johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
Rais Magufuli amesema alipokuwa waziri wa ujenzi aliwahi kuteua mtu wa darasa la saba kuwa meneja wa Tamesa mkoa wa Kagera.
Dr Magufuli amesema alifanya hivyo baada ya kuona performance ya lasaba huyo ilikuwa ni nzuri kupita wale graduates aliokuwa nao.
Rais Magufuli amewasisitiza mainjinia na wasomi wengine kuwaheshimu watu wenye vipaji na ubunifu ili kwa pamoja tuweze kuyasongesha mbele maendeleo ya taifa letu.
Source Channel ten tv!
Dr Magufuli amesema alifanya hivyo baada ya kuona performance ya lasaba huyo ilikuwa ni nzuri kupita wale graduates aliokuwa nao.
Rais Magufuli amewasisitiza mainjinia na wasomi wengine kuwaheshimu watu wenye vipaji na ubunifu ili kwa pamoja tuweze kuyasongesha mbele maendeleo ya taifa letu.
Source Channel ten tv!