Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,139
- 6,050
MKUU Pascal Mayalla ENDELEA KUGONGELEA MSUMALI MPAKA IKIFIKA 2020 KITAELEWEKA TU.Wanabodi,
Hili ni bandiko la kuhamasisha uzalendo wetu kwa sisi Watanzania wazalendo wa kweli wa taifa hili ambao tusingependa kuona uhuru wa taifa letu unaingiliwa na taifa jingine lolote au mtu mwingine yoyote. Huu ni wakati wa sisi Watanzania wazalendo wa kweli wa taifa hili kusimama as one kulitetea taifa letu against mabeberu, wakoloni mambo leo na vibaraka wao, dhidi ya maslahi mapana ya taifa letu.
Najua rais wetu Dr. John Pombe Joseph Magufuli atalihutubia taifa next week kujibu vitisho vya EU na US, sisi wazalendo wa kweli wa nchi hii, tunamsisitiza,
Never bow down to anyone, nether US, nor EU or anybody else, he should tell them that Tanzania is a Sovereign state, hatupangii nchi nyingine cha kufanya, hivyo na sisi hatupangii cha kufanya.
Kama hoja ni kufifisha democracy na ukiukwaji wa haki za binaadam, nchi ngapi zina bad democracy zaidi yetu na mmenyamaza, nchi ngapi zina worst human rights records kuliko sisi na mmenyamaza?. Tanzania tunafuata African democracy na Tanzania democracy, kama tumeamua mikutano ya siasa ni wakata wa kampeni tuu za uchaguzi mkuu, na baada ya uchaguzi ni wote kufanya kazi ya kuijenga nchi, then hii ndio demokrasia yetu na hizi ndio human rights zetu, wasituingilie kwa kuimpose demokrasia modal yao na human rights standards zao kwetu!.
Watetezi we ubeberu watasema kwa vile sisi ni nchi masikini, na bajeti yetu inategemea misaada na mikopo ya nchi tajiri, hivyo ni lazima tuwapigie magoti kufuata wanachotaka, this time tuwagomee kuulinda uhuru wetu na sovereignty yetu, kama vipi bora waende tuu, ni heri tubaki masikini jeuri huru kuliko utumwa wa mabeberu kwa uhuru wa bendera, huku tukipangiwa kila kitu na mabeberu hawa.
Kama hoja ni umasikini, Tanzania ya leo sio masikini kivile hadi tuuze uhuru wetu kwa kuwanyenyekea mabeberu hawa. Kama tumeweza kununua ndege kwa cash tena fedha zetu wenyewe za ndani, sasa tunajenga reli ya SGR na mradi wa Stigle Gorje kwa fedha zetu wenyewe za ndani, then tukiamua kuijenga Tanzania bila misaada ya wazungu, tunaweza, tunaweza kupanga bajeti ya kile tuu tunachokusanya, ili tusiwategemee wafadhili katika bajeti zetu ili tusidhalilishwe kama sasa na hawa US na EU hadi kutuingilia uhuru wetu, kumpangia rais wetu.
P
Rejea za kuhamasisha uzalendo
Hata Nyerere alikataa, Rais Magufuli usikubali, shikilia msimamo. Tz tusikubali misaada na mikopo yenye masharti kuingilia sovereignty yetu - JamiiForums
Kumbe watu wa Nyerere bado wapo na wana misimamo kama Nyerere. Hongera MFA, Dr. Mahiga kwa msimamo, tusikubali kuyumbishwa - JamiiForums
Uzalendo wa Ajabu wa Watanzania, Nchi Yako Inatukanwa!, Rais Wako Anatukanwa!, Tumenyamaza!. Huu Ni Uzalendo Gani?!. - JamiiForums
Serikali yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian": Je, ni kweli? Kama si kweli, Tusiukubali Uongo huu, Tuukanushe! - JamiiForums
Tusikubali udhalilishaji wa Jarida la The Economist, lamwita Rais wetu "Dinasauria wa Dodoma” na "bullheaded socialist" - JamiiForums
Huku sio kudhalilishwa kwa Rais wetu na Media za Nje? Je, watanzania tukubali, Tukae kimya? - JamiiForums
Watanzania kwanini tunakubali Rais wetu adhalilishwe na media za nje kwa kuitwa "The 'Bulldozer' Tanzanian President"? - JamiiForums
Serikali ikanushe uongo huu wa SABC kumsema vibaya Rais wetu Magufuli kuwa ni Dikteta! - JamiiForums
Umesahau tunajenga salenda briji kwa fedha zetu wenyewe,TUKO VIZURI.......Hawa mabeberu wasitutishe JPM awachane kabisa kwamba wakafie mbele.....#NEXT_SADAM/GADAF.Kama hoja ni umasikini, Tanzania ya leo sio masikini kivile hadi tuuze uhuru wetu kwa kuwanyenyekea mabeberu hawa. Kama tumeweza kununua ndege kwa cash tena fedha zetu wenyewe za ndani, sasa tunajenga reli ya SGR na mradi wa Stigle Gorje kwa fedha zetu wenyewe za ndani, then tukiamua kuijenga Tanzania bila misaada ya wazungu, tunaweza, tunaweza kupanga bajeti ya kile tuu tunachokusanya, ili tusiwategemee wafadhili katika bajeti zetu ili tusidhalilishwe kama sasa na hawa US na EU hadi kutuingilia uhuru wetu, kumpangia rais wetu.
'Tumeamua mikutano ya siasa ifanyike wakati wa kampeni tu na chaguzi' wakina nani wameamua au watanzania wote?Wanabodi,
Hili ni bandiko la kuhamasisha uzalendo wetu kwa sisi Watanzania wazalendo wa kweli wa taifa hili ambao tusingependa kuona uhuru wa taifa letu unaingiliwa na taifa jingine lolote au mtu mwingine yoyote. Huu ni wakati wa sisi Watanzania wazalendo wa kweli wa taifa hili kusimama as one kulitetea taifa letu against mabeberu, wakoloni mambo leo na vibaraka wao, dhidi ya maslahi mapana ya taifa letu.
Najua rais wetu Dr. John Pombe Joseph Magufuli atalihutubia taifa next week kujibu vitisho vya EU na US, sisi wazalendo wa kweli wa nchi hii, tunamsisitiza,
Never bow down to anyone, nether US, nor EU or anybody else, he should tell them that Tanzania is a Sovereign state, hatupangii nchi nyingine cha kufanya, hivyo na sisi hatupangii cha kufanya.
Kama hoja ni kufifisha democracy na ukiukwaji wa haki za binaadam, nchi ngapi zina bad democracy zaidi yetu na mmenyamaza, nchi ngapi zina worst human rights records kuliko sisi na mmenyamaza?. Tanzania tunafuata African democracy na Tanzania democracy, kama tumeamua mikutano ya siasa ni wakata wa kampeni tuu za uchaguzi mkuu, na baada ya uchaguzi ni wote kufanya kazi ya kuijenga nchi, then hii ndio demokrasia yetu na hizi ndio human rights zetu, wasituingilie kwa kuimpose demokrasia modal yao na human rights standards zao kwetu!.
Watetezi we ubeberu watasema kwa vile sisi ni nchi masikini, na bajeti yetu inategemea misaada na mikopo ya nchi tajiri, hivyo ni lazima tuwapigie magoti kufuata wanachotaka, this time tuwagomee kuulinda uhuru wetu na sovereignty yetu, kama vipi bora waende tuu, ni heri tubaki masikini jeuri huru kuliko utumwa wa mabeberu kwa uhuru wa bendera, huku tukipangiwa kila kitu na mabeberu hawa.
Kama hoja ni umasikini, Tanzania ya leo sio masikini kivile hadi tuuze uhuru wetu kwa kuwanyenyekea mabeberu hawa. Kama tumeweza kununua ndege kwa cash tena fedha zetu wenyewe za ndani, sasa tunajenga reli ya SGR na mradi wa Stigle Gorje kwa fedha zetu wenyewe za ndani, then tukiamua kuijenga Tanzania bila misaada ya wazungu, tunaweza, tunaweza kupanga bajeti ya kile tuu tunachokusanya, ili tusiwategemee wafadhili katika bajeti zetu ili tusidhalilishwe kama sasa na hawa US na EU hadi kutuingilia uhuru wetu, kumpangia rais wetu.
P
Rejea za kuhamasisha uzalendo
Hata Nyerere alikataa, Rais Magufuli usikubali, shikilia msimamo. Tz tusikubali misaada na mikopo yenye masharti kuingilia sovereignty yetu - JamiiForums
Kumbe watu wa Nyerere bado wapo na wana misimamo kama Nyerere. Hongera MFA, Dr. Mahiga kwa msimamo, tusikubali kuyumbishwa - JamiiForums
Uzalendo wa Ajabu wa Watanzania, Nchi Yako Inatukanwa!, Rais Wako Anatukanwa!, Tumenyamaza!. Huu Ni Uzalendo Gani?!. - JamiiForums
Serikali yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian": Je, ni kweli? Kama si kweli, Tusiukubali Uongo huu, Tuukanushe! - JamiiForums
Tusikubali udhalilishaji wa Jarida la The Economist, lamwita Rais wetu "Dinasauria wa Dodoma” na "bullheaded socialist" - JamiiForums
Huku sio kudhalilishwa kwa Rais wetu na Media za Nje? Je, watanzania tukubali, Tukae kimya? - JamiiForums
Watanzania kwanini tunakubali Rais wetu adhalilishwe na media za nje kwa kuitwa "The 'Bulldozer' Tanzanian President"? - JamiiForums
Serikali ikanushe uongo huu wa SABC kumsema vibaya Rais wetu Magufuli kuwa ni Dikteta! - JamiiForums
Hii inaitwa Jaza Ujazwe...uzuri Jiwe akijazwa anajaa!Wanabodi,
Hili ni bandiko la kuhamasisha uzalendo wetu kwa sisi Watanzania wazalendo wa kweli wa taifa hili ambao tusingependa kuona uhuru wa taifa letu unaingiliwa na taifa jingine lolote au mtu mwingine yoyote. Huu ni wakati wa sisi Watanzania wazalendo wa kweli wa taifa hili kusimama as one kulitetea taifa letu against mabeberu, wakoloni mambo leo na vibaraka wao, dhidi ya maslahi mapana ya taifa letu.
Najua rais wetu Dr. John Pombe Joseph Magufuli atalihutubia taifa next week kujibu vitisho vya EU na US, sisi wazalendo wa kweli wa nchi hii, tunamsisitiza,
Never bow down to anyone, nether US, nor EU or anybody else, he should tell them that Tanzania is a Sovereign state, hatupangii nchi nyingine cha kufanya, hivyo na sisi hatupangii cha kufanya.
Kama hoja ni kufifisha democracy na ukiukwaji wa haki za binaadam, nchi ngapi zina bad democracy zaidi yetu na mmenyamaza, nchi ngapi zina worst human rights records kuliko sisi na mmenyamaza?. Tanzania tunafuata African democracy na Tanzania democracy, kama tumeamua mikutano ya siasa ni wakata wa kampeni tuu za uchaguzi mkuu, na baada ya uchaguzi ni wote kufanya kazi ya kuijenga nchi, then hii ndio demokrasia yetu na hizi ndio human rights zetu, wasituingilie kwa kuimpose demokrasia modal yao na human rights standards zao kwetu!.
Watetezi we ubeberu watasema kwa vile sisi ni nchi masikini, na bajeti yetu inategemea misaada na mikopo ya nchi tajiri, hivyo ni lazima tuwapigie magoti kufuata wanachotaka, this time tuwagomee kuulinda uhuru wetu na sovereignty yetu, kama vipi bora waende tuu, ni heri tubaki masikini jeuri huru kuliko utumwa wa mabeberu kwa uhuru wa bendera, huku tukipangiwa kila kitu na mabeberu hawa.
Kama hoja ni umasikini, Tanzania ya leo sio masikini kivile hadi tuuze uhuru wetu kwa kuwanyenyekea mabeberu hawa. Kama tumeweza kununua ndege kwa cash tena fedha zetu wenyewe za ndani, sasa tunajenga reli ya SGR na mradi wa Stigle Gorje kwa fedha zetu wenyewe za ndani, then tukiamua kuijenga Tanzania bila misaada ya wazungu, tunaweza, tunaweza kupanga bajeti ya kile tuu tunachokusanya, ili tusiwategemee wafadhili katika bajeti zetu ili tusidhalilishwe kama sasa na hawa US na EU hadi kutuingilia uhuru wetu, kumpangia rais wetu.
P
Rejea za kuhamasisha uzalendo
Hata Nyerere alikataa, Rais Magufuli usikubali, shikilia msimamo. Tz tusikubali misaada na mikopo yenye masharti kuingilia sovereignty yetu - JamiiForums
Kumbe watu wa Nyerere bado wapo na wana misimamo kama Nyerere. Hongera MFA, Dr. Mahiga kwa msimamo, tusikubali kuyumbishwa - JamiiForums
Uzalendo wa Ajabu wa Watanzania, Nchi Yako Inatukanwa!, Rais Wako Anatukanwa!, Tumenyamaza!. Huu Ni Uzalendo Gani?!. - JamiiForums
Serikali yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian": Je, ni kweli? Kama si kweli, Tusiukubali Uongo huu, Tuukanushe! - JamiiForums
Tusikubali udhalilishaji wa Jarida la The Economist, lamwita Rais wetu "Dinasauria wa Dodoma” na "bullheaded socialist" - JamiiForums
Huku sio kudhalilishwa kwa Rais wetu na Media za Nje? Je, watanzania tukubali, Tukae kimya? - JamiiForums
Watanzania kwanini tunakubali Rais wetu adhalilishwe na media za nje kwa kuitwa "The 'Bulldozer' Tanzanian President"? - JamiiForums
Serikali ikanushe uongo huu wa SABC kumsema vibaya Rais wetu Magufuli kuwa ni Dikteta! - JamiiForums
acha urongo wewe taja hata mkataba mmoja wa madini ambao kasaini ?Walioleta hio mikataba mibovu ni wazungu na walishawishi watanzania wenzetu waisaini...baadhi yao wapo chadema mmewahifadhi na mliwapa nafasi ya kugombea urais. Rais Magufuli ametimiza wajibu wake kwa kuwatumbua baadhi yao ila ndio wanaleta chokochoko kwa kuwatumia nyie msio na uzalendo....endeleeni kutumika.
unajua maana ya indirect democracy'Tumeamua mikutano ya siasa ifanyike wakati wa kampeni tu na chaguzi' wakina nani wameamua au watanzania wote?
Nikikusoma kama nakuelewa unachoongea vile ila inabidi mtu avae miwani ya makengeza kupata message hasa uliyokusudia. Sina uhakika sana kama hiki nilichokielewa ndio wasomaji wote wamekielewa.Wanabodi,
Hili ni bandiko la kuhamasisha uzalendo wetu kwa sisi Watanzania wazalendo wa kweli wa taifa hili ambao tusingependa kuona uhuru wa taifa letu unaingiliwa na taifa jingine lolote au mtu mwingine yoyote. Huu ni wakati wa sisi Watanzania wazalendo wa kweli wa taifa hili kusimama as one kulitetea taifa letu against mabeberu, wakoloni mambo leo na vibaraka wao, dhidi ya maslahi mapana ya taifa letu.
Najua rais wetu Dr. John Pombe Joseph Magufuli atalihutubia taifa next week kujibu vitisho vya EU na US, sisi wazalendo wa kweli wa nchi hii, tunamsisitiza,
Never bow down to anyone, nether US, nor EU or anybody else, he should tell them that Tanzania is a Sovereign state, hatupangii nchi nyingine cha kufanya, hivyo na sisi hatupangii cha kufanya.
Kama hoja ni kufifisha democracy na ukiukwaji wa haki za binaadam, nchi ngapi zina bad democracy zaidi yetu na mmenyamaza, nchi ngapi zina worst human rights records kuliko sisi na mmenyamaza?. Tanzania tunafuata African democracy na Tanzania democracy, kama tumeamua mikutano ya siasa ni wakata wa kampeni tuu za uchaguzi mkuu, na baada ya uchaguzi ni wote kufanya kazi ya kuijenga nchi, then hii ndio demokrasia yetu na hizi ndio human rights zetu, wasituingilie kwa kuimpose demokrasia modal yao na human rights standards zao kwetu!.
Watetezi we ubeberu watasema kwa vile sisi ni nchi masikini, na bajeti yetu inategemea misaada na mikopo ya nchi tajiri, hivyo ni lazima tuwapigie magoti kufuata wanachotaka, this time tuwagomee kuulinda uhuru wetu na sovereignty yetu, kama vipi bora waende tuu, ni heri tubaki masikini jeuri huru kuliko utumwa wa mabeberu kwa uhuru wa bendera, huku tukipangiwa kila kitu na mabeberu hawa.
Kama hoja ni umasikini, Tanzania ya leo sio masikini kivile hadi tuuze uhuru wetu kwa kuwanyenyekea mabeberu hawa. Kama tumeweza kununua ndege kwa cash tena fedha zetu wenyewe za ndani, sasa tunajenga reli ya SGR na mradi wa Stigle Gorje kwa fedha zetu wenyewe za ndani, then tukiamua kuijenga Tanzania bila misaada ya wazungu, tunaweza, tunaweza kupanga bajeti ya kile tuu tunachokusanya, ili tusiwategemee wafadhili katika bajeti zetu ili tusidhalilishwe kama sasa na hawa US na EU hadi kutuingilia uhuru wetu, kumpangia rais wetu.
P
Rejea za kuhamasisha uzalendo
Hata Nyerere alikataa, Rais Magufuli usikubali, shikilia msimamo. Tz tusikubali misaada na mikopo yenye masharti kuingilia sovereignty yetu - JamiiForums
Kumbe watu wa Nyerere bado wapo na wana misimamo kama Nyerere. Hongera MFA, Dr. Mahiga kwa msimamo, tusikubali kuyumbishwa - JamiiForums
Uzalendo wa Ajabu wa Watanzania, Nchi Yako Inatukanwa!, Rais Wako Anatukanwa!, Tumenyamaza!. Huu Ni Uzalendo Gani?!. - JamiiForums
Serikali yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian": Je, ni kweli? Kama si kweli, Tusiukubali Uongo huu, Tuukanushe! - JamiiForums
Tusikubali udhalilishaji wa Jarida la The Economist, lamwita Rais wetu "Dinasauria wa Dodoma” na "bullheaded socialist" - JamiiForums
Huku sio kudhalilishwa kwa Rais wetu na Media za Nje? Je, watanzania tukubali, Tukae kimya? - JamiiForums
Watanzania kwanini tunakubali Rais wetu adhalilishwe na media za nje kwa kuitwa "The 'Bulldozer' Tanzanian President"? - JamiiForums
Serikali ikanushe uongo huu wa SABC kumsema vibaya Rais wetu Magufuli kuwa ni Dikteta! - JamiiForums
Democracy ya mzungu never work in africa ndo maana nchi zinazoamua kuwa na mifumo yake zinabreakthrough kinachoniuma ni ukuadi wa waafrika wenzetu . Miongo kadhaa tunafuata directives zao hakuna linalobadirika watuache kama ni disadvantages ni za kwetuMzungu hajawahi kuwa mgeni Africa, Tanzania imekuwa chini ya Mkoloni mzungu zaidi ya miaka 60, nchi zingine zimekuwa chini ya wazungu hao hao EU zaidi ya miaka 80, kwa nini hawakujenga misingi ya mfumo wa vyama vingi, kwanini hawakuacha democracy na freedom of speech wakati ule,kiliwashinda nini kutuachia mifumo bora ya kiutawala, wamekuwa hapa miaka mingi, mzungu sio mgeni Africa , chochote anachohitaji leo ni unafiki tu, na mzungu ukifuata sera zake hata miaka 200 itatukuta naufukura hivi tukibishana kila siku, we have decide to build our economy in other ways.
Wanabodi,
Hili ni bandiko la kuhamasisha uzalendo wetu kwa sisi Watanzania wazalendo wa kweli wa taifa hili ambao tusingependa kuona uhuru wa taifa letu unaingiliwa na taifa jingine lolote au mtu mwingine yoyote. Huu ni wakati wa sisi Watanzania wazalendo wa kweli wa taifa hili kusimama as one kulitetea taifa letu against mabeberu, wakoloni mambo leo na vibaraka wao, dhidi ya maslahi mapana ya taifa letu.
Najua rais wetu Dr. John Pombe Joseph Magufuli atalihutubia taifa next week kujibu vitisho vya EU na US, sisi wazalendo wa kweli wa nchi hii, tunamsisitiza,
Never bow down to anyone, nether US, nor EU or anybody else, he should tell them that Tanzania is a Sovereign state, hatupangii nchi nyingine cha kufanya, hivyo na sisi hatupangii cha kufanya.
Kama hoja ni kufifisha democracy na ukiukwaji wa haki za binaadam, nchi ngapi zina bad democracy zaidi yetu na mmenyamaza, nchi ngapi zina worst human rights records kuliko sisi na mmenyamaza?. Tanzania tunafuata African democracy na Tanzania democracy, kama tumeamua mikutano ya siasa ni wakata wa kampeni tuu za uchaguzi mkuu, na baada ya uchaguzi ni wote kufanya kazi ya kuijenga nchi, then hii ndio demokrasia yetu na hizi ndio human rights zetu, wasituingilie kwa kuimpose demokrasia modal yao na human rights standards zao kwetu!.
Watetezi we ubeberu watasema kwa vile sisi ni nchi masikini, na bajeti yetu inategemea misaada na mikopo ya nchi tajiri, hivyo ni lazima tuwapigie magoti kufuata wanachotaka, this time tuwagomee kuulinda uhuru wetu na sovereignty yetu, kama vipi bora waende tuu, ni heri tubaki masikini jeuri huru kuliko utumwa wa mabeberu kwa uhuru wa bendera, huku tukipangiwa kila kitu na mabeberu hawa.
Kama hoja ni umasikini, Tanzania ya leo sio masikini kivile hadi tuuze uhuru wetu kwa kuwanyenyekea mabeberu hawa. Kama tumeweza kununua ndege kwa cash tena fedha zetu wenyewe za ndani, sasa tunajenga reli ya SGR na mradi wa Stigle Gorje kwa fedha zetu wenyewe za ndani, then tukiamua kuijenga Tanzania bila misaada ya wazungu, tunaweza, tunaweza kupanga bajeti ya kile tuu tunachokusanya, ili tusiwategemee wafadhili katika bajeti zetu ili tusidhalilishwe kama sasa na hawa US na EU hadi kutuingilia uhuru wetu, kumpangia rais wetu.
P
Rejea za kuhamasisha uzalendo
Hata Nyerere alikataa, Rais Magufuli usikubali, shikilia msimamo. Tz tusikubali misaada na mikopo yenye masharti kuingilia sovereignty yetu - JamiiForums
Kumbe watu wa Nyerere bado wapo na wana misimamo kama Nyerere. Hongera MFA, Dr. Mahiga kwa msimamo, tusikubali kuyumbishwa - JamiiForums
Uzalendo wa Ajabu wa Watanzania, Nchi Yako Inatukanwa!, Rais Wako Anatukanwa!, Tumenyamaza!. Huu Ni Uzalendo Gani?!. - JamiiForums
Serikali yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian": Je, ni kweli? Kama si kweli, Tusiukubali Uongo huu, Tuukanushe! - JamiiForums
Tusikubali udhalilishaji wa Jarida la The Economist, lamwita Rais wetu "Dinasauria wa Dodoma” na "bullheaded socialist" - JamiiForums
Huku sio kudhalilishwa kwa Rais wetu na Media za Nje? Je, watanzania tukubali, Tukae kimya? - JamiiForums
Watanzania kwanini tunakubali Rais wetu adhalilishwe na media za nje kwa kuitwa "The 'Bulldozer' Tanzanian President"? - JamiiForums
Serikali ikanushe uongo huu wa SABC kumsema vibaya Rais wetu Magufuli kuwa ni Dikteta! - JamiiForums
Hata wewe umemgeuka bosi wako??? can't believeNaona mayalla unamjaza upepo tu Ngosha.
Well stated; I can not agree more, EU and US have little to lose; so squeezing us for a decade or more is no big deal; the question is are we ready to go back to stone age for political grandstanding and chest thumping; is it worth it?! Quo Vadis Tanzanie!!!Most countries with worse human rights and very bad democracy than us are either in rich and powerful countries ( China, Russia, Saudi Arabia etc) or are under heavy sanctions (Venezuela, Zimabbwe etc).
We can not have our cake and eat it. If we have decided to ignore all western standards of human rights and democracy, its time to ignore their wallets as well. And when they decide to not want to deal with us all together (Sanctions), we shall be ready for the consequences that will follow. Which President Magufuli should understand very very cleary, that will lead to his removal from office, either "voluntariy" like how Nyerere did after his failed IMF showmanship, or through a coup, like how Mugabe was removed.
Either way history is not on the side of any poor nation that goes against EU and US.
JPM should mark those letters as the day his administration was forced out.
Unless of course he gives in and undo most of his rhetoric and actions. I do not see him do that.
Bwana Pascal Samahani lakini do u think your thread support government? Sikia kuna mambo ni mazito sana hata kuandika thread unabidi uwaze mara Mia ask me why?Wanabodi,
Hili ni bandiko la kuhamasisha uzalendo wetu kwa sisi Watanzania wazalendo wa kweli wa taifa hili ambao tusingependa kuona uhuru wa taifa letu unaingiliwa na taifa jingine lolote au mtu mwingine yoyote. Huu ni wakati wa sisi Watanzania wazalendo wa kweli wa taifa hili kusimama as one kulitetea taifa letu against mabeberu, wakoloni mambo leo na vibaraka wao, dhidi ya maslahi mapana ya taifa letu.
Najua rais wetu Dr. John Pombe Joseph Magufuli atalihutubia taifa next week kujibu vitisho vya EU na US, sisi wazalendo wa kweli wa nchi hii, tunamsisitiza,
Never bow down to anyone, nether US, nor EU or anybody else, he should tell them that Tanzania is a Sovereign state, hatupangii nchi nyingine cha kufanya, hivyo na sisi hatupangii cha kufanya.
Kama hoja ni kufifisha democracy na ukiukwaji wa haki za binaadam, nchi ngapi zina bad democracy zaidi yetu na mmenyamaza, nchi ngapi zina worst human rights records kuliko sisi na mmenyamaza?. Tanzania tunafuata African democracy na Tanzania democracy, kama tumeamua mikutano ya siasa ni wakata wa kampeni tuu za uchaguzi mkuu, na baada ya uchaguzi ni wote kufanya kazi ya kuijenga nchi, then hii ndio demokrasia yetu na hizi ndio human rights zetu, wasituingilie kwa kuimpose demokrasia modal yao na human rights standards zao kwetu!.
Watetezi we ubeberu watasema kwa vile sisi ni nchi masikini, na bajeti yetu inategemea misaada na mikopo ya nchi tajiri, hivyo ni lazima tuwapigie magoti kufuata wanachotaka, this time tuwagomee kuulinda uhuru wetu na sovereignty yetu, kama vipi bora waende tuu, ni heri tubaki masikini jeuri huru kuliko utumwa wa mabeberu kwa uhuru wa bendera, huku tukipangiwa kila kitu na mabeberu hawa.
Kama hoja ni umasikini, Tanzania ya leo sio masikini kivile hadi tuuze uhuru wetu kwa kuwanyenyekea mabeberu hawa. Kama tumeweza kununua ndege kwa cash tena fedha zetu wenyewe za ndani, sasa tunajenga reli ya SGR na mradi wa Stigle Gorje kwa fedha zetu wenyewe za ndani, then tukiamua kuijenga Tanzania bila misaada ya wazungu, tunaweza, tunaweza kupanga bajeti ya kile tuu tunachokusanya, ili tusiwategemee wafadhili katika bajeti zetu ili tusidhalilishwe kama sasa na hawa US na EU hadi kutuingilia uhuru wetu, kumpangia rais wetu.
P
Rejea za kuhamasisha uzalendo
Hata Nyerere alikataa, Rais Magufuli usikubali, shikilia msimamo. Tz tusikubali misaada na mikopo yenye masharti kuingilia sovereignty yetu - JamiiForums
Kumbe watu wa Nyerere bado wapo na wana misimamo kama Nyerere. Hongera MFA, Dr. Mahiga kwa msimamo, tusikubali kuyumbishwa - JamiiForums
Uzalendo wa Ajabu wa Watanzania, Nchi Yako Inatukanwa!, Rais Wako Anatukanwa!, Tumenyamaza!. Huu Ni Uzalendo Gani?!. - JamiiForums
Serikali yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian": Je, ni kweli? Kama si kweli, Tusiukubali Uongo huu, Tuukanushe! - JamiiForums
Tusikubali udhalilishaji wa Jarida la The Economist, lamwita Rais wetu "Dinasauria wa Dodoma” na "bullheaded socialist" - JamiiForums
Huku sio kudhalilishwa kwa Rais wetu na Media za Nje? Je, watanzania tukubali, Tukae kimya? - JamiiForums
Watanzania kwanini tunakubali Rais wetu adhalilishwe na media za nje kwa kuitwa "The 'Bulldozer' Tanzanian President"? - JamiiForums
Serikali ikanushe uongo huu wa SABC kumsema vibaya Rais wetu Magufuli kuwa ni Dikteta! - JamiiForums