisa na uhalisia, KIRI KWAMBA ULIKOSEA NITAKUFUNDISHA HAYO YOTE ULIOOMBA.
 
Hakuna kutetea wala kuunga mkono, ni comment kutokana na post yako si Zaidi ya hapo. Wapo wengine pia wanatumia mfumo wa CCT duniani.
Kuwepo au kutokuwepo hakuondoi the fact that in Tanzania it has proven inffective , entangled with corruption webs, and doesn't offer sustainable solution
Further, the project has been used as a channel for graft, and embezzlement
 
Kuwepo au kutokuwepo hakuondoi the fact that in Tanzania it has proven inffective , entangled with corruption webs, and doesn't offer sustainable solution
Further, the project has been used as a channel for graft, and embezzlement

Hiki ndio kilipaswa kuwa hoja yako, sio kwamba ni Tanzania tu. Edit post yako na sasa jenga hoja kusema uongo ndio vitu hatutaki bhana humu JF.
 
Mtoa mada yuko sahihi wala huhitaji kumtisha wewe jibu hoja zake.

Utaratibu wa kutoa conditional cash transfers ambao unafanywa na TASAF unaendana sambamba na kuwawezesha walengwa ki uchumi (public work programs) ili uende stage ya pili. Hilo ndilo lengo kuu la watoa pesa WB.

Wadau wengi wanataka kujua utendaji kazi na pale wanapoleta maswali wewe ni mtaalamu waeleweshe. Jibu hoja za UFISADI Kama ni kweli upo au la!!!

Mwisho hebu tuambie mpaka sasa TASAF imepunguza umasikini kwa asilimia ngapi tangu tuliposaini MDG's. Je katika wale masikini milioni 15 wamefikiwa wangapi?? Sasa hivi masikini waliobaki ni wangapi?? Je masikini wanaongezeka au wanapungua?? Na level ikoje?? TZ kwa sasa inasumbuliwa na aina ipi ya umasikini zaidi?? Majibu yako yawe na takwimu plz.

Queen Esther
"Dunia nzima huu utaratibu uko Tanzania" Kauli yake hii ni ya uongo, sasa wewe unasemaje hii kauli ya mtoa mada ni sahihi kwa uelewa wako? siwezi kukujibu chochote kuhusu mradi huu endapo kauli hiyo ya mtoa mada unaikiri kuwa ni sahihi kuhusu mradi huo wa TASAF.
 
Naona wengi wameguswa wanapopatia ulaji... sijawahi onA eti ili Familia iondoke kwenye Umaskini inapewa pesa. Pesa zenyewe zinatumia kuongeza wake, kulipia ada , kunywea Pombe vijijini etc. halafu mnakuja na korodani zenu kutetea hapa. Shwain kabisa nyie.

Lini uliona maskini anapewa pesa ili awe tajiri? Vichwa vyenu viko sawa kweli? Kazi yenu kuamini kila mnachoambiwa na Wazungu hamjui hao ndo EHMs? Huko mnakotetea kuwa WB inafanya hivyo kukoje. Mibichwa nazi kabisa nyie mnaotetea TASAF
Ngoja niishie hapa kwa leo
 
"Dunia nzima huu utaratibu uko Tanzania" Kauli yake hii ni ya uongo, sasa wewe unasemaje hii kauli ya mtoa mada ni sahihi kwa uelewa wako? siwezi kukujibu chochote kuhusu mradi huu endapo kauli hiyo ya mtoa mada unaikiri kuwa ni sahihi kuhusu mradi huo wa TASAF.
Utaratibu, mradi,
Zingine ziko poa sema hii ndio ulikuwa unatia watu ndimu.
Ha ha ha sijatia watu ndimu mkuu, nimetia andiko ndimu, but hoja yangu ya msingi iko palepale
 
Tunasubiri majibu ya hizo zilizo poa.

Queen Esther

JF kuna users kibao watakupatia unajua huwezi jua kila kitu sema unachangia kutokana na unachojua. Pasi na shaka wapo watu wako deep endelea kusubiri watakupatia ila hoja za Post kama zilivyobandikwa.
 
Atumbuliwe huyo
Hivi hawa TASAF nani aliwambia kugawa pesa eti kwa kaya maskini ndo njia ya kuwaondolea umaskini. Hizi sh 20,000, 50,000, mnazogawa tena mara moja kwa miezi kadhaa zitaondoaje umaskini?

Vikao vyenyewe vya migao vimejaa fujo, majungu na ugomvi, mifano ni Mwanza na Arusha,
Mkurugenzi wa TASAF ameshindwa kubuni mbinu mpya za kusaidia kaya maskini Zaidi ya kuwapa hivyo visenti au ni mpango mnaoutumia kupiga pesa . Tunawajua sana mchezo wenu wa kugawa kwa kaya kadhaa alafu vitabu vyenu vinaonyesha mara mia ya idadi halisi.

Magufuli watu waliokosa ubunifu kama huyu mkurugenzi wa TASAF ni wa kutimuliwa since YESTERDAY.

Dunia nzima huu utaratibu uko Tanzania tu
 
Hata Mimi nimetoaa Bangoo langi kuhusu TASSAF ivi MTU.mzima kumgawia 20000,inakujajeeee
.bora mashamba Na mbegu
 
Huyoo si Nddo Tegetaa Escrow.. Jina tu toshaa ukiona jjitu linatetea uhuni huu ujue limekurapooo tuhelaa TWA TASSAF
 
Back
Top Bottom