TzComedy
JF-Expert Member
- Jul 15, 2017
- 890
- 700
Lkn CCM hawatakiwi hawa, mfano Nape.Mwanri anachapa kazi sana.
Lkn CCM hawatakiwi hawa, mfano Nape.Mwanri anachapa kazi sana.
Baba mkali mno for know reason yuleAnachapa kazi au anaongea kwa jazba kama mkinga
Wamekubali kila kinachofanywa na bwana yule kiwe ndio sheria mpya.. Inashangaza na kusikitisha sana!Wabunge wa kuteuliwa na Rais kisheria na kikanuni wanaweza kusitishiwa Ubunge wao na Rais kweli? Baada ya kuapishwa?
Sio Wakinga nadhani amemaanisha Renatus Mkinga, huyu hapa:haa haa kwani wakinga wamekukosea nini jamani
Self-Promo at WorkHabari zenu familia ya JF. Mi sio mnafiki wala sina undugu na wala ukabila na Agrey Mwanry. Wote mtakubali hii ni nyota iliyozimwa na Mafuriko ya UKAWA.
Sahivi ni RC Tabora na anafanya mambo mazuri tu ikiwa ni pamoja na mkoa wake kuvuka lengo ktk kutengeneza Madawati kwa shule za Msingi.
Pia alipokuwa Naibu waziri TAMISEMI alikuwa akifanya kazi vizuri sana kuliko hata waziri Kasim Majaliwa aliyekuwa juu yake.
Hivyo kwa heshima na taadhima namshauri Rais kama atapita humu, atengue uteuzi wa Mbunge mwanaume na kumpa Mwanry nafasi hiyo ili baada ya hapo ateuliwe Waziri wa Nishati na Madini.
Nafasi ya RC Tabora apewe mtu mwingine na Mbunge aliyetenguliwa uteuzi wake apewe pia kazi nyingine.
Agery Mwanry alikuwa Mbunge wa Siha- Kilimanjaro kabla ya kusombwa na mafuriko ya UKAWA mwaka 2015.
Naomba ushauri wangu ufanyiwe kazi. Naomba kuwasilisha.
Kweli mkuu, huyu mnafiki tuu toka lini mtu anagombea ubunge kupitia JF? Majitu mengine yana akili za kenge maana mkuu alishasema hapangiwi hayataki kuelewa.Ukianzisha Uzi na kuanza kujitetea ya kuwa wewe sio mnafiki inaashiria ya kwamba wewe ni MNAFIKI 1st class with honour mkuu.
Amtengue Kabudi au kibudu hana cheti cha u four halafu kashindwa kukamata wezi wa makinikia.Sijasema Mimi, Rais atajua amtengue yupi na atampa kazi gani.
haa haa nahisi alikimaliza kuongea lazima ameze panadol..Sio Wakinga nadhani amemaanisha Renatus Mkinga, huyu hapa:
Hiyo mishipa ya uso jinsi ilivyosimama wala usidhani Mwandishi alikuwa ametoka na Mkinga alitaka amsikie huko huko aliko; wala !! Yuko hapo hapo na akinyoosha kidogo tu huo mkono atamgusa! Na wala usidhani labda Mwandishi aliongea jambo ambalo limemfanya Mkinga akasirike; hamna kitu kama hicho; ndo ka-relax hapo!